Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,683
- 4,900
Aliyekuwa akifanya Roho Mbaya huku Kwetu ni nani Specifically?Wao walikuwa hawapingi ni sisi wenyewe tu tulikuwa tukifanyiana roho mbaya kuzuiana .Sijawahi sikia tamko la Uganda kuzuia kahawa kuuzwa uganda.Labada nimesahau