Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Teh,Vile viwanda vya ”mtukufu mfu ” vinaitwaje tugoogle tukaombe kazi.Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.
Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Au viliishia kuteka na kudhurumu wafanya biashara?!