Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Haya kakae na mavi yako nyumbani-Shujaa.CCM huwa hatuna vita ,vita kuu iko Chadema kati ya akinana Halima Mdee na BAWACHA kunatokota kuliko supu ya kongoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kakae na mavi yako nyumbani-Shujaa.CCM huwa hatuna vita ,vita kuu iko Chadema kati ya akinana Halima Mdee na BAWACHA kunatokota kuliko supu ya kongoro
PRIVATE sector ya Tanzania inapenda zaidi uchuuzi kuliko Uzalishaji wa viwandaniKwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania (Tanganyika) Kenya+Uganda+Rwanda+Burundi bado kupa ardhi inabakia.
Ni habari njema kwa Uganda kuuza sukari Tanzania...
Cherehani 3 ni kiwanda tayari.Huyu Maza anaiuza kijani. Sie tunamchora tu. Katika hotuba zake sijawahi sikia japo neno kiwanda.
Tatizo letu ujuaji uliyopitiliza. Ukiambiwa amekurupuka kivipi labda utang’aa macho. Unajua ameruhusu kwa utaratibu upi, nini mahitaji yetu kwa sasa against uzalishaji wetu wa ndani?Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wahusika na hizo road block na serikali za mikoa hilo walifanyie kazi haraka.Wakuu wa mikoa la kwao hilo.Biashara za mipakani wakuu wa mikoa inawahusuAcha kabisa wakifungua huo mpaka kwenye kahawa narudi kwenye game maana tulikua tunanunua Burundi 1500 kwa kilo moja Uganda unaenda kupiga 4000 chapchap cash na bila maelezo sasa roadblocks upande wa Bongo ikawa mchawi, tukaanza kupita majini nako wakaingia Bongo ukichek gap ya kilo moja 2500 ni pesa nyingi mno
We ndio mkurupukaji! Unajua urasimu uliopo Tanzania kwenye viwanda vya sukari vinavyomilikiwa na wanasiasa akiwemo hayati mkapa na genge lake?Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mkuu kuongea facts ambazo ni undeniable. Ila pia kuna namna public inaweka mazingira ili private ikue kwa elites kama wewe kuingia.PRIVATE sector ya Tanzania inapenda zaidi uchuuzi kuliko Uzalishaji wa viwandani
Tatizo letu private sector yetu imejaa illiterates darasa la saba na wasiosoma kabisa ndio wanaoendesha private sector
Hata ukute mamilionea ni wachuuzi tu sio producers!!! au wazalishaji wa viwanda!!! Jirani zetu Kenya Private sector wasomi ndio wamejazana kuna viwanda balaa
Tatizo hamjui kanuni za uchumi. Marehemu alichokuwa anafanya ilikuwa ni primitive economy, na kamwe asingefanikiwa.Hayahaya tuliyakataa, nchi haiwezi kuendelea kwa kuimport tu. Sasa pesa yetu ya madafu inaenda kuzorota zaidi.
Mam,a ana akili, na washauri wenye akili na exposure kubwa. Ninyi watu primitive mbakie na hiyo primitivity yenu.Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wewe unataka ipigie kona wapi, kabla ya kufika Tanzania? Hiyo ambayo inaagizwa Brazil na kuja Tanzania, mbona hupigii kelele?Sukari itatoka Brazil, Asia, itapita Mombasa au Dar es salaam port itaenda Uganda itakunja kona kurudi kuuzwa TZ.
Wewe unaexport bidhaa gani Uganda?Tatizo hamjui kanuni za uchumi. Marehemu alichokuwa anafanya ilikuwa ni primitive economy, na kamwe asingefanikiwa.
Kinachohitajika ni kuuchangamanisha uchumi wetu na uchumi wa Dunia. Watatuuzia sukari, lakini nasi tutawauzia bidhaa nyingine.
Ukifungia bidhaa za wengine, na wewe za kwako zitafungiwa. Wewe unajua hasara waliyoipata wafanyabiashara wa mahindi, mbao, korosho na matunda, kutokana na maamuzi ya hovyo ya marehemu ya kuanzisha chokochoko ambazo hazikuwa na msingi wowote dhidi ya Kenya?
Nitajie viwanda vikubwa vilivyoletwa na Mwendazake,Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.
Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Ndiyo tabia za Mataga.Ukiwauliza Magu alikuta bei ya sukari per Kg ni sh. Ngapi na ameondoka bei kwa kilo ni sh. Ngapi huwa hawajibu swali hilo.