Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

Ukiwauliza Magu alikuta bei ya sukari per Kg ni sh. Ngapi na ameondoka bei kwa kilo ni sh. Ngapi huwa hawajibu swali hilo.
Tatizo unawaza kunywa chai Leo tu. Hujui watu wangapi watapoteza ajira maana sukari toka Brazil NI rahisi Sana na waganda na matajiri wengi watatumia hii fursa kuagiza sukari na kui pack kwenye mifuko ya Uganda na kuleta. Sasa subiri mafuriko ya sukari halafi uone Kama Kuna kiwanda chochote kitakuwa hapa nchini.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo unawaza kunywa chai Leo tu. Hujui watu wangapi watapoteza ajira maana sukari toka Brazil NI rahisi Sana na waganda na matajiri wengi watatumia hii fursa kuagiza sukari na kui pack kwenye mifuko ya Uganda na kuleta. Sasa subiri mafuriko ya sukari halafi uone Kama Kuna kiwanda chochote kitakuwa hapa nchini.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sasa kosa la Nani? Hutaki sukari ya Brazil.iwe chini? Hutaki sukari iuuzwe kwa bei ya chini? Kama inatoka hata mbinguni maadam itauzwa kwa bei nzuri shida iko wapi?

Hapo ilipokua bei juu tumeajiri watu wangapi? Tulinufaikaje? Tuache siasa za ajabu
 
Sukari ilikuwa inatoka Uganda kwa magendo inauzwa shilingi 2500/= lakini ya Kagera inauzwa 2800/= naamini uhitaji wetu ni mkubwa na uzalishaji ni mdogo sana...bora Waganda watuletee sukari na tupate unafuu wa maisha...pia watu wanapinga importation ya sukari kutoka Uganda lakin wanasahau Uganda pia ananunua vyakula kwa kiwango kikubwa kutoka kwetu...
Ok, iwepo balance sasa vinginevyo hawa wauza 2800/- watafunga viwanda.
 
Wakati nchi ina upungufu wa tani kadhaa za sukari na wakati tuko kwenye mchakato wa kuimarisha viwanda vya ndani kuna kosa gani kuruhusu sukari kuingia nchini kutoka kwa jirani?!!!! Tusimkatishe mama tamaa.
 
Sasa kosa la Nani? Hutaki sukari ya Brazil.iwe chini? Hutaki sukari iuuzwe kwa bei ya chini? Kama inatoka hata mbinguni maadam itauzwa kwa bei nzuri shida iko wapi?

Hapo ilipokua bei juu tumeajiri watu wangapi? Tulinufaikaje? Tuache siasa za ajabu
Ndo maana nikasema akili yako inawaza kumywa chai leo tu inawezakana unakaa kwa shemeji na hufikirii kuhusu watoto wako siku za huko mbele kuwa watabaki utumwani kwa kuwa kutakuwa HAKUNA viwanda vya sukari na hata hawatalima Wala kuuza miwa.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana nikasema akili yako inawaza kumywa chai leo tu inawezakana unakaa kwa shemeji na hufikirii kuhusu watoto wako siku za huko mbele kuwa watabaki utumwani kwa kuwa kutakuwa HAKUNA viwanda vya sukari na hata hawatalima Wala kuuza miwa.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hahahaha jenga hoja, mimi kuishi kwa shemeji shida iko wapi? Wekeni Sera nzuri, Sera ya Kilimo kwanza ilikua nzuri sana, mngeweza kufanya jambo la maana, mkaja na upuuzi wa viwanda, viko wapi? Kwani sukari ndio ya kwanza kuwa imported? Acha bangi.

Mmetufikisha hapa then mnademka tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Naona hawa wazalendo wa Magu wanataka tupige chai bila sukari kisa Uzalendoooo.
Yaani ni watu wa ajabu kabisa Mama anaangalia mbali sana, hapo anawavuta ndugu zangu the cranes kutumia bandari ya Dar zaidi, aliwahi kusema JK ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa ila alisisitiza hana maana hiyo iliyowafanya watu kuangua vicheko..."Give to Receive" just a simple formula
 
Kutoka Tanganyika, JMT hadi MIKURUPUKO state.

Tusubirie zile sukari kutoka Brazil zilizoisha muda(expire) wake zikafanyiwa PACKAGE zikiwa na made in UGANDA zikiwa SOKONI. Tanzania kweli failed state, kweli tunashindwa kujenga hata kiwanda cha SUKARI?

Alisema tutamkumbuka kwa kweli tutamkumbuka
Mfyuuuuuuuu
 
Bado mafuta ya kupikia mama Hawa wajane wa Chato Ni mwendo wa kuwakera mpaka mimba walizobeba zitoke.
 
nakumbuka mwaka 2014 nikiwa bukoba vijijini mfuko wa sukari ulikuwa kati ya 42,000 hadi 45000 na kilo moja ya sukari ilikuwa kati ya 1800 hadi 2000

na kahawa ghafi kilo moja ilikuwa kati ya 1500 hadi 2000

shida ilikuwa mapema mwaka 2016,kuanzia mwezi wa tatu ilipanda mpaka 3000 kg ya sukari,mpaka 6000 kwa baadhi ya maeneo.
mfuko wa kilo 25 wa sukari umesimamia 65000!

cha ajabu tangu 2016 bei ya kahawa ndani ya kagera ni 1000 ila ukiivusha kwenda uganda inafika mpaka 4000 mpaka 6000.!

sijui tulikuwa tunaenda wapi!

kwa sasa sukari imegota 3000 kwa kg,watakaopoteza ajira watazitafuta kwingine,acha iingie na mama ntilie wapunguze bei ya vyakula kwa siye mabachela.
 
Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.

Kila anakoenda Mama badala ya kuleta wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Hii itasaidia sukari kushuka bei chini itauzwa 1500 kumbuka watz walishasahau kunywa chai.
Vitafunwa,juicy zitashuka bei sababu sukari bei chini. Hata sisi tutauza kahawa yetu Uganda.
 
Kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania (Tanganyika) Kenya+Uganda+Rwanda+Burundi bado kupa ardhi inabakia.

Ni habari njema kwa Uganda kuuza sukari Tanzania.
Ila nadhani si habari njema kuuziwa sukari ambayo kama kuna investment financial instrument zingetumika, Tanzania ungeweza kuzalisha sukari ya domestic & industrial use.

Sijui tunakosea wapi sisi Watanganyika?
Maana bado tuna import soft brooms, toothpick, miswaki, duster za ubaoni, chaki za kuandika, daftari za kuandikia.

Lini tutafika?

F
Viwanda vyetu haviwezi stawi kwa sababu ya sera mbovu za kodi.
Ndo maana hata tukizalisha products slzetu zinakuwa ni ghali
 
Sasa tubaki kusubiria long term plan yako huku tunaumia? Shenzi kabisa.Zalisha anza kulia soko usaidiwe sio kupayuka kama chiliku
Acha kukurupuka ndugu, tulia Soma na uelewe kilichoandikwa.

Mimi msimamo wangu ni kama wako kwenye hilo.

Comment yangu nilikua namjibu aliyekua anapinga uamuzi wa Mh. Rais.
 
Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ficha upumbavu wako. Mtaani sukari hakuna na ikipatikana ni kwa bei ya mabwanyeye, acha mama alisaidie taifa. Tunahutaji sukari na bidhaa nyinginezo kama mafuta ya kupikia n.k. Miaka yote mmeshindwa kuwekeza kwenye viwanda mtaweza kipindi hiki!!?? Yani tupate tabu kisa tunasubiri mjenge viwanda vya ndani!!?? Dunia ya kijamaa ishakufa.
 
Back
Top Bottom