Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

Yaani mnataka kuua viwanda vya sukari vya ndani! kagera sugar na kilombero wana uwezo wa ku-saturate soko la sukari ingawaje kuna kipindi unaweza kutokea upungufu. Hivi viwanda vya sukari na mashamba ya miwa vimetoa ajira lukuki kwenye viwanda vyenyewe na wakulima wanaouza miwa. Utaratibu tunaokwenda nao ni kwamba ili kulinda viwanda vya ndani na ajira, serikali iwe inatoa vibali kuagiza bidhaa zinazozalishwa na kutumika kwa wingi nchini kama sukari endapo tu kutakuwa na upungufu.....chode chonde tusifanye nchi yetu gulio kwa kila kinachozalishwa huko nje, tutaua ajira za vijana wetu.
 
Yaani mnataka kuua viwanda vya sukari vya ndani! kagera sugar na kilombero wana uwezo wa ku-saturate soko la sukari ingawaje kuna kipindi unaweza kutokea upungufu. Hivi viwanda vya sukari na mashamba ya miwa vimetoa ajira lukuki kwenye viwanda vyenyewe na wakulima wanaouza miwa. Utaratibu tunaokwenda nao ni kwamba ili kulinda viwanda vya ndani na ajira, serikali iwe inatoa vibali kuagiza bidhaa zinazozalishwa na kutumika kwa wingi nchini kama sukari endapo tu kutakuwa na upungufu.....chode chonde tusifanye nchi yetu gulio kwa kila kinachozalishwa huko nje, tutaua ajira za vijana wetu.
Na hivyo ndio Kenya walivyofanya.Nimemsiki Museveni kasema kwamba Kenya wameingia mkataba wa kuuziwa tani 90k kwa mwaka..nafikir ndio deficit yao.
 
Yaani mnataka kuua viwanda vya sukari vya ndani! kagera sugar na kilombero wana uwezo wa ku-saturate soko la sukari ingawaje kuna kipindi unaweza kutokea upungufu. Hivi viwanda vya sukari na mashamba ya miwa vimetoa ajira lukuki kwenye viwanda vyenyewe na wakulima wanaouza miwa. Utaratibu tunaokwenda nao ni kwamba ili kulinda viwanda vya ndani na ajira, serikali iwe inatoa vibali kuagiza bidhaa zinazozalishwa na kutumika kwa wingi nchini kama sukari endapo tu kutakuwa na upungufu.....chode chonde tusifanye nchi yetu gulio kwa kila kinachozalishwa huko nje, tutaua ajira za vijana wetu.
hakuna unachojua,unadhani kilombero ina uwezo wa kulisha nchi nzima?
 
Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Acheni kukalili mambo JPM ndie aliekuwa anakurupuka wakati uwezo bado mdgo kweli sukari 1kg ndio yakuuzwa 3000..viwanda vyetu vya ndani kwa ujumla havikizi uwezo huzalisha nusu ya mahitaji, kwa Sasa tunaagiza sukari kutoka mbali Brazil ambayo bado inafika kwa gharama, Sasa Kuna haja gani yakuagiza sukari Brazil wakati majirani zetu wanaweza iingiza na wa tz wakapata sukari kwa bei ndgo wakati tukaendelea kuboresha nguvu ya uzalishaji.....
 
Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.

Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.

Miaka yote tumeshindwa kuzarisha kukidhi mahitaji, muhimu pia kuzingatia hili, huwezi kujitosheleza kwa kila kitu ndio maana vipo uganda anachukua hapa....China Taifa kubwa lakini bado anaimport chakula na kununua bidhaa nyingi kutoka nje, UAE wanasafirisha nyama kila kukicha na utajiri wao wote....USA pamoja na usuper power wake bado anaimport malaki kwa mamilioni ya bidhaa......
 
Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.

Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Wasukuma mtachakaa miili kwa chuki zenu dhidi ya Rais,, na hakuna atakachokifanya kwenu kikawa kizuri ke.nge nyinyi
 
Kweli kabisa Uganda hawana tatizo, ni sie huwa tunawalazimisha wakulima wa kahawa kutouza moja kwa moja Uganda kwenye bei nzuri, badala yake lazima wauze kupitia Vyama vya ushirika, ambayo huwa vinatoa bei ya chini na kukopa wakulima......hv vyama vingine vinakuwa kama' madalali' tu kuongeza gharama za uendeshaji na mwisho wake kusababisha mkulima kutopata bei nzuri ya kahawa yake... wakulima waachiwe wauze kahawa yao popote, mradi serikali ipate kodi yake tu...
Wao walikuwa hawapingi ni sisi wenyewe tu tulikuwa tukifanyiana roho mbaya kuzuiana. Sijawahi sikia tamko la Uganda kuzuia kahawa kuuzwa Uganda. Labda nimesahau.
 
Hii ni T.V....! Remote tunajua ipo wapi..

Kuna mtu kashikilia remote na ndio mwenye Control
 
Wajinga sana hawa watu
Tusimlaumu JPM tu kama vile ndio yeye peke yake aliyetawala Tanzania.Alichokuwa anakifanya ndio kile kile alichofanya Sokoine miaka ile. Alitaka tuanze kuwa wazalishaji na sio walaji peke yake. Bakheresa anajenga kiwanda. Kilombero wanaongeza capacity. hapo ndio alipokuwa anafocus.
Zile sukari za Brazil alizokuwa analeta yule jamaa ambaye naye ameenda zake haikuwa long term solution.
 
Back
Top Bottom