Uganda yafuta sheria iliyokuwa inapinga ndoa za jinsia moja

Shoga siku zote ni mharibifu wa watoto wadogo,ambao hawajafikia umri wa kuamua lipi la kufuata na lipi la kuacha.

Wanaoharibu watoto wadogo sio mashoga. Wanaoharibu watoto wadogo ni sexual predators.

Mashoga wengi wanaanzishwa ushoga na mashoga wakubwa wanapokuwa watoto.Unapoutetea ushoga,ujuwe moja kwa moja unavunja haki ya mtoto.

Naomba source, tafadhali.

Vile vile mashoga ni nguvu kazi ambayo,inakuwa haina kazi tena,shoga huwa amelegea,mawazo,akili,fikira,mtizamo na ni mlemevu wa akili.

Lete vyanzo vya kisayansi vya haya madai yako.

Unapomtete shoga,unakasema unatetea haki ya kibinadamu,je wanaopinga ushonga,hawana haki ya kibinadamu?

Hakuna mtu aliyekatazwa kupinga. Kupinga nayo ni sehemu ya haki za kibinadamu.
Tatizo ni pale ambapo hao wanaopinga kutaka kuwadhuru na kuwaadhibu mashoga kisa tu wao ni mashoga.
 
Yaani watu wanavyohemka utadhani hiyo mkkundu inayodinywa ni yao.

Kudinywa adinywe mwingine lakini kuhemka uhemke wewe....it just doesn't make sense!
Mashoga wanavyunja haki za watoto,huwa wanawafuata watoto wadogo na kuwaanzisha huo mchezo.Watoto ambao siku zote tunapiga kelele kwa kuvunjwa haki zao.Asilimia 98 ya mashoga wameanzishwa ushoga utotoni na mashoga wakubwa.
 
Mashoga wanavyunja haki za watoto,huwa wanawafuata watoto wadogo na kuwaanzisha huo mchezo.Watoto ambao siku zote tunapiga kelele kwa kuvunjwa haki zao.Asilimia 98 ya mashoga wameanzishwa ushoga utotoni na mashoga wakubwa.

Wanaovunja haki za watoto si mashoga tu! Unaishi dunia gani wewe?
 
Kila mtu anayo haki ya kufanya atakalo juu ya mwili wake
 
Kinachofanya tupinge haya mambo ni ku preserve our society umesema mwenyewe Nyani Ngabu huwezi kufurahi kuona, nduguyo, jamaa, mwanao n.k anajihusisha na hayo mambo. Hili suala likihalalishwa basi kuna uwezekano mkubwa watoto wakajifunza haya mambo na kuharibika mapema. Hawatakuwa na woga, vijana huko shuleni na vyuoni hali itakuwa mbaya sana. Hapa tulipo tu tuna tatizo kubwa la maadili, tuhalalishe na hili pia?
 
Last edited by a moderator:

Mbona ushoga tu tokea zamani....
 
Kwahiyo Uganda sasa hivi ni mwendo wa kutifuana tu. Aisee balaa hii
 
Mungu atusaidie isije Tanzania huyu shetani ashindwe kwa Jina la YESU KRISTO WA NAZARETH.
 

obama oyee
 
aaahhhhh I knew it ...teh teh teh

viongozi wenye jeuri kama wa south america baaaaadoooo sana africa
 
na hivi wameshambana kitakochofuata ni kukazia kwa kumlazimisha atunge sheria ya kuhalalisha kama alivyofanya mdogo wake PK...
Kwahiyo Uganda sasa hivi ni mwendo wa kutifuana tu. Aisee balaa hii
 
.... B B C.. Ni Shangwe, Nderemo Na Ndulu Kwa Mashoga Na Wasagaji Uganda Kwani Mahakama Nchn Humo Imetengua Sheria Iliyosainiwa Na Museveni Na Kusababisha Kukatiwa Misaada Kwa Nch Hiyo......! Wadau Muna Maoni Gani Juu Ya Hili.!
 
.... B B C.. Ni Shangwe, Nderemo Na Ndulu Kwa Mashoga Na Wasagaji Uganda Kwani Mahakama Nchn Humo Imetengua Sheria Iliyosainiwa Na Museveni Na Kusababisha Kukatiwa Misaada Kwa Nch Hiyo......! Wadau Muna Maoni Gani Juu Ya Hili.!

hiyo ni style tu..hapo ni kwamba mseven amesalimu amri.atakuwa katumia tu mlango wa uani
kutokea.poor poorers!!!
 
... Chanzo B B C ... Ni Shangwe Na Vifijo Kwa Mashoga Na Wasagaji Hii Leo Kwani Wameibwaga Serikali Ya Uganda.......,...' Nini Maoni Yako
 
Jaji labda anahusika na tabia hizo, haijaniingia akili hata kidogo
 
Mahakama ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya mapenzi kati ya watu wa jinsia moja. Akitangaza maamuzi hayo, Kaimu Jaji Mkuu Stephan Kavuma, akisaidiwa na majaji wengine wanne, amefafanua kuwa mswaada wa sheria hiyo ulipitishwa kimakosa kwani hapakuwa na idadi ya kutosha ya wabunge wakati huo.

Naona museveni kapima kaona hawawezi bila misaada ya magharibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…