Ugomvi na ushoga usiwe kigezo cha watoto kukosa mchele wenye virutubisho, tutaonekana majuha

Ugomvi na ushoga usiwe kigezo cha watoto kukosa mchele wenye virutubisho, tutaonekana majuha

Unajuwaga billgate foundation huwa inadhamini nini 1 depopulation ndo maana marehemu alipiga moto misaada ya corona
Depopulation ingeweza kuwapunguza watu kama nyie ingekuwa jambo jema sana
 
Depopulation ingeweza kuwapunguza watu kama nyie ingekuwa jambo jema sana
Sasa unataka watto wa wenzio wageuzwe upinde we unakubali mwanao ale uo mchele tuanze kuleta kilo 20 apo nyumbani
 
Hawatoi bure msaada,kama ni kwa nia njema wabarikiwe,sisi hatuwezi kuwasaidia wahitaji
 
waziri Bashe kasema hatuutaki huo Mchele. hiyo NGO iwasaidie wakulima wa Tz na hivyo virutubisho tuviweke wenyewe


JESUS IS LORD&SAVIOR
Hata Jesus Lord&Savior mliletewa na hao hao wazungu, leo hii hawawezi kuwa wabaya hivyo kutaka kuwamaliza.
 
Acha uongo Usa ajaanza leo kuipa msaada wa chkula Tza alishawahi tupa msaada wa mahindi ya kulishia ng'ombe Yale ya njano tukala Hadi kushiba.
USA ndie anaelisha chakula karibu wakimbizi wote Dunia kuanzia makambi ya kigoma hadi Afghanistan,mbona huko hawajawa mashoga.
 
Maoni mengi ya wabongo wengi mtandaoni kuhusu msaada wa mchele wenye virutubisho kutoka Marekani ni hofu yao isiyo na mashiko "obsession" au ugomvi na ushoga.

Wengi wanaupinga msaada huo eti kwa sababu unaweza kuwa na viambata vya kuwafanya wanafunzi watakaoula kugeuka kwa mashoga! Yani katika sababu zote hii ndio imetawala na imekuwa msingi wa upingaji wao wa mchele huo!

Jamii inayoweza kuwaza mambo kwa muono huo wa ngono tu katika jambo ambalo halihusiani kabisa hasa katika ulimwengu wa leo ni jamii ambayo imeharibika sana kiakili na inahitaji kupewa msaada wa kila kitu, sio wa mchele tu bali hata wa afya ya akili.

Ni ujuha watoto wasipiwe mchele wa virutubisho kwa "obsession" na conspiracy ushoga tu. Kama hao mabeberu wanaweza kufanya hivyo katika mchele wanashindwa vipi kufanya katika mafuta ya kula, ngano, tambi, apples, vipodozi, chanjo na dawa kutoka nchi zao au makampuni yao?


Pia soma Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Tatizo ni GMO Products....Bashe katoa muongozo kwamba hivyo virutubisho waviweke kwenye mchele na mahindi yetu na si hayo waliyotoka nayo USA.
 
Hii ni akili ya kawaida tu. Hata hutakiwi kuwa na cheti cha darasa la saba. Tanzania mnatoa msaada kwa Rwanda. Mnawapa pesa wakanunue bidhaa za Kenya na ninyi mna viwanda vinazalisha bidhaa hiyo hiyo ? MTAKUWA HAMNA AKILI. NI WAPUMBAVU MPAKA MWISHO.
Hiyo misaada ya kihuni ndo hatutaki. Kama mtu unampa hela mwache aamue mwenyewe ataitumiaje. Unanipa hela halafu hapohapo unalazimisha nije ninunue kwako kwa bei za kufuru ni uhuni.
 
Tatizo ni GMO Products....Bashe katoa muongozo kwamba hivyo virutubisho waviweke kwenye mchele na mahindi yetu na si hayo waliyotoka nayo USA.
GMO Products sio tatizo, unafikiria wabongo wanaoenda huku Marekani huwa wanauliza mahindi, chips, burgers na pizza wanazokula kama ni GMO au sio GMO??
 
Hiyo misaada ya kihuni ndo hatutaki. Kama mtu unampa hela mwache aamue mwenyewe ataitumiaje. Unanipa hela halafu hapohapo unalazimisha nije ninunue kwako kwa bei za kufuru ni uhuni.
Anayesema hivi kila kitu chake kinategemea msaada. Chanjo za Corona mlitengeneza wenyewe? Na ninyi mlivyo wezi. Zile train mmeenda kununua mbovu za miaka ya 70 huko. Karne hii? Halafu ndo mpewe pesa mje tugawane? Hamna kitu hapo. Akili zenyewe hamna.
 
Uarabu na uisilamu unaingilianaje??
Kwa waarabu kutetea ubahasha kunahusianaje na uislamu??
Jinga wewe .
We kiraza soma uelewe ujaelewa nilicho maanisha unakurupuka..stupidii
 
Maoni mengi ya wabongo wengi mtandaoni kuhusu msaada wa mchele wenye virutubisho kutoka Marekani ni hofu yao isiyo na mashiko "obsession" au ugomvi na ushoga.

Wengi wanaupinga msaada huo eti kwa sababu unaweza kuwa na viambata vya kuwafanya wanafunzi watakaoula kugeuka kwa mashoga! Yani katika sababu zote hii ndio imetawala na imekuwa msingi wa upingaji wao wa mchele huo!

Jamii inayoweza kuwaza mambo kwa muono huo wa ngono tu katika jambo ambalo halihusiani kabisa hasa katika ulimwengu wa leo ni jamii ambayo imeharibika sana kiakili na inahitaji kupewa msaada wa kila kitu, sio wa mchele tu bali hata wa afya ya akili.

Ni ujuha watoto wasipiwe mchele wa virutubisho kwa "obsession" na conspiracy ushoga tu. Kama hao mabeberu wanaweza kufanya hivyo katika mchele wanashindwa vipi kufanya katika mafuta ya kula, ngano, tambi, apples, vipodozi, chanjo na dawa kutoka nchi zao au makampuni yao?


Pia soma Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID
huo ni ujuha maana hata marekani sio wote wanapenda ushoga
 
Screenshot_20240317_162832_WhatsApp.jpg
 
Maoni mengi ya wabongo wengi mtandaoni kuhusu msaada wa mchele wenye virutubisho kutoka Marekani ni hofu yao isiyo na mashiko "obsession" au ugomvi na ushoga.

Wengi wanaupinga msaada huo eti kwa sababu unaweza kuwa na viambata vya kuwafanya wanafunzi watakaoula kugeuka kwa mashoga! Yani katika sababu zote hii ndio imetawala na imekuwa msingi wa upingaji wao wa mchele huo!

Jamii inayoweza kuwaza mambo kwa muono huo wa ngono tu katika jambo ambalo halihusiani kabisa hasa katika ulimwengu wa leo ni jamii ambayo imeharibika sana kiakili na inahitaji kupewa msaada wa kila kitu, sio wa mchele tu bali hata wa afya ya akili.

Ni ujuha watoto wasipiwe mchele wa virutubisho kwa "obsession" na conspiracy ushoga tu. Kama hao mabeberu wanaweza kufanya hivyo katika mchele wanashindwa vipi kufanya katika mafuta ya kula, ngano, tambi, apples, vipodozi, chanjo na dawa kutoka nchi zao au makampuni yao?


Pia soma Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID
Botha Kaburu yule South Africa, alishasema, Mtu mweusi akili yote ipo kwenye ngono; si unaona hapo, kila mtu anaamini hata wenye elimu! Hawezi kuua kwa nini!
 
Maoni mengi ya wabongo wengi mtandaoni kuhusu msaada wa mchele wenye virutubisho kutoka Marekani ni hofu yao isiyo na mashiko "obsession" au ugomvi na ushoga.

Wengi wanaupinga msaada huo eti kwa sababu unaweza kuwa na viambata vya kuwafanya wanafunzi watakaoula kugeuka kwa mashoga! Yani katika sababu zote hii ndio imetawala na imekuwa msingi wa upingaji wao wa mchele huo!

Jamii inayoweza kuwaza mambo kwa muono huo wa ngono tu katika jambo ambalo halihusiani kabisa hasa katika ulimwengu wa leo ni jamii ambayo imeharibika sana kiakili na inahitaji kupewa msaada wa kila kitu, sio wa mchele tu bali hata wa afya ya akili.

Ni ujuha watoto wasipiwe mchele wa virutubisho kwa "obsession" na conspiracy ushoga tu. Kama hao mabeberu wanaweza kufanya hivyo katika mchele wanashindwa vipi kufanya katika mafuta ya kula, ngano, tambi, apples, vipodozi, chanjo na dawa kutoka nchi zao au makampuni yao?


Pia soma Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID
Kwani mkuu tatizo liko wapi ukaenda ubalozini Kwa Marekani ukawaambia wakupe japo nusu tani ukala na familia yako bila sie.
 
Back
Top Bottom