Ugomvi wa Nancy Sumari Vs Nakaaya: Majibu kwa Mange

Amesema kesho ndo anashusha hzo nondo?kama yeye anasema amewapatanisha basi hakuna haja ya evidence yoyote.
Me naona wangeacha na hii issue
hahaaaaa yetu macho na maskio jamani lloooh
halafu kuna haja gani sasa ya mashindano
tatizo yule hakubali kushindwa hata kidogo
kaaz kweli kweli
 
A to Z hapana aliyejua ingawa katika hili jambo Nancy litamsumbua.Na lile kundi litakuja sarambatika....tulipe muda.

Nancy ndo kaumbuka. Hata mimi naona hili kundi Ku survive long mhhhhjjjhh sijui.
 
Haya Ms.Lincoln na mzurimie vichambo vyenu hivyo kutoka u turn

Thanks Nifah, duh mie nani wa Diamond uwiiii nakufa mbavu.

Mie mtoto wa Mbagala/Tandale/kotekote wasipopapenda. Najilia raha zangu huku jamani, wakisoma hapa nawakaribisha waje wajiunge nami uswazi.
 
Last edited by a moderator:
Labda anatafuta followers

Unajua akimsema mange atachambwa blogini follewers wataongezeka hivuo hivyo wasomaji wa blogi wataongezeka


Wanatuchezea akili hawa ila linda kwa umri wake angejikita tu kudesign mbona ni designer mzuri kinachomhangaisha sijui ni nini

Linda siku hiz ananiudhi yeye anazidi kumchokonoa mwenziee jamanii,kazid uchokoziii aiseee
 
Nancy ndo kaumbuka. Hata mimi naona hili kundi Ku survive long mhhhhjjjhh sijui.

Ukiiangalia vizuri issue nzima heri nakaaya asingeposti insta..... maana wameprove ni kweli wana bifu. Afterall watu walishaanza kusahau...upepo ulishapita....umbea wa mjini haukai unasahaulika fasta
 
Mange kwa kupenda misifa ya kijinga bwana, Nancy na dada yake walikua wamepatana way before yeye hajatia pua yake iliochongwa kwenye hili swala.
Mimi ndivyo nilivomwelewa Nakaaya.
Maamuma wa Mange ni watu wa ajabu sana, kweli kabisa mlikua mnasema Mange amuwashie moto Nakaaya?
Mbona mnafedhehesha utu wenu?
Yamewashuka shuu, afu wafuasi wengi ni watu wazima lakini mambo yao kama adolescents.
 
lengo lake ndo hili kundi life mbona wenyewe wanapendezana tu...!!
kuna watu wana wivu sana jamani dah sijpata kuona.!!

Kuna wasomaji na wachangiaji wengine wa U-turn huwa wana akili sana.
Ila wengine wamekuwa kama wameshikiwa akili.Na mkaniandike tu, mnipe umaarufu wa zaidi ya kipindi kile.
 

Attachments

  • 1433305975382.jpg
    39.8 KB · Views: 501
Kuna wasomaji na wachangiaji wengine wa U-turn huwa wana akili sana.
Ila wengine wamekuwa kama wameshikiwa akili.Na mkaniandike tu, mnipe umaarufu wa zaidi ya kipindi kile.
hao wanaokuandika kwengine ni pathetic
they fear u here wanaenda kukusengenya huko mtaa wa nane mi hua siendagi mara kwa mara naonaga upuuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…