Ugomvi wa Nancy Sumari Vs Nakaaya: Majibu kwa Mange

Ugomvi wa Nancy Sumari Vs Nakaaya: Majibu kwa Mange

My point no kwamba kama we we ni celeb na watu wakabahatika kujua ur inner secrets then lazima yatajadiliwa tu Unlike Mimi ambe ni unknown.

Ni lazima wawe na njia tofauti na ile ya mazoea ya kuhandle ishu zao zisitufikie walalahoi tukazijadili. Mfano mama diamond alilazwa tmj zaidi ya mwezi ila kuepuka ishu za kifamilia kuwa nje walificha mwanzo mwisho (ndio ugonjwa ni siri ya family) ... Na kweli wachache walijua. Ndo maana umakini unahitajika.

Siku ushoga wake na Wema ukivunjika na akamuandikia gazeti utacomment hivihivi? Mbona sijawahi kuona Mange akiandika uchafu wa Wema? Au Wema siyo Celeb?
 
geniveros na Ms.Lincoln don't expect Mange to be fair while the world itself isn't and will never be fair. Mange did her assignment anachosubiri ni pesa kutoka Voda.... It's upon these two celebs to make up and find the way forward

Voda hii hii inayomilikiwa na mafisadi Rostam Aziz na Lowassa?
 
mi nimependa nakaaya alivyomjibu nancy kwa kweli hekma na busara zimetumika mpk raha yani
iwe kweli iwe uongo...kua public fugure si kigezo cha kuweka mambo yenu nje labda km mmeamua kuyaanika wenyewe kwa watu!!

alichokifanya mange kwetu sisi tunaweza kumpa hongera but just try to wear viatu vya familia ya kina sumari and bad enough akaruhusu comments za kuwa chafua km vile
do u think its fair...

No. It is not FAIR dear.
 
Sasa kama hao akina Nakaaya wanataka moto wajaribu kuomba uthibitisho ndio tutajua mengi kuliko haya tuliyoyajua sasa.
Yeye aliongelea suala la hao ndugu kutokupatana, kwani kuna ubaya gani? Wale si celebrities?
Halafu asiyejua hilo ni nani? Labda kama sio mfuatiliaji wa mambo ya mujini ndio utakua hujui.
Maana wenyewe tu wanaonesha hawapatani.

Duuh nomaa..kwaiyo ww mfatiliaji wa mambo ya mujini
 
Sasa kama hao akina Nakaaya wanataka moto wajaribu kuomba uthibitisho ndio tutajua mengi kuliko haya tuliyoyajua sasa.
Yeye aliongelea suala la hao ndugu kutokupatana, kwani kuna ubaya gani? Wale si celebrities?
Halafu asiyejua hilo ni nani? Labda kama sio mfuatiliaji wa mambo ya mujini ndio utakua hujui.
Maana wenyewe tu wanaonesha hawapatani.

nifah mi nasubiri evidence na facts kutoka kwa Mange maana kimsingi hapa Mange ni mchonganishi labda athibitishe aliyo kuwa ana yaongea yana ukweli!
 
Last edited by a moderator:
Ila nimemfatilia huyo Dada mange mda mrefuu mno, na anapokuja na kitu faham kabisa Ana data sasa ukijifanya mkujia juu anafumua kila kitu, naamin mpk kutamka hayo yote kuhusu hio familia aitakua anakila chembe ya evidence, halafu sidhani Kama kuna haja ya kumtukana kwanza yeye ni blogger, na anachopost sio lazima ukiamini na kukichukia ila unaweza kukaa na kukifikiriaa. ngoja tusubiriii atakuja naannii Kama Dada mtu kaongea ila amejitahid kuongeaa kwa busara.

Kuwa blogger hakumpi haki kuandika vitu ambavyo hana uhakika navyo! Nategemea ana ushahidi na aliyo yaandika na itakuwa vyema athibitishe ...kinyume na hapo anachukuliwa ni muhalifu na muongo na sheria ingekuwa imeanza kazi anatakiwa kutiwa nguvuni!
 
nifah mi nasubiri evidence na facts kutoka kwa Mange maana kimsingi hapa Mange ni mchonganishi labda athibitishe aliyo kuwa ana yaongea yana ukweli!

hata km ana ukweli mfano mm na ww ni ndugu tumegombana,kuna haja gani ya mtu wa 3 kuamua kuingilia mambo yetu ht km nimekukoseaje...?!!then kuingilia kwenyewe anatangaza kwa watu wote km sie hatuelewani bila hata kutuweka chini kutusuluhisha labda hata kwa kuongea na mmoja wetu

vitu vingine viko kifamilia zaidi..!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nachomwitia mnafiki ni kwa kuwa naona ameamua amwanike Nancy kama vile ionekane kuwa na marafiki ni jambo baya hususani wenye pesa.
Yeye kama ameamua ajitenge na marafiki its good for her, ila sio lazima maisha anayoishi yeye ya kutengwa wote wawe ivo.

hana lolote anaona donge ye hana shoga hana rafiki, peke ake tu. Ashawahi kuwaita ht siku moja labda hv... Unafki tu amgues kyln basss...!!!
 
U heaaardd
 

Attachments

  • 1433255526613.jpg
    1433255526613.jpg
    64.5 KB · Views: 558
hata km ana ukweli mfano mm na ww ni ndugu tumegombana,kuna haja gani ya mtu wa 3 kuamua kuingilia mambo yetu ht km nimekukoseaje...?!!then kuingilia kwenyewe anatangaza kwa watu wote km sie hatuelewani bila hata kutuweka chini kutusuluhisha labda hata kwa kuongea na mmoja wetu

vitu vingine viko kifamilia zaidi..!!

Kwani Mange alishawai kuwa na ukaribu na hao wawili?
Mambo mengi Mange alishawai kuropoka lakini hili naona kakosea zaidi!
 
Wenyewe si wanajiita maceleb vioo vya jamii? Ndio wajue kumaliza tofauti zao kabla jamii hawajatoa siri zao za uvunguni
 
Hivi huyu Mange huwa akija bongo anatembea na walinzi?
Huyu mwanamke hajakutana na watu wabaya kiherehere kitamwisha
 
Kwani Mange alishawai kuwa na ukaribu na hao wawili?
Mambo mengi Mange alishawai kuropoka lakini hili naona kakosea zaidi!

kipindi yuko kwenye kuandaa miss tanzania ameshawahi kua nao karibu kipindi hicho!!
 
kipindi yuko kwenye kuandaa miss tanzania ameshawahi kua nao karibu kipindi hicho!!

Duu basi anafanya vibaya sana tena...kama ni kweli kwanini ayaanike hivi wakati ana nafasi hata ya kuonana nao au kuwambia?
Hivi kuna ushahidi wowote unao thibitisha kuwa huyu jamaa aliye na Nancy alishawai kuwa na uhusiano na Nakaaya? au ni maneno matupu?
 
Back
Top Bottom