Ugomvi wa P-Square unamvyomnufaisha Diamond Platnumz

Kuna kipindi nilikuaga shabiki wa kiba,kila siku nikawa naumia uku navunga kumchukia diamond,,ogopa kumchukia mtu ambae kila siku anakuumiza tu kwa vitu vyake vikali wakati unaempenda yeye ndio kwanza anacheza na diamond mwituni.

Mi mpaka sasa ni shabiki wa kiba japo ananiboa kwa upuuzi wa kuchezea kipaji chake..yaani sijui yupoje..hajui kujieleza kwenye inteview hana mikakati inayoeleweka ..unaweza kutetea mziki wake humu kumbe mwenzio yupo jangwani anacheza mpira ..hana hata mpango wa kujisumbua studio..haf siku hizi ana swaga za kibwege bwege yaani aaghh.....watu wakikua ndio wanapata akili lkn yeye ndio anakua kama zezeta...kiba wa macmuga na Cinderella sio huyu kabisa...yaani sasa amebaki yoooo..yooo..yooo..sa ndio nini....aggh ngoja nilale mm
 
Jamani mtamuua Nifah wa watu.
Teh teh teh teeeeeeeeeh.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ali k nae ajiongeze jamani katika kutafta fursa.
 
Hivi kwanin mnapenda kumtaja kiba jamani bila ya yeye mambo kwani hayaendi ??? Acheni hizo bhanaa
 
Hivi kwanin mnapenda kumtaja kiba jamani bila ya yeye mambo kwani hayaendi ??? Acheni hizo bhanaa
Ali kibago lazima atajwe coz yeye ni like nyau anaetaka kushindana na SIMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…