Ugomvi wa Trump na Zelensky pamoja na mataifa ya Ulaya ni kusema vita vimewashinda baada ya kutaraji kupata sifa za ushindi

Ugomvi wa Trump na Zelensky pamoja na mataifa ya Ulaya ni kusema vita vimewashinda baada ya kutaraji kupata sifa za ushindi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mambo tunayoyashuhudia mashariki ya kati ,Ulaya na Asia ni dalili tosha kuwa binadamu akipanga na Mungu anakuwa na mpango wake ulio bora zaidi ambao umejificha.

Kwa wingi wa silaha walizonazo wababe wa dunia na mbwembwe walionza nazo kila mmoja alitaraji kumaliza vita baada ya muda mfupi ifuatiwe na misifa kutoka kwa watu wa kila pembe duaniani.

Matokeo yake kila mmoja yuko hoi na anatafuta suluhu kutoka kwa adui aliyetaraji kumshinda mapema.

Zaidi ya hivyo kuna ugomvi wa aibu baina yao wenyewe kwa wenyewe.Mawaziri kadhaa na makamanda wa Israel wamejiuzulu baada ya kushindwa kuimaliza Hamas.Upande mwengine Trump anagombana na wenzake wa Ulaya waliokuwa kitu kimoja hapo zamani kuzipiga nchi kadhaa za kiislamu kwa visingizio vya uongo.
 
Bado muda kundeleana kupigana upo na muda wa kutafuta suluhu pia upo
 
Muda wa kuendelea kupigana upo na muda wa kupata suluhu pia upo
 
Russia inataka sana suluhu ipatikane ili iondolewe vikwazo na irejeshwe kwenye kundi la G8, hakuna nchi inayoweza kustahimili vikwazo.
 
Russia inataka sana suluhu ipatikane ili iondolewe vikwazo na irejeshwe kwenye kundi la G8, hakuna nchi inayoweza kustahimili vikwazo.
Marekani nayo imeishiwa na misaada inalazimisha vita vimalizike ishughulike na umaskini unaoendelea nchini mwake
 

Russia is winning in special military operation — MEP​


MOSCOW, March 11. /TASS/. Russia is winning in the special military operation and holds the wave of total success on the battlefield, Ukraine has no chance, member of the European Parliament from Slovakia Lubos Blaha said in an interview with TASS.
"What do I see on the battlefield? I can see that Russia is winning. It is a total winning wave. Ukraine has no chance, Ukraine has no manpower and without the Us they have no chance to defend the territories," he said.
Blaha expressed hope that Russian and US Presidents Vladimir Putin and Donald Trump will be able to resolve the conflict in Ukraine. At the moment, Trump is trying to keep his promises, he added.
At the same time, he noted he believes that French President Emmanuel Macron imagines himself to be Napoleon Bonaparte and is leading the world to a major war.
 
Russia inataka sana suluhu ipatikane ili iondolewe vikwazo na irejeshwe kwenye kundi la G8, hakuna nchi inayoweza kustahimili vikwazo.
Putin anataka kuzimiliki tena nchi zote zilizokuwa umoja wa kisovieti.

Akitumia vizuri muda wa uongozi wa Trump, anaweza kufanikiwa, kwa sababu Marekani sasa inaiunga mkono Urusi kwa asilimia 100.
 
Putin anataka kuzimiliki tena nchi zote zilizokuwa umoja wa kisovieti.

Akitumia vizuri muda wa uongozi wa Trump, anaweza kufanikiwa, kwa sababu Marekani sasa inaiunga mkono Urusi kwa asilimia 100.
Ni wapi PUTIN alisema ya kuwa anataka kuzimiliki nchi zote zilizojitenga kutoka umoja wa kisovieti?
je unaweza kuthibitisha haya mkuu?
 
Back
Top Bottom