Figo imesababishwa na upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na virus vya ukimwi.😳😳😳 sio ini?kijana alitupa tabu sana sie team Makonda,cha moto tulikiona japo tulivuka salama.acheni Mungu aitwe Mungu dah
Figo imesababishwa na upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na virus vya ukimwi.
Wale baby mamaz wake watakuwa wanepona kweli. na wale watoto jamani.Tabia za kufurahia matatizo ya wengine yapo Africa tuu
Bint yangu mdogo aliniuliza swali baba watanzania ni watu wa namna gani ukitaka kuwaelezea kwa ujumla. Swali nikiliona gumu usumbufu kama siku tatu sijamjibu mwisho nikaona ujinga nikamwambia muangalie vizuri Theodore bagwell (T_bag )wa prison break.Watanzania sio watu wazuri ni wanafiki mno.Wakati upo juu huwa wanashangilia ila ukishuka chini ndo hao hao wanashiriki kukuzomea.....
Mbona huyu mtu mwingine anapiga watu risasi na yuko chuma? NielewesheUgonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Sasa ruge anaingiaje hapa?Wanakufa wangwana licha ya matendo mema watendayo sembuse Ruge!
Maradhi yapo kwa ajili yetu nasi tupo kwa ajili ya maradhi.
Siku yake ipo, mwisho wa ubaya aibuMbona huyu mtu mwingine anapiga watu risasi na yuko chuma? Nieleweshe
Vipi ameshaota chuchu?Bint yangu mdogo aliniuliza swali baba watanzania ni watu wa namna gani ukitaka kuwaelezea kwa ujumla. Swali nikiliona gumu usumbufu kama siku tatu sijamjibu mwisho nikaona ujinga nikamwambia muangalie vizuri Theodore bagwell (T_bag )wa prison break.
Kama haujawahi kuishi Ulaya usipende kuongea vitu usivyovijuaTabia za kufurahia matatizo ya wengine yapo Africa tuu
Bado kadogo ndugu kaziwanda hako.Vipi ameshaota chuchu?
Alikuwa anawagegeda wasanii wa kiume??? U sure?Ila yule jamaa alikuwa balaa jamn kwanza alkuwa malaya sanaa, pili alkuwa anawaibia sana wasanii inasemekana pia alkuwa anawagegeda wasanii wakiume na wengine kuwabebesha madawa, jamaa yule si mtu mzuri hata kidogo, kwel hata sie tutaumwa na kufa lkn yule jamaa lazma mungu amfunze, ushawah kuona mtu mchawi anavoteswka kabla ya kufa anaropokwa mpk aliowauwa sasa jamaa yule atajuta sana kwa aliyotenda kabla ya kufa....
Sio kitu kidogo hicho,sawa sawa uambiwe umsamehe jiweBrother nikwambie kitu....ukitaka Mungu akutazame mara mbili....basi msamehe na umuombee aliyekukosea ....ki roho safi
Umenikumbusha mbali huyu jamaa huwa hana shukrani hata kama ungemuokoa kwenye kifo.Ni mnafiki sanaBint yangu mdogo aliniuliza swali baba watanzania ni watu wa namna gani ukitaka kuwaelezea kwa ujumla. Swali nikiliona gumu usumbufu kama siku tatu sijamjibu mwisho nikaona ujinga nikamwambia muangalie vizuri Theodore bagwell (T_bag )wa prison break.
Unajua mudy anawapotosha Sana,eti maradhi Ni ibada??? Acheni utumwa wa kidini nyinyi,hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini??? Ama kweli dini ni upofuMaradhi ni ibada,ni mitihani ya mwenyezi Mungu tu,ni moja ya njia ya mwenyezi Mungu kutukumbusha sisi binadamu kua yeye yupo na ni yeye pekee anayepaswa kuabudiwa kwa haki,hata mitume wa Mungu walikua wakiugua pia,
Mleta mada acha kumkufuru Mungu au kuhukumu binadamu wenzako,dunia ni mapito tu,
jiheshimu,
heshimu wenzako.
kisha mpende Mungu,
mwisho wa siku wote tutakufa hakuna atakaye ishi milele,
Mungu awaponye wote wenye maradhi in sha Allah.
Siku hizi maambukizi ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto hayapo tena. Thanks to the medical science.Wale baby mamaz wake watakuwa wanepona kweli. na wale watoto jamani.
Hii thread ilitakiwa kuishia hapa.MIT. :24:17
Usifurahi, adui yako aangukapo; Wala moyo wako usishangilie ajikwaapo;
Ila kuwa na mtoto wa kike challenge sanaBado kadogo ndugu kaziwanda hako.
kuabudu ni kufuata utaratibu/utashi uliowekwa,kuabudu sio kwenda kuomba jumba la ibada,ndio maana hata kupumua,kula,kulala ni ibada,wanaojua maana ya ibada huwa wanaandika'nchi masikini zinaabudu nchi tajiri'..yaanj zinafuata kile watoa misaada wasemacho..the concept of ibadah is broad fella sio kupiga magita weekend...ukiumwa unakua mtu mwema sanaUnajua mudy anawapotosha Sana,eti maradhi Ni ibada??? Acheni utumwa wa kidini nyinyi,hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini??? Ama kweli dini ni upofu
Samahani, huyo mudy mtu wa ajabu, watu wana akili mavi! Mungu hawawezi kutumia njia nzuri kuwakumbusha kuwa yupo?Unajua mudy anawapotosha Sana,eti maradhi Ni ibada??? Acheni utumwa wa kidini nyinyi,hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini??? Ama kweli dini ni upofu
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.