Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

😳😳😳 sio ini?kijana alitupa tabu sana sie team Makonda,cha moto tulikiona japo tulivuka salama.acheni Mungu aitwe Mungu dah
Figo imesababishwa na upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na virus vya ukimwi.
 
Watanzania sio watu wazuri ni wanafiki mno.Wakati upo juu huwa wanashangilia ila ukishuka chini ndo hao hao wanashiriki kukuzomea.....
Bint yangu mdogo aliniuliza swali baba watanzania ni watu wa namna gani ukitaka kuwaelezea kwa ujumla. Swali nikiliona gumu usumbufu kama siku tatu sijamjibu mwisho nikaona ujinga nikamwambia muangalie vizuri Theodore bagwell (T_bag )wa prison break.
 
Mbona huyu mtu mwingine anapiga watu risasi na yuko chuma? Nieleweshe
 
Bint yangu mdogo aliniuliza swali baba watanzania ni watu wa namna gani ukitaka kuwaelezea kwa ujumla. Swali nikiliona gumu usumbufu kama siku tatu sijamjibu mwisho nikaona ujinga nikamwambia muangalie vizuri Theodore bagwell (T_bag )wa prison break.
Vipi ameshaota chuchu?
 
Alikuwa anawagegeda wasanii wa kiume??? U sure?
 
Bint yangu mdogo aliniuliza swali baba watanzania ni watu wa namna gani ukitaka kuwaelezea kwa ujumla. Swali nikiliona gumu usumbufu kama siku tatu sijamjibu mwisho nikaona ujinga nikamwambia muangalie vizuri Theodore bagwell (T_bag )wa prison break.
Umenikumbusha mbali huyu jamaa huwa hana shukrani hata kama ungemuokoa kwenye kifo.Ni mnafiki sana
 
Unajua mudy anawapotosha Sana,eti maradhi Ni ibada??? Acheni utumwa wa kidini nyinyi,hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini??? Ama kweli dini ni upofu
 
Unajua mudy anawapotosha Sana,eti maradhi Ni ibada??? Acheni utumwa wa kidini nyinyi,hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini??? Ama kweli dini ni upofu
kuabudu ni kufuata utaratibu/utashi uliowekwa,kuabudu sio kwenda kuomba jumba la ibada,ndio maana hata kupumua,kula,kulala ni ibada,wanaojua maana ya ibada huwa wanaandika'nchi masikini zinaabudu nchi tajiri'..yaanj zinafuata kile watoa misaada wasemacho..the concept of ibadah is broad fella sio kupiga magita weekend...ukiumwa unakua mtu mwema sana
 
Unajua mudy anawapotosha Sana,eti maradhi Ni ibada??? Acheni utumwa wa kidini nyinyi,hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini??? Ama kweli dini ni upofu
Samahani, huyo mudy mtu wa ajabu, watu wana akili mavi! Mungu hawawezi kutumia njia nzuri kuwakumbusha kuwa yupo?
 

Namna unavyofikiri ni kipimo tosha cha kujua uwezo wako wa kukabiliana na maisha.
Ukiona unafurahia anguko la binadamu mwenzako ilihali hata akianguka ule uwezo wake hauwezi kuwa wako kwa namna yoyote basi ni wakati sahihi wa wewe kujitafakari.
Yamkini ana madudu yake but always, in any way "Man support Man". Business yako Haiwezi kubaki salama kwa kuua business ya mwenzio.

Grow up na utafute mkate wako wa kila siku.
Na la mwisho nikwambie kitu, Hakuna usawa wa maisha toka kuumbwa kwa misingi ya hii dunia. Fight your battle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…