Ugonjwa wa figo umesababisha nishindwe kula kimasihara. Tunzeni figo zenu

Ugonjwa wa figo umesababisha nishindwe kula kimasihara. Tunzeni figo zenu

Nimeongelea angle aliyoelekeza mtoa mada, kwanza siamini kama. Mgonjwa serious wa figo anaeza waza ngono badala ya dialysis.
By the way kisukari kinasababisha figo kufeli pia.
Kuna watu wengine ndio walivyo. Haijalishi hali yake ila bado

Wanaenda kwenye mambo hatarishi. Ni mfano wa wagonjwa wa TB ila anaendelea

kuvuta sigara na pombe kali N.k wengine hawachukulie uzito unao chukulia wewe?
 
Binadamu ni kiumbe kibishi sana!

Unaumwa figo halafu bado unawaza mambo ya uzinzi mzee,ilibidi uwe karibu sana na kutenda mema maana wewe tayari unayo ticket mkononi(though wote tunazo)
Having kidney diseaese is not a death sentence mzee. Now nina elimu kubwa jinsi ya kuishi na ugonjwa huu
 
Nimeongelea angle aliyoelekeza mtoa mada, kwanza siamini kama. Mgonjwa serious wa figo anaeza waza ngono badala ya dialysis.
By the way kisukari kinasababisha figo kufeli pia.
Sasa mkuu utawaza dialysis muda wote wakati ratiba ya kwenda si inajulikana. Hiyo dailysis ni moja ya factor inayosababisha kuwa na low sex drive
 
Daaah! Ama kweli hujafa hujaumbika

Nilikutwa na shida ya figo na nikapata taarifa kwamba itafika kipindi mzuka wa kula papuchi utaisha.

Jana nimepata demu pisi kali nakwenda nae ghetto mgejege umegoma kutoa ushirikiano nikajua tayari CKD ishafanya yake

Jamani tunzeni figo zenu maana athari moja wapo ya huu ugonjwa ni kushindwa kula mzigo ipasavyo. Unachomeka vizuri unashangaa imelalamo ndani huko huko unabaki kuaibika tu.
Enzi zangu nilikua mtu wa show kali sana ila kwa sasa aaaah! Ngoja niwe single tu.
Pole mkuu
 
Nahisi hiyo figo hajafikia pabaya maana mtu mwenye ugonjwa wa figo, kila muda anahofia uhai wake kuliko kuonesha ufundi kitandani.

Sometimes huwa najiuliza hivi tukitoa ngono watanzania tunabaki na nini cha kufikiria na cha kukihofia.

Hata hivyo acha niwaache wafu mzikane
Kwamba watanzania tuna extra pair of chromosomes ya ngono sio? Acha zako mkuu binadamu wote wameumbiwa kufanya ngono kama njia ya kuzaliana na starehe. Ebu fatilia population density ya dunia halafu rudi tena useme watanzania tunawaza ngono tu, sababu product mojawapo ya hizo ngono ni kuzaliana. Je tunawazidi idadi ya watu DRC walio na vita miaka nenda rudi?
 
Kwamba watanzania tuna extra pair of chromosomes ya ngono sio? Acha zako mkuu binadamu wote wameumbiwa kufanya ngono kama njia ya kuzaliana na starehe. Ebu fatilia population density ya dunia halafu rudi tena useme watanzania tunawaza ngono tu, sababu product mojawapo ya hizo ngono ni kuzaliana. Je tunawazidi idadi ya watu DRC walio na vita miaka nenda rudi?

Binadamu wote kivipi ilhali Japan tu watu wanapewa incentives za kuwa na mahusiano na kuondoka kazini mapema!!..

Usinipate vibaya Sio ila sisi watu weusi na wenzetu wengi ambao hatujaendelea kama baadhi ya asians na latinas. Tuna obsession kali sana ya ngono
 
Back
Top Bottom