Ugonjwa wa ghafla na changamoto ya kutembea

SIjakuelewa! Kikao cha familia kujadili afya yako ukaamulu mkeo atoke asiwepo! Kwanini?.
 
Inabd mtoa mada kwanza audhihirishie uma kwamba either hii story ni ya kweli au ni ya kutunga then ndo tuendelee
 
Hilo linaitwa shambulio la kimwili.

Mwili umevamiwa na adui.Na inatokea mtu akipata mlango.
 
Ugonjwa wa ghafra na changa Moto ya kutembea no 3/mwisho....

Baada ya Mimi kubaki na pamoja na mama yangu nilifanyiwa tiba nzito ndani ya lisaa limoja nikajikuta mwili unaanza kujiwa na nguvu

Kiza Kika ingia na Usiku wa manane ulipo ingia Hali ilikiwa ngumu Sana kwangu kwani nilijiskia mwili mzima ukiuma

Nilikuwa nikilala chali Basi mgongo uliniuma vibaya mno"

na nikilalia tumbo Basi kukunja shingo ilikiwa shida nyingine iliyo nitesa Sana

Kila kiungo Cha mwili wangu kiliuma Kwa maumivu makali kuanzia shingo mpaka kidole Cha mwisho Cha mguu wangu

Baada ya kukucha mnamo saanane za mchana mke na mtoto wakawa wamefika tayali na baada ya mda mfupi tiba zikaendelea

Cha ajabu nikwamba nilifika sitembei lakini ndani ya siku nne nilianza kutembelea fimbo

Nilianza kupata tumaini lankuishi Tena nikaanza kupata tumaini lakuungana Tena na familia yangu

Nyayo zangu zilizo kuwa zime vimba zikaanza kupungua taratibu maimivu ya mapaja na mgongo na misuri ya miguu viakaamza kuisha kadri siku zilivyo zidi

Taratiibu nikaanza kutembea Tena japo skuwa natembea umbali mlefu nikama robo ya uwanja wa mpila hivi

lakini nilimshukulu mungu kwa Hilo kwani halikuwezekana kabla

Kadri nilivyo zidi kupata nafuu ndivyo nilivyo jitahidi kufanya mazoezi zaidi na hatimaye baada ya mwezi mmoja na wiki mbili nikawa tayali naweza mpaka kukimbia

Nakumbuka Christmass ya mwaka 2024 na mwaka mpya ya 2025 nime sherehekea nikiwa huko

Hatimaye baada ya mwezi mmoja na wiki mbili ndipo mtaaramu wangu akaniambia Sasa waweza kwenda upo tayali

Nikatajiwa gharama za matibabu sikuamini Ila naamini Kama ingekuwa hospitali Basi ningepigwa pesa ndefu

Kwani gharama ambayo niliitumia pale hospital zile siku sita za mwamzo ilikuwa imeizidi gharama niliyo kuwa nime tajiwa na mzee wangu/mtaaramu pale nyumbani

Mungu mwema nikalipia gharama na ulipo fika mda wa kuondoka safari ikaanza Kisha nikaludi nyumbani na kazini

Baada ya kufika kazini watu walini shangaa kwani niliondoka nikiwa hoi lakini nililudi nikiwa mwenye
Afya tere

Niliondoka nikiwa na langi Kama majivu yaliyo lowa nikiwa hospital kwa muujibu wa mashuhuda lakini nililudi nikiwa nang'aa

Hakika sioni neno zuli lankumshukuru mungu kwa haya aliyo nitendea

nilikuwa wakufa Mimi mungu kanipa nafasi nyingine Tena ya kuishi

Sasa nime pona kabisaa hasa ninapo malizia kipande hiki Cha mwisho nimepona kabisa kabisa siumwi kabisa ndugu zangu

Japo changa Moto ninayo iona kwa sasa ningozi ya miguuni kwenye ugoko mpaka chini ya unyayo na viganjani kubanduka pasipo maumivu yoyote

Na nime jalibu kuwasiliana na mtaaramu ananiambia mwiliwako ndiyo unaludi usjali Wala usiogope

Kwankumalizia naomba niwa kumbushe ndugu zangu Wana jf kwamba..

Shetani yupo na mungu yupo lakinini pia

watu wanao kufa/mizimu wapo wanaishi

..Kingine nikwamba..

kwenye maisha hasa maisha ya mjini ili uishi maisha malefu Basi unapaswa uchague Kati ya haya yafwatayo

1)mungu au shetani

2)mchungaji au mganga

3)uokovu au uovu

Na Kama utachagua Kati ya hayo Basi hakikisha unayatumikia kweli kweli

Kinyume na hapo wewe nimnyama Poli/mnyama asiye na mfugaji/mlinzi tu


ambaye unaweza ukawi ndwa na yeyote mda wowote na pasiwepo na mtu wa kuhoji kwanini umetendwa hivyo

ndugu yangu chagua moja mda bado unao


...Mwisho,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…