Ugonjwa wa ghafla na changamoto ya kutembea

Pole sana mkuu,ni sumu za kiushirikina,pole sana ,Kuna mtu alikulaga andazi na chai akapata dalili kama zako,sadly he died,wahi mapema kadiri siku zinavyozidi ndio hali itazid kuwa mbaya
Hakika mkuu nisumu za kichawi sio kawaida

Na nime pona kwanjia zile zile mkuu🙏🙏
 
Mmh! Pole sana
 
Huyo mganga muongo hao watu wanaojifanya wa vioo wengi wezi na matapeli, utagombana na watu wako wa karibu bure..!!

Na wewe huna imani ndiomana ulimuacha mkeo nyumbani kisa unamtilia mashaka na ugonjwa wako..!!
Huko hospital walivyosema una sukari wala hawakukosea, huo ugonjwa ndivyo ulivyo na hizo dalili zake ndio hizo hizo… sasa muendekeze huyo witch doctor akumalize..!!
 
Hii shida nahis ninayo
Huwa napata kichwfuchefu sana nisipokula kwa wakati
 
Unawezaje kuniambia muongo wakati tayali Kani ponya na Sina sukali Wala presha tena?
 
Dah! Kumbe uliweka jana

Pole sana mkuu hili pito lako limezidi kuimarisha imani yangu
 
Huyo mtaaramu anapatikana wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…