wicalumtata
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 329
- 109
Sawa kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ninalotatizo hili
Hapana havifanani, uvimbe unaoota nyuma ya sikio ni tofauti na huu, uke unaitwa Keloid. mara nyingi matibabu yake ni kukata na kuchoma sindano ya betamethasone kwenye eneo liloathirika. hii hutokana na reaction ya mwili. mara nyingi tafiti zinaonyesha kadri mtu anvyotoga masikio akiwa mkubwa ndo chance ya kupata keloid inakuwa kubwa. Hivyo tunashauri kutoga masikio kwa watoto wakiwa bado wachanga ndo risk ya kupata keloid inapungua. naomba uwaeleweshe na wengine.
Nakutakia kila la Kheri
Mimi ninalotatizo hili
Inapatikana wapi hii dawaTiba Ya Skin Warts Ni Dawa Ya Kupaka Iitwayo WARTS REMOVING PAINT Au WARTS REMOVING SOLVENT.
Matumizi
Nipaka Ktk Sunzua Chache Na Zote Husagika Na Kupukutika Bila Madhara.Mimi Nilikuwa Nazo Mwili Mzima Na Nilipona Kwa Dawa Hiyo Na Gharama Ilikuwa Tsh.7000/=tu
Uwa kinarud tenaNilikuwa nacho mkononi nikakikata nawembe
Mkuu pole sana.
Tiba mbadala ninayoifahamu mimi na iliniponya nilipokuwa secondari ni utomvu wa ile miti (vines) inayopandwa kama hedge na ukikata kitawi kinatoa utonvu mweupe. Huu mti siujui jina lake lakini nadhani wakuu MziziMkavu , FaizaFoxy et al. wanaweza kutusaidia. Hii tiba inafanana na tiba ya utomvu wa papai bichi aliotoa mkuu Nyamgluu
Hivi karibuni swahiba wangu nae aliathiriwa na haya maradhi. Daktari akamuelekeza kununua Dr. Scholl's Wart Remover. (Hii sio dawa ya prescription ni off-the-counter). Aliweka hizi plasta na katika kipindi cha wiki moja zile warts zilidondoka mpaka mizizi. Active ingredient ya hii wart remover ni Salicylic Acid (40%). Sasa kama huwezi kuipapata hii Dr. Scholl's Wart Remover nadhani unaweza kusaga asprin ambayo ina hii Salicylic Acid.
Hapa pa kusaga asprin naomba tuwaulize madaktari ushauri wao.
Riwa watu8 georgeallen AshaDii ZeMarcopolo Mupirocin, et al.