Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

Niliwahi kuwa navyo mwili mzima hata kukoga ikawa tabu vilikuwa na maumivu na vilipona kwa dawa iitwayo WARTS DESOLVING PAINT AU WARTS REMOVING PAINT miaka 20 iliyo pita
 
ukitumia mnyaa huweza kukuachia donda ambalo haliponi ndo matokeo ya kansa usijaribu mnyaa ndugu nilisha pata madhara
 
hellow humu jamani mimi rafiki angu ana hilo tatizo nahisi maana anavosema vimeota kama vinyama viwili na vinawasha akivigusa maeneo ya ukeni... je dawa ndo hiyo SILVER NITRATE NA JE NI INAPATIKANA DUKA LOLOTE LA DAWA AU NI HOSPITALI TU. na ni sh ngapi...
 
hellow humu jamani mimi rafiki angu ana hilo tatizo nahisi maana anavosema vimeota kama vinyama viwili na vinawasha akivigusa maeneo ya ukeni... je dawa ndo hiyo SILVER NITRATE NA JE NI INAPATIKANA DUKA LOLOTE LA DAWA AU NI HOSPITALI TU. na ni sh ngapi...
Ngoja waje watakup majibu
 
Du! Hii kitu nilisikia mwili unawasha sana mguuni, kumbe ndo ilikuwa inakuja. Sasa Mimi kipo mguuni, kinatekenya kinyama. Huwa kikiwasha nakikwangua kiana. Ila kipo kama kimevimba.
Ngoja nitafute hiyo ya papai bichi utomvu kwanza. Ikishindikana ntarudisha jibu hapa. Ila Mimi viliwahi kujitokeza utotoni, 20 years ago! Ila kimerudi tena mguuni..
 
Nimeweka utomvu wa papai bichi!! Nimeweka pamevuta na kutekenya mno!! Panatekenya hatari, natamani nikate hiyo sehemu!!
 
Du! Mkuu mi ninalo moja kwenye ngozi ya mguu!! Nitumie dawa gani kuliondoa? Naona kama kuna vingine vidogo vidogo vinataka kuota pembeni ya mguu!
 
Yani moja tu mguuni limenikosesha raha kabisa. Sometimes linakuwa kama linatekenya
 
Tusipende kufanyia gizani (kuzima taa), iangalie kwanza na ujiridhirishe kama inafaa kwa matumizi.
 
Tusipende kufanyia gizani (kuzima taa), iangalie kwanza na ujiridhishe kama inafaa kwa matumizi.
 
Nimepaka bazuka, cyclic acid, kimepungua lakini bado kimetuna. Sasa nifanyaje
 
Jamani naomba kusaidiwa mtu aliyeotwa na ivo vidude kwenye njia ya uzazi ni dawa gani inafaa. Naona wengi wanaelezea sehemu za mwili kawaida......anayesumbuliwa ni mwanamke
 
Jamani naomba kusaidiwa mtu aliyeotwa na ivo vidude kwenye njia ya uzazi ni dawa gani inafaa. Naona wengi wanaelezea sehemu za mwili kawaida......anayesumbuliwa ni mwanamke
Viotea hivyo kwenye sehemu za siri vinasababishwa na magonjwa makuu mawili,ugonjwa wa kwanza ni kaswende na viotea vyake vinajulikakana kama Condylomata acuminata na ugonjwa wa pili human papiloma virus na viotea vyake vinaitwa Condylomata lata.

Viotea vyote hivi vinafanana sawa kabisa na tofauti yake ni baada ya kupima damu.Matibabu yake yako tofauti kabisa kati ya magonjwa hayo ingawa viotea vyake vinafanana. Viotea vya kaswende vinatibiwa na dawa za kaswende na vile vya human papilloma virus vinatibiwa na dawa ya kupaka ya podophilline au kuunguza na umeme.
 
Dawa yake ni asali, pakaza asali kila siku unapoona vimejitokeza na pia koroga asali na mdalasini na ndio iwe chai yako, asubuhi kabla hujala kitu na usiku kitu cha mwisho, pata glass moja.
sawa sasa hii inaweza kutoa vidude vyeusi usoni mdogo wako nishachakaa
 
Back
Top Bottom