Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,066
- 1,194
je ipi tiba sahii maana nimeanza kupaka iyo dawa usiku huu inaitwa podophyllinGenital warts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je ipi tiba sahii maana nimeanza kupaka iyo dawa usiku huu inaitwa podophyllinGenital warts
Pole sana mkuu....😪hospital wamenipatia hii dawa ndio nimeanza usku huiView attachment 1656340
Nyoka Lazima anyongwePole sana mkuu....[emoji25]
Lakini mbona kama naona mkononi una povu la sabu kwambaaaali sana...[emoji23][emoji23]
sijapaka mafuta mkuu nimepauka tu, punyeto nimeacha leo asubuhiPole sana mkuu....[emoji25]
Lakini mbona kama naona mkononi una povu la sabu kwambaaaali sana...[emoji23][emoji23]
Kama umepewa hospital kwaajili ya kupaka, basi endelea tu kuitumia kwasababu umepewa na wataalam.je ipi tiba sahii maana nimeanza kupaka iyo dawa usiku huu inaitwa podophyllin
hongera yanini mkuuKama umepewa hospital kwaajili ya kupaka, basi endelea tu kuitumia kwasababu umepewa na wataalam.
Ila mkuu, pole na hongera sana....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
assante piaKama umepewa hospital kwaajili ya kupaka, basi endelea tu kuitumia kwasababu umepewa na wataalam.
Ila mkuu, pole na hongera sana....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajudge before erection?..Fupi nene haiwezi kusifiwa.
Mtoto wa kiume unatupa mashaka vijana wenzio aiseeh!!halafu unakibamia Jo,
Kwnani wehuoni..??hongera yanini mkuu
Genital warts
Nenda hosp watakuandikia Podophylin 20%
Acha ngono mpaka upone , nabado ukipona tumia Ndom kwa sababu hizi warts huwa zinakawaida ya kuisha baada ya muda fulan, lkn virusi vyake hubakia naivo ukikutana na Mwanamke unamuachia vrusi nabaada ya muda naye atadevlp izo warts !!!.
Mpaka pale Kinga ya mwili itakaofanikiwa kuwaondoa hao virusi .
sawa mkuu ntafanya ivyo je uchukua siku gani ugonjwa kuishaMtoa mada jibu liko hapa na taratibu mwambata.
Dawa uliyonayo ni sahihi kwa tatizo husika.
kwa sasa nimeanza na mazoezi kuweka mwili sawa maana pia nilizembea mnoMzee umepata Warts na ndo inaanza tumia hiyo dawa utapona...mara nyingi huo ugonjwa huwapata watu walio na kinga dhaifu.