Asanteni sana ndg zangu,nlsoma mtandao flan nkaona hyo beet root nkashndwa kuelewa ni nini.
Nenda Muhimbili ukahudhurie Clinic ya Dr Julie Makani kwenye Program ya Sickle Cell Foundation of Tanzania.
Mpigie Juli kwa namba hii ili akuelekeze cha kufanya......0754 381551.
Pia jipatie habari zaidi hapa,...The Sickle-Cell Foundation of Tanzania
Babu DC!!
watu wanapotaka kuua watoto wa wenzaoNdondi anatibu sickler??
Yule anasumbuliwa na mawili, la kwanza ni njiti na pili ni sickle cell.
Mwana FA kwani nae anasumbuliwa na huu
ugonjwa Mkuu,ila nadhani yuko vema tu.
Haijakaa vema hii.Jitahidi kumfundisha upendo mapema maana asije kuwa kama MwanaFA ambaye naye ana hiyo sickle cell.
Siwezi kuwa na Urafiki na mtu mnafki kama MwanaFA, wala siwezi kuwa ndugu mwenye roho mbaya kama yeye, na ningelikuwa Dokta basi huyu sindano ya sumu ingekuwa halali yake.Haijakaa vema hii.
Ethically!
Hata kama ni rafiki, ndugu, dokta anaemtibu hii haikubaliki
Oh!Siwezi kuwa na Urafiki na mtu mnafki kama MwanaFA, wala siwezi kuwa ndugu mwenye roho mbaya kama yeye, na ningelikuwa Dokta basi huyu sindano ya sumu ingekuwa halali yake.
This is clear msg, kutoka kwa watu tusiopenda upuuzi na kuifanya Dunia isiwe sehemu nzuri ya kuishi.Oh!
I can imagine the hate.
Could be a long vendetta.
was in the dark, niko cape verde mambo mengine ya bongo yananipitaga mkuuThis is clear msg, kutoka kwa watu tusiopenda upuuzi na kuifanya Dunia isiwe sehemu nzuri ya kuishi.
Bofya hapa uone hata Fans wake hawamuhitaji tena kwenye Dunia ya Wastaarabu.
MwanaFA
Ungeniambia upo North Korea au Afghanistan ningekuelewa, sema uko busy na hukuwa na muda wakupitia social media za Bongo.was in the dark, niko cape verde mambo mengine ya bongo yananipitaga mkuu
Kwa ujumla maelezo yako yote sioni pointi yeyote ya kumsaidia ndugu yetu.Pole sana ndugu yangu,
Ila pia naomba kukupa angalizo...sickle cell disease ni ugonjwa wa kuridhi na hauna tiba wala kinga kwa sasa. Kinachotolewa na wataalamu ni tiba ya kupunguza maumivu na ushauli wa jinsi ya kuishi na ugonjwa huo. Kama utajipatia elimu zaidi kuhusu SCD na kuikubali hali ya mwanao basi hiyo ni hatua muhimu katika tiba.
Kama unafikiria kuombewa basi naomba nikueleze kuwa haitakusaidia lolote...
Babu DC!!
Kwa ujumla maelezo yako yote sioni pointi yeyote ya kumsaidia ndugu yetu.
Hata kama huna imani ya dini yeyote, bado sidhani pia kama upo vizuri kwenye sayansi ambayo watu wake hufikia pointi ya kusema 'unknown cause' kwa maajabu yeyote yanayotokea. Wanaamini kuna kisababisho ila hawakijui.
Hakuna ugonjwa wowote katika dunia hii ambao hauwezi kutibiwa kwa maombi kwa MUNGU BABA (hii inategemea na imani yako Kwake na neema Yake)
Huyo mtoto anaweza akapona kabisa aisee! Nina uhakika katika hili. Ni kumuamini MUNGU.
Mzazi wa mtoto aliuliza diet na sio kama kuna tiba. Ila ulichonikera ni kuanza na maelezo yako kwamba huo ugonjwa hauna tiba. Hapa nakubaliana na msemo usemao, "If you have anything nice to tell someone, tell nothing"
Kwa ujumla maelezo yako yote sioni pointi yeyote ya kumsaidia ndugu yetu.
Hata kama huna imani ya dini yeyote, bado sidhani pia kama upo vizuri kwenye sayansi ambayo watu wake hufikia pointi ya kusema 'unknown cause' kwa maajabu yeyote yanayotokea. Wanaamini kuna kisababisho ila hawakijui.
Hakuna ugonjwa wowote katika dunia hii ambao hauwezi kutibiwa kwa maombi kwa MUNGU BABA (hii inategemea na imani yako Kwake na neema Yake)
Huyo mtoto anaweza akapona kabisa aisee! Nina uhakika katika hili. Ni kumuamini MUNGU.
Mzazi wa mtoto aliuliza diet na sio kama kuna tiba. Ila ulichonikera ni kuanza na maelezo yako kwamba huo ugonjwa hauna tiba. Hapa nakubaliana na msemo usemao, "If you have anything nice to tell someone, tell nothing"