Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Hauna tiba ugonjwa huu
Unatibika kienyeji unakuwa ok kabisa within few months. Kuna watu walikuwa wahanga wa hii issue yani ilikuwa kila week lazima akaongezwe damu hospital but now they are ok. Ni zaidi ya watu watano ninaowafahamu wametumia na wapo ok. Haina kuchanjwa chale wala kupiga ramli unakunywa kama dose ya hospital na hutoi gharama yeyote hadi utakapokuwa ok. Nilikuwa mhanga wa hii kitu nina zaidi ya miaka 15 hospital naisikia kwa watu ukiondoa homa za malaria ambazo ni common kwa kila mtu
 
Unatibika kienyeji unakuwa ok kabisa within few months. Kuna watu walikuwa wahanga wa hii issue yani ilikuwa kila week lazima akaongezwe damu hospital but now they are ok. Ni zaidi ya watu watano ninaowafahamu wametumia na wapo ok. Haina kuchanjwa chale wala kupiga ramli unakunywa kama dose ya hospital na hutoi gharama yeyote hadi utakapokuwa ok. Nilikuwa mhanga wa hii kitu nina zaidi ya miaka 15 hospital naisikia kwa watu ukiondoa homa za malaria ambazo ni common kwa kila mtu
Tiba yake n nini mkuu?? Nahtaji kuifajham
 
Tiba yake n nini mkuu?? Nahtaji kuifajham
Kuna bwana mmoja alinipatia dawa za miti shamba zilizosagwa. Alinipatia maelekezo namna ya kutumia kama nakunywa kwa maji ya moto au baridi vijiko vingapi kwa siku. Sizifahamu zinaitwaje maana mimi sio mtaalamu ila namfahamu huyo mtu anakaa wapi. Note hapigi ramli bali anakupatia dawa na matumizi kama vidonge unavyopewa. Ukiwa OK unampatia kiasi kama shukrani. Nilitoa laki mbili kama shukrani
 
Sijawahi sikia kama una dawa kuna mama mmoja alikuwa na ugonjwa huu huruma hadi machozi yalinitoka yani huwa wanapata tabu sana afu moyoni anakuwa anajua mi ni wa kufa tu..
Kila mtu atakufa mkuu,,.
 
Ukiwa hai lazima utakuja kufa tu kwa mfano toka umemfahamu huyo mama ambaye ni mgonjwa umehudhuria misiba mingapi? Mama bado anadunda tu, maradhi sio kifo japo tunaumia.
 
Kuna bwana mmoja alinipatia dawa za miti shamba zilizosagwa. Alinipatia maelekezo namna ya kutumia kama nakunywa kwa maji ya moto au baridi vijiko vingapi kwa siku. Sizifahamu zinaitwaje maana mimi sio mtaalamu ila namfahamu huyo mtu anakaa wapi. Note hapigi ramli bali anakupatia dawa na matumizi kama vidonge unavyopewa. Ukiwa OK unampatia kiasi kama shukrani. Nilitoa laki mbili kama shukrani
Saidia wengine kwa kutoa namba ya mtaalamu maana ugonjwa usikie kwa MWENZIO tuu. Namba pleasee
 
Kila mtu atakufa?? Kwasabab gan
Ukiwa hai lazima utakuja kufa tu kwa mfano toka umemfahamu huyo mama ambaye ni mgonjwa umehudhuria misiba mingapi? Mama bado anadunda tu, maradhi sio kifo japo tunaumia.
 
Saidia wengine kwa kutoa namba ya mtaalamu maana ugonjwa usikie kwa MWENZIO tuu. Namba pleasee
Sio vyema kutoa namba ya mtu hadharani bila ridhaa yake. Anayehitaji anaweza akanipm nikamwelekeza huyo mtu anapatikana wapi na namba nitampatia pia
 
Thanks ila akiwa carrier ndo yupo ktk hali gan, huwa sijui maana ya CARRIER

mkuu,carrier navyojua mimi ni kwamba huyo mtu anavibeba tu hivyo vinasaba vinavyosababisha huo ugonjwa lakini yeye haathiriwi na vinasaba hivyo ila endapo hivyo vinasaba vitakutana na vinasaba vingine vya aina hyo tuseme mwenye nazo anazaa na mwanamke mwenye hivyo vinasaba,basi hapo kuna uwezekano mkubwa sana wa mtoto atakayezaliwa kuwa na huo ugonjwa
 
Unatibika kienyeji unakuwa ok kabisa within few months. Kuna watu walikuwa wahanga wa hii issue yani ilikuwa kila week lazima akaongezwe damu hospital but now they are ok. Ni zaidi ya watu watano ninaowafahamu wametumia na wapo ok. Haina kuchanjwa chale wala kupiga ramli unakunywa kama dose ya hospital na hutoi gharama yeyote hadi utakapokuwa ok. Nilikuwa mhanga wa hii kitu nina zaidi ya miaka 15 hospital naisikia kwa watu ukiondoa homa za malaria ambazo ni common kwa kila mtu
Naomba unielekeze wapi kwa pa kumpata huyo mtaalam au contacts zake, please nisaidie
 
Nimepewa namba hizi...0755314535 jamaa yangu anasema kuna mtu huko Dar es salaam njia ya kuelekea Morogoro anatibu huu ugonjwa kwa tiba asili. Dozi ni laki tatu na nusu. anasema unaanza kuona matokeo ya dawa baada wiki mbili. Mwaweza na ninyi kumuuliza mpate ukweli wa tiba yake. jamaa yangu alisema alimsikia redioni akitangaza tiba hiyo.
 
Kuna Mzee mmoja maeneo ya Korogwe Tanga anauwezea ugonjwa wa sickle cell. Kama unahitaji nikuunganishe na MTU aliyefanikisha.
 
Back
Top Bottom