Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

sijapotosha ndugu mimi sio doctor otherwise niulize then nipate jina lake..ila yeye alijua anachoma Aghakan..

wewe hizo sindano zipo ila hazihusiani na sicklecell directly ni mambo -ve or +ve kwenye rh's kwa wazazi huwa mwanamke ashiki mimba kila akishika inaweza misscarry mpaka wachomwe hizo sindano so sio sickle cell tu ndo husababishwa na hizo rh.
 
Wadau,

Naomba kueleweshwa kama ukioa mtu mwenye sickle cell, kuna uwezekano wa watoto kurithi huo ugonjwa?
Na kuna kinga yoyote ambayo mtu mwenye sickle cell anaweza kupewa ili asimrithishe mtoto kama ugonjwa huo unarithishwa?
 
Huu ugonjwa ndiyo unarithiwa hata mtu asipoonyesha anakuwa carrier. Ngoja waje wataalam
 
Ugonjwa wa kisukari umegawanyika ktk sehemu kuu mbili(1)kisukari cha kurithi (2)kusukari kinachotokana na matatzo(magonjwa)mbalimbali ktk mwili.ndiyo tiba ya ugonjwa huo ipo na mtu anapona kabisa,nina dawa za kutibu ugonjwa huo,kwa anayeitaji na anasumbuliwa na ugonjwa huo anitafute.0759217720.
 
Wadau,

Naomba kueleweshwa kama ukioa mtu mwenye sickle cell, kuna uwezekano wa watoto kurithi huo ugonjwa?
Na kuna kinga yoyote ambayo mtu mwenye sickle cell anaweza kupewa ili asimrithishe mtoto kama ugonjwa huo unarithishwa?
Sickle cell ni ugonjwa wa kurithi,na hakuna kingia kuzuia watoto wako wasiupate.Kuna 50% chance kwamba mtoto atakayezaliwa anaweza kurithi.
kama tukichanganya
XX na XY =XX XY XX XY
XX=mtu asiye na sickle cell anemia
XY=mtu mwenye sickle cell anemia
 
Sickle cell ni ugonjwa wa kurithi,na hakuna kingia kuzuia watoto wako wasiupate.Kuna 50% chance kwamba mtoto atakayezaliwa anaweza kurithi.
kama tukichanganya
XX na XY =XX XY XX XY
XX=mtu asiye na sickle cell anemia
XY=mtu mwenye sickle cell anemia

Umenena vyema gorgeousmimi natumaini amekuelewa vizuri
 
Last edited by a moderator:
Sickle cell ni ugonjwa wa kurithi,na hakuna kingia kuzuia watoto wako wasiupate.Kuna 50% chance kwamba mtoto atakayezaliwa anaweza kurithi.
kama tukichanganya
XX na XY =XX XY XX XY
XX=mtu asiye na sickle cell anemia
XY=mtu mwenye sickle cell anemia

Thanks mkuu.
 
pole ndugu..ndo maana mnaambiwa mpime blood groups kabla ya juamua kutengeneza.mtoto sababu kama sio negative groups zenu basi ni ya kurithi..
mimi sio daktari wala mtaalam wa haya mambo ila limewah kutokea kwa rafiki wa dada yangu..yeye alivogundua kuwa damu zao ni -ve na wanataka mtoto yeye na mchumba wake walienda kwa daktari na akawashauri kumtengeneza mtoto kwa masharti ya mama kichomwa sindano ya kuzuia hilo tatizo la anaemia pindi atakapozaliwa maana asilimia kubwa ilionyesha lazima wapate mtoto wa aina hiyo...basi akawa anachoma hizo sindano zenyewe ni gharama pia..mtoto akazaliwa akiwa na kiwango kidogo sana cha kuweza kupata anaemia..sasa ana miaka 17 na huwa wanasema hata mtoto akitibiwa vipi mwenye sickle cell hawez kuishi zaid ya miaka 15 ikizid ni bahati sana..wengi hupoteza maisha wakiwa na umri mdogo wa miaka 5-8.samahan jwa kulisema hili sikutishi ila sijui wa.kwako ana umri gani..
tuwasubiri wataalam kwakweli maana mimi sijawahi kusikia tiba baada ya mtoto kuzaliwa ila nlishasikia kinga tu kabla hajazaliwa..
ushauri unaotolewa na madaktari pia ni kuepuka kuzaa ili kuepusha uwepo wa tatizo hili...ila uwezekano wa kupata mtoto nwingine ambae hana upo kama mtakua na uwezo wa mama kudunga hizo sindano kwa miez yote 9.hebu madoctor njooni huku..
Mimi nn sickle cell na nn umri wa miaka 28 so ukiongea kitu iwe unakielewa kiundani na si kulopoka. Pia nna mtoto mmoja wa kike ambaye hana ugonjwa
 
Mimi nn sickle cell na nn umri wa miaka 28 so ukiongea kitu iwe unakielewa kiundani na si kulopoka. Pia nna mtoto mmoja wa kike ambaye hana ugonjwa

dizain kama wewe ndio unayelopoka maana uliyem-quote ameandika kuwa yeye sio dokta wala mtaalamu wa haya mambo, hivyo ye katumia uzoefu tu, sasa kosa lake lipi au kalopoka vipi?
 
Habari ndugu,
Nina mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka miwili sasa.Tangu alipozaliwa alikuwa na matatizo ya upungufu wa damu(anaemia) na baadae kugundulika kuwa ana tatizo la sickle cell (Hbss).Kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kuanzishiwa cliniki pale muhimbili.
Kwa maelezo ya daktari pale muhimbili hakuna tiba ya ugonjwa huu kwa sasa,kinachofanyika ni kuudhibiti (control) tu kwa kumpatia mtoto vidonge vya folic acid and penicilin-V,je
1-hakuna tiba mbadala juu ya tatizo hili?
2-Kwa kuendelea kutumia dawa hizi,mtoto anaweza kukua na kufikia kuwa mtu mzima bila matatizo?
3-Kwa maelezo ya daktari sisi(yaani mimi na mke wangu) tuna chance ya kupata mtoto mmoja mwenye sickle cell kwa kila watoto wanne(kwa kuwa ni carrier yaani HbAs),na kwa vile mtoto wetu wa kwanza tayari anatatizo hili,je waliobaki (watatu) hakuna chance ya wao kupata tatizo hili?
Nitashukuru sana kupata majibu au ufafanuzi wa mambo haya.
Asanteni sana.

mkuu kwanza pole...
kiukweli kutibu kabisa huu ugonjwa ni ngumu.
Njia pekee yenye yenye matokea chanya kwa mda mrefu ni BONE MARROW TRANSPLANT.
hapa itabidi awepo mtu wa kujitolea hizo bone marrow kisha ndio zisafishwe na kupandikizwa kwa mgonjwa, zile za mgonjwa zinazozalisha cycle cells zitaondolewa..
Hii op ni ghali sana na kupata hizo bone marrow toka kwa mtu mwingine pia ni vigumu..kwa hapa tz hii haifanyiki.
wagonjwa wengi huishia kupewa dawa za kupunguza madhara ya cycle cells,ni vema kuwasiliana na madaktari ili wawe wanawapa ushauri hata mnapopanga kupata mtoto.
pia ni vyema kumfanya huyo mtoto mwenye hilo tatizo ajielewe mapema hali inayomkabili, akiwa mkubwa kwenye kapata partner inabidi apimwe kwana ili dokta ajue kama huyi partner wake ana genes za huo ugonjwa... hii itasaidia kuepuka na yeye kupata mtoto mwenye tatizo hilo..

Tiba kwa maana ya dawa hakuna iliyothibitishwa kutibu ila zipo ninazosaidia tu kupunguza ndio kama hizo anazopewa muhimbili.
 
Sikuwahi kusikia tiba za ugonjwa huu kwa kweli zaidi umlikie Mungu maana yeye ndie mmponyaji mkuu na anaweza kumuondolea mwanao hilo tatizo
 
Mimi nn sickle cell na nn umri wa miaka 28 so ukiongea kitu iwe unakielewa kiundani na si kulopoka. Pia nna mtoto mmoja wa kike ambaye hana ugonjwa[/QU
Pole sn ndugu yangu na asante kwa kumprove wrong huyo aliyetuma hiyo post.
Naomba uendelee kunipa ushirikiano na ushauri juu ya matunzo ya watoto wenye hili tatizo.
Nimechelewa kureply kwa kuwa nilikuwa nje ya mtandao kwa muda mrefu.
 
Habari gan ndgu, naombeni ushauri ktk hii kitu(sickle cell anaemia) maana inanipa utata kdgo,
Kwa kawaida n ugonjwa wa kurithi ila inakuaje kama :-

1) Mwanamke ndiye mwenye hvyo vimelea ila mwanaume hana na mwanamke n Carrier wa Sickle cell?

2)Baba ndiye mwenye hvyo vimelea vya sickle cell ila mama hana na kwa upande wa mwanaume kuna wenye huo ugonjwa?

3)Je kuna hatari gan endapo kutakua na familia ya wenye ugonjwa huo?

4)Kuna hatari gan ktk kutunga mimba kwa mwanamke Mwenye sickle cell had kujifungua?

5)Watu wenye sickle cell huwa wana madhaifu gan kiafya?


Naomben[emoji120] mnisaidie katika hayo machache wandugu
 
Mkuu kheri

Iko hv ili mtoto azaliwe na sickle cell anaemia disease ni lazma wazaz wote wachangie traits au sifa.

Kama maana hyo mzaz mmoj akiwa hana genes za ugonjwa huo hawez kuzaliwa akiwa na sickle cell anaemia disease. Ila anaweza kuzaliwa kama carrier

Kuhusu mama mwenye sickle cell kushika ujauzito na kulea ni kwamba complication atakayopata kubwa ni Anaemia kwa maana ya upungufu wa damu hvyo anahitaji care kubwa sana
 
Mkuu kheri

Iko hv ili mtoto azaliwe na sickle cell anaemia disease ni lazma wazaz wote wachangie traits au sifa.

Kama maana hyo mzaz mmoj akiwa hana genes za ugonjwa huo hawez kuzaliwa akiwa na sickle cell anaemia disease. Ila anaweza kuzaliwa kama carrier

Kuhusu mama mwenye sickle cell kushika ujauzito na kulea ni kwamba complication atakayopata kubwa ni Anaemia kwa maana ya upungufu wa damu hvyo anahitaji care kubwa sana
Thanks ila akiwa carrier ndo yupo ktk hali gan, huwa sijui maana ya CARRIER
 
Carrier anakuwa na genes au traits za ugonjwa huo lakin unakuwa haumpi madhara wala kumsumbua

Kwake yeye havina madhara
 
Back
Top Bottom