Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini
Umepima au unahic? Na umetumia dawa zipi mpaka sasa?
 
Nani ana dawa ya vidonda vya Tumbo ambaye anapatikana mikoa ya kanda ya ziwa nimtafute mwenyewe.
 
Asante mleta mada kwa moyo wa Uzalendo.
Wengi wanaosumbuliwa na vidonda vya tumbo wanashindwa kumudu matibabu ya hospitari.
 
Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini
Ninayo. Ukiitaka nipe siku Tatu tu za maandalizi. Bei 150,000/= kama uko dar utaifuata mwenyewe. Mkoa utaweza gharama za usafiri. Ni siku saba tu tatizo litaisha. Simu 0755557094. Copy MziziMkavu, mwalimu wangu.
 
Jamaan mamangu anasumbuliwa sna ,Mara nyingi kila anachokula anatapika sas sijui vimefikia hatua Gani anaeza wiki nzima aisile kila anachokula anakitapika ,msaada pia kuhusu dawa nimtibu
 
Sorry mimi nimepimwa kwa Barium meal x ray nimeambiwa Nina chronic gastritis na sijaambiwa ulcers lakn dawa nilizopewa na mashart nlopewa ni ya vidonda vya tumbo sasa nashindwa kuelewa kma nna vidonda vya tumbo au hiyo gastritis ni kitu kingne ?
 
NA Mimi sehemu za siri zinawasha NA ngozi kukakamaa NA wakati mwingine inakuwa inatoka magamba magamba, Nimetumia Dawa nyingi za hospital bila kupona, Je huu ni ugonjwa gani?Nini tiba YAKE?
 
Pouwa

Sent from my SM-T531 using JamiiForums mobile app
 
Asante sana mleta mada,kwani hili ni tatizo la wengi wetu.
Ila mimi kama mmoja wa waathirika wa vidonda vya tumbo,moja ya vyakula ambavyo sithubutu kula ni NDIZI,kwan huwa zinanitesa sana.....Sasa labda ungefafanua ni ndizi zaidi hufaa
 
Jamaan mamangu anasumbuliwa sna ,Mara nyingi kila anachokula anatapika sas sijui vimefikia hatua Gani anaeza wiki nzima aisile kila anachokula anakitapika ,msaada pia kuhusu dawa nimtibu
Pole mkuu. Kuna jamaa yuko Dom alimtibu mchumba wangu miaka michache iliyopita. Alipona kabisa na anakula kila kitu.
 
NA Mimi sehemu za siri zinawasha NA ngozi kukakamaa NA wakati mwingine inakuwa inatoka magamba magamba, Nimetumia Dawa nyingi za hospital bila kupona, Je huu ni ugonjwa gani?Nini tiba YAKE?
Fangus hizo..
 
Baada ya kusumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda sasa leo nimeenda kupima nanimekutwa na vidonda vya tumbo vinavyo sababishwa na (H-PYROLLI)
Kutokana na kujaa kwa dispensary zinazojisifu kutibu nimeamua kuangalia upande mwingine kama kuna mtu anafaham mtaalamu kabla ya kujitosa kutafuta tiba kwenye hizi zahanati nipo Nyegezi MWANZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…