Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Umepima au unahic? Na umetumia dawa zipi mpaka sasa?Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini