Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Maziwa fresh naweweee
Toka lini mgando ikaponya au kukupa afya[emoji35]
We upo sirias unaumwa au unatupotezea chaj tu za sim


Wewe ulisema tu 'maziwa'. Kwahiyo maziwa mgando siyo 'maziwa' eeh?
Acha uduwanzi. Unapoeleza kitu be specific.
Nasisitiza... unapoelezea tiba, hakikisha unakuwa SPECIFIC. You have to pre-empty any necessary question from readers.
Alafu acha ukilaza. Jibu maswali yote unayoulizwa.

-Kaveli-
 
Kwa kukusaidia ni pm nikusaidie matibabu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pendelea Kunywa Supu ya Pweza (Mkuyati) atleast mara moja kwa siku! Ninakuhakikishia Maradhi ya Kiajabu ajabu yote yatakuondokea.
"Trust me"
 
Mwez wote huo wa nn wakat Kuna dawa kibao ndan ya wiki au wiki mbili yuko safi
 

Mkuu tumia hizo dawa utapona. Mi nilikumbwa na hill tatizo km miezi sits iliyopita. Baada ya vipimo nilikosa raha nikijua hakuna dawa lkn Dr. Akanianfikia dawa ilibidi nimuulize Dr. Nitapona kweli? Akanambia nitapona ila nifuate mashart nisitumie kitu chochote chenye acid akanitajia baadhi. Njia nzima nikawa nagoogle vyakula VP vina acid. Nilijitahidi sikuvigusa hata kidogo. Baada ya kumaliza dozi pia nilikaa km wiki situmii badae nikaendelea kula. Sijawah kuvisikia tena.
 
Nashauri hakikisha unapata dawa ambazo ni effective kuua hawa bacteria, unaweza kutumia naturar antibiotics pia ziko vzuri. Vinginevyo utakuwa unatuliza tu tatzo linarudi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…