Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kilo 68Mwili wako kilo ngapi
Nimekuuliza una kilo ngapiYap ngoja niianze doz iyo jioni, ko ni kiasi gani unatakiwa unywe?
Kama urefu na kilo vinaendana, hapo utakuwa na vidonda kweli. Ila kama sivyo, nijibu nikueleze tatizo nini.Ni kilo 68
Mbn nimekujb tyrNimekuuliza una kilo ngapi
khee hata hajapona umeanza kumwambia aende kanisani kwani umejuaje km ni mkristuHabari, utahangaika Sana na dawa za Hospital, nakushauri tumia Maji ya kuoshea mchele yaliyo Safi, kunywa mara 2 Kwa simu. Harafu nenda kanisani kamshukuru Mungu. Nimekusaidia bure sihitaji hata Mia yako, nawe ukipona wasaidie wengine bure.
unataka kupona, nitafute! hata maharage utakula sana na utapona sana!Habari dr. Polee na majukumu ya kazi yako! Mi n kijana mwenye umri below 30, ni miez miwili nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nimeenda kama hosptl kama mbili iv lakini nkitumia doz nakuwa afazar kama wk iv tena unakuta najickia maumivu ka moto unawaka tumboni apa maeneo ya chini ya chembe ya moyo so naitaji ushaur wako ni dawa gani ntumie ili niwe salama,ingawa masharti yote ya vyakula walivonambia nisile nimetii lakini bdo tatzo lipopalepale?
Hata msikitini pia amshukuru Mungu, Mungu wetu ni mmoja Kwa wanadamu wote ubaguzi ni ujinga wetu Tu wanadamu, ndio maana nasaidia bila kujali dini yako.khee hata hajapona umeanza kumwambia aende kanisani kwani umejuaje km ni mkristu
kuna formula ya mimea, mimi ndio ninae jua kutengeneza@! kama unaitaji niambie! nikutengenezee siku ya kwanza!Habari dr. Polee na majukumu ya kazi yako! Mi n kijana mwenye umri below 30, ni miez miwili nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nimeenda kama hosptl kama mbili iv lakini nkitumia doz nakuwa afazar kama wk iv tena unakuta najickia maumivu ka moto unawaka tumboni apa maeneo ya chini ya chembe ya moyo so naitaji ushaur wako ni dawa gani ntumie ili niwe salama,ingawa masharti yote ya vyakula walivonambia nisile nimetii lakini bdo tatzo lipopalepale?
ahaa oky mi nina dalili zote za vidonda infact nipo kwenye dozi fulani hivi ya kurejesha mfumo wangu wa vimengenyo ukae sawa nikimaliza ntacheki kama nina vidonda halafu nitanza kutumia hii dawa yako nitibikeHata msikitini pia amshukuru Mungu, Mungu wetu ni mmoja Kwa wanadamu wote ubaguzi ni ujinga wetu Tu wanadamu, ndio maana nasaidia bila kujali dini yako.
Glass moja tuYap ngoja niianze doz iyo jioni, ko ni kiasi gani unatakiwa unywe?
Nina kilo 54 na urefu 167 ... Nina vidonda ama na mie ni tatizo ingine maana vikiamkaga natamani jichimbia kabisaKama urefu na kilo vinaendana, hapo utakuwa na vidonda kweli. Ila kama sivyo, nijibu nikueleze tatizo nini.
..kilo 54?,Nina kilo 54 na urefu 167 ... Nina vidonda ama na mie ni tatizo ingine maana vikiamkaga natamani jichimbia kabisa
Unamaanisha au utani mkuu ?Habari, utahangaika Sana na dawa za Hospital, nakushauri tumia Maji ya kuoshea mchele yaliyo Safi, kunywa mara 2 Kwa simu. Harafu nenda kanisani kamshukuru Mungu. Nimekusaidia bure sihitaji hata Mia yako, nawe ukipona wasaidie wengine bure.
Aya inabidi utupe mlejesho mapemaahaa oky mi nina dalili zote za vidonda infact nipo kwenye dozi fulani hivi ya kurejesha mfumo wangu wa vimengenyo ukae sawa nikimaliza ntacheki kama nina vidonda halafu nitanza kutumia hii dawa yako nitibike
mhhh aya ndo nini?Aya inabidi utupe mlejesho mapema