savo
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 293
- 233
Sawa!ila tusaidiane ndugu,kwn we uko wap?kuna formula ya mimea, mimi ndio ninae jua kutengeneza@! kama unaitaji niambie! nikutengenezee siku ya kwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!ila tusaidiane ndugu,kwn we uko wap?kuna formula ya mimea, mimi ndio ninae jua kutengeneza@! kama unaitaji niambie! nikutengenezee siku ya kwanza!
una uhakia?..kilo 54?,
.we una utapiamlo tu!
Mjifunze kutoa faraja kwa wenzenu..kilo 54?,
.we una utapiamlo tu!
...hebu pitia ghetto unisamaraizie hilo gazeti lako,mhhh aya ndo nini?
aya= haya
ahaa afadhali umeelewa aya zipo kwenye bibia na quran...hebu pitia ghetto unisamaraizie hilo gazeti lako,
.mi kidhungu sijui!
..faraja kwani kafiwa huyo?Mjifunze kutoa faraja kwa wenzenu
asante mkuu ubaguzi ni upumbavu mtupuHata msikitini pia amshukuru Mungu, Mungu wetu ni mmoja Kwa wanadamu wote ubaguzi ni ujinga wetu Tu wanadamu, ndio maana nasaidia bila kujali dini yako.
..sijaelewa bhana,ahaa afadhali umeelewa aya zipo kwenye bibia na quran
mie ni dume uandae na mafuta ya mgando😀😀😀😉😉😉..sijaelewa bhana,
.njoo unieleweshe!
Una waza kwa sauti au unamwambia dawa??Habari, utahangaika Sana na dawa za Hospital, nakushauri tumia Maji ya kuoshea mchele yaliyo Safi, kunywa mara 2 Kwa simu. Harafu nenda kanisani kamshukuru Mungu. Nimekusaidia bure sihitaji hata Mia yako, nawe ukipona wasaidie wengine bure.
Sawa mkuuunataka kupona, nitafute! hata maharage utakula sana na utapona sana!
Ni mkristo haswakhee hata hajapona umeanza kumwambia aende kanisani kwani umejuaje km ni mkristu
...teh hee heemie ni dume uandae na mafuta ya mgando😀😀😀😉😉😉
...teh hee hee
..na tiketi ya Mombasa utaikuta.
.sema jingine
Asnte! Ila hii ni unaelezea ni kwnn vinatokea so tiba yake ni ipi?Dawa ni peace of mind na amani,ike gastric juic inakujaga sabab ya stress,inakusababisha upoteze apetite,then unashindwa kula,then michubuko tumbon,na badae vidonda.