kibanga 3
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,380
- 977
Poa kiongoziDetails zote utapata mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kiongoziDetails zote utapata mkuu
Zinakuwa aina mbili kuna ya vidonge na nyingine vipaketi vikiwa na kimiminika lkn zote zinatinga fresh tuPoa kiongozi
Hizo za kimiminika unatumiajeZinakuwa aina mbili kuna ya vidonge na nyingine vipaketi vikiwa na kimiminika lkn zote zinatinga fresh tu
Wewe umetumia ipi kimiminika au vidonge au zote kwa pamojaZinakuwa aina mbili kuna ya vidonge na nyingine vipaketi vikiwa na kimiminika lkn zote zinatinga fresh tu
Unakuwa unanyonya hayo maji (dawa) kwa paketi zinazokuwa humo ndani ya kibox/dozeHizo za kimiminika unatumiaje
Pamoja na vidonge?Unakuwa unanyonya hayo maji (dawa) kwa paketi zinazokuwa humo ndani ya kibox/doze
Nilitumia ya kidonge hiyo baada ya mwenyeji kuichagua (inakuwa kama vile amoxylin ilivyo)Wewe umetumia ipi kimiminika au vidonge au zote kwa pamoja
Poa kiongoziNilitumia ya kidonge hiyo baada ya mwenyeji kuichagua (inakuwa kama vile amoxylin ilivyo)
No ukichukua ya fluid in packet (sachets) basi unatumia hiyo hiyo (ni kama unavyoona dawa ya flagile kuna ya maji na vidonge hivyo ni option yako) na ukiamua kutumia ya vidonge basi ni hivyo hivyoPamoja na vidonge?
Dozi ni siku ngapi?Nilitumia ya kidonge hiyo baada ya mwenyeji kuichagua (inakuwa kama vile amoxylin ilivyo)
Inategemea na ukubwa wa tatizo just five days brother lkn unaweza pewa karibu ya wiki mbili kutegemea na tatizo lilipofikia ndiyo sababu kupima ni mhimu sana. Mimi huwa vinanipata nikiwa na stress hasa za kimaisha huwa siko serious sana japo ni muda mrefu vinanikumba yaani unasikia kama unababuliwa moto harafu vinapanda kuja kifuani.Dozi ni siku ngapi?
Pole ndugu na mimi ndio hivyohivyoInategemea na ukubwa wa tatizo just five days brother lkn unaweza pewa karibu ya wiki mbili kutegemea na tatizo lilipofikia ndiyo sababu kupima ni mhimu sana. Mimi huwa vinanipata nikiwa na stress hasa za kimaisha huwa siko serious sana japo ni muda mrefu vinanikumba yaani unasikia kama unababuliwa moto harafu vinapanda kuja kifuani.
Kwa kweli vidonda vya tumbo huwa nafananisha na uchungu wa kujifungua japo ni simulizi tu nazipataga kwa wife na akina mama (huwa navuta hisia hivyo maana vinakuwa na maumivu makali huku ukiwa na afya tu kiasi kwamba mtu a naweza fikiri unawaenjoy)Pole ndugu na mimi ndio hivyohivyo
Huu ugojwa niwahovyo sana kaka. Assume usile maharage na unavyofahamu maharage kwa wali!! Haya sasa usinywe maziwa na wale mnaotumia tungi!!! Mara eti usiwaze!! Hivi kuna binadamu ambaye hana mawazo!?Pole ndugu na mimi ndio hivyohivyo
Hilo la kuwaza hata mimi sielewagiHuu ugojwa niwahovyo sana kaka. Assume usile maharage na unavyofahamu maharage kwa wali!! Haya sasa usinywe maziwa na wale mnaotumia tungi!!! Mara eti usiwaze!! Hivi kuna binadamu ambaye hana mawazo!?
Harafu huku usipotumia pombe wanakuona kama popoma flani hivi maana kila sehemu ukialikwa lazima tungi liwepo na nyama choma[emoji2] [emoji2]Hilo la kuwaza hata mimi sielewagi
Hahahaaa kiongozi unateseka sanaHarafu huku usipotumia pombe wanakuona kama popoma flani hivi maana kila sehemu ukialikwa lazima tungi liwepo na nyama choma[emoji2] [emoji2]
Hapana kaka nishaanza kutoka pasuHahahaaa kiongozi unateseka sana