Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Ambition plus,
Mkuu huyo mama amepoteza simu. Nikienda kwake Goba nikipata mawasiliano nitaweka namba humu kwa faida ya wote. Amenitibu nimepona kabisa kwa sasa. Sijajua anachanganya dawa gani ila asali mbichi ni sehemu ya dawa. Mimi nimetumia dawa baada ya miez 6 nikaanza kula ambavyo haviliwi na ulcers patient.
Mkuu huyo mama amepoteza simu. Nikienda kwake Goba nikipata mawasiliano nitaweka namba humu kwa faida ya wote. Amenitibu nimepona kabisa kwa sasa. Sijajua anachanganya dawa gani ila asali mbichi ni sehemu ya dawa. Mimi nimetumia dawa baada ya miez 6 nikaanza kula ambavyo haviliwi na ulcers patient.