Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hatukukubaliana baada ya muda, tulikubaliana baada ya mwezi tuItachukua mda kujenga uchumi uliozorota, tujipe mda. Haina namna ya kulaumu.
Kilichopo ni kwamba michongo migumu period.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatukukubaliana baada ya muda, tulikubaliana baada ya mwezi tuItachukua mda kujenga uchumi uliozorota, tujipe mda. Haina namna ya kulaumu.
Kilichopo ni kwamba michongo migumu period.
Kabisa..ukifikahii mitaa ya bandari fuata hii road ya TPA headquarter kisha BIMA then ulizia uda ni wapi watakuelekeza hukoShukrani mkuu nitafanya namna nifike huko, wanasema ridhiki ya dog ipo miguuni mwake.
Aamyn aamynUliandikisha jina lako, ulipeleka maombi, anyway Mungu akufanyie wepesi ufanikiwe haraka (Amin)
Ulikubaliana na nani??Tulikubaliana baada ya mwezi tu tutaanza kuokota pesa mitaani. Imekuwaje tena?
Au kupunguza mishahara ya wabunge na posho na marupurupu yasio na maana na fedha itakayookolewa iende kufanikisha ajira za watumishi wapyaPoleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.
Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m. So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
What is your profession ndugu??Shoutout.
Solution mindset.
Ha haa! Thats a peanut! We are talking of trillions of additional fund needed to stimulate post pandemic job creation esp for young adults here.Au kupunguza mishahara ya wabunge na posho na marupurupu yasio na maana na fedha itakayookolewa iende kufanikisha ajira za watumishi wapya
Very disappointingKama ulitegemea kuokota hela utapata tabu sana! Vinginevyo uweke marinda yako bondi.
Wakati Wafanyabiashara wanapiga kelele VAT ishuke kutoka 18% wewe unataka ifike 20%Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.
Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m. So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
For you to be able to walk, you start with step 1Ha haa! Thats a peanut! We are talking of trillions of additional fund needed to stimulate post pandemic job creation esp for young adults here.
And fyi, doing that will create even a bigger problem 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ha haa! Thats a peanut! We are talking of trillions of additional fund needed to stimulate post pandemic job creation esp for young adults here.
Hali kutengamaa mpaka miaka miwili mitatu ipite...ndo nafuu itaonekanaTulikubaliana baada ya mwezi tu tutaanza kuokota pesa mitaani. Imekuwaje tena?
We unafikiria matilioni ili uje ufurahishe raia laki moja huku ukiimiza mamilioni ya raia, inapaswa tubane matumizi pia tutengeneze vyanzo vya mapato zaidi ambavyo ni non-tax Sawa.Ha haa! Thats a peanut! We are talking of trillions of additional fund needed to stimulate post pandemic job creation esp for young adults here.
Kama mbu wameshindwa kukuua, 2% haiwezi kukuua pia iwapo utitiri haumuui kuku, iwapo kupe hawamuui ng'ombe na iwapo viroboto hawamuui mbwa.We unafikiria matilioni ili uje ufurahishe raia laki moja huku ukiimiza mamilioni ya raia, inapaswa tubane matumizi pia tutengeneze vyanzo vya mapato zaidi ambavyo ni non-tax Sawa.
Vat ya 18% ya sasa ni maumivu tupu, tunalilia ishuke hadi angalau 12%, from nowhere we unataka iwe 20% duuh bongo nyoso.Kama mbu wameshindwa kukuua, 2% haiwezi kukuua pia iwapo utitiri haumuui kuku, iwapo kupe hawamuui ng'ombe na iwapo viroboto hawamuui mbwa.
Mchumi wetu wala hana habari kwamba VAR ni 12% yeye anadhani bado ni 18%Vat ya 18% ya sasa ni maumivu tupu, tunalilia ishuke hadi angalau 12%, from nowhere we unataka iwe 20% duuh bongo nyoso.
Imeshuka lini ?Mchumi wetu wala hana habari kwamba VAR ni 12% yeye anadhani bado ni 18%