Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.

Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.

So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
Wewe huna nia njema na sisi walaji wa mwisho

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Na pia natilia msisitizo kwa vijana wale wanaotaka pesa za mkato.

Marinda no kitu adimu mno, hata uende Dubai hayanunuliki, Yakitoka ndio basi [emoji16]

Pambana mkuu, Nakupa baraka zangu zote,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.

Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.

Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.

Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
Pole mkuu nimewahi kupitia ulichopitia ww lkn trust ur god.
 
Tangia kurasini ivunjwe wizi umepungua sana maeneo hayo. Sasa hivi wezi wanatokea maeneo ya keko ndio wanaenda kuiba na kukaba bandarini
Yes bro..hapa maeneo ya round about ya TPA kuelekea mjini kuanzia mida ya saa 12 jioni na saa 2 usiku wanastop magari kuelekea mjini kisha ya mjini ndy yanakuja kuelekea mbagala na temeke

Sasa watoto wa keko wanaadhurura mitaa hii Sana kuanzia saa 12.Nakumbuka kuna siku walimvamia mama mmoja kwenye gari lake hakuweka lock milango wakamnyang'anya begi,simu na vitu walivyovikuta mule ndani kisha wakakimbilia kule chini kwenye reli

Kulikuwa na watu kibao pale wamesimama,mama anapiga kelele za msaada lkn hakuna aliyethubutu kumsaidia maana wale jamaa Walikuwa wamebeba mapanga huku wameyaelekeza hewani km jamaa wa Ile muvi ya John the mad dog

Watoto wa keko siwazimikii kabisa hii michongo wanayotuletea hii mitaa.Na polisi hawachukui hatua yoyote
 
Yes bro..hapa maeneo ya round about ya TPA kuelekea mjini kuanzia mida ya saa 12 jioni na saa 2 usiku wanastop magari kuelekea mjini kisha ya mjini ndy yanakuja kuelekea mbagala na temeke

Sasa watoto wa keko wanaadhurura mitaa hii Sana kuanzia saa 12.Nakumbuka kuna siku walimvamia mama mmoja kwenye gari lake hakuweka lock milango wakamnyang'anya begi,simu na vitu walivyovikuta mule ndani kisha wakakimbilia kule chini kwenye reli

Kulikuwa na watu kibao pale wamesimama,mama anapiga kelele za msaada lkn hakuna aliyethubutu kumsaidia maana wale jamaa Walikuwa wamebeba mapanga huku wameyaelekeza hewani km jamaa wa Ile muvi ya John the mad dog

Watoto wa keko siwazimikii kabisa hii michongo wanayotuletea hii mitaa.Na polisi hawachukui hatua yoyote
Nimezaliwa na kukulia huko keko. Nilihama mwaka 2009
 
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.

Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.

Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.

Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
Hahahaha!! nacheka kama mazui ila omba yasikukute, pole sana mkuu.
 
Nimezaliwa na kukulia huko keko. Nilihama mwaka 2009
Ooh..basi wanao wa keko wanazingua sana na masilaha Yao km tupo vitani bana.Wanakaba vibaya mno kuanzia hapa mitaa ya mivinjeni Hadi bandari ikifika jioni

Kuna waarabu wale wa Africab pale mivinjeni wamejenga ghorofa kubwa sasa hivi wanawasave sn chakula cha bure watoto wa keko usiku,lkn bado hawaridhiki.Wakishiba Tu wanakiwasha
 
Back
Top Bottom