Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.

Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.

So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
Mkuu sis tunapambana hata iyo VAT ya 18% ipungue, we unakuja na mpango wakuongeza .... Nchi nyingi malengo nikupunguza VAT ili ku encourage biashara zaid. Halaf pia kumbuka serikal hua ikipata chanzo kipya cha mapato wanalenga ku solve issue walizoweka kipaumbele ,Kama vile ku fund budget ambayo miaka yote inakua na deficit, usidhan wakipata chanzo kipya watamfikilia sn mtu alieko kitaa. Kwa kifup, system ya maisha na ajira kwa nchi za Africa hasa apa bongo ni "Survival for the fittest".
 
Mkuu sis tunapambana hata iyo VAT ya 18% ipungue, we unakuja na mpango wakuongeza .... Nchi nyingi malengo nikupunguza VAT ili ku encourage biashara zaid. Halaf pia kumbuka serikal hua ikipata chanzo kipya cha mapato wanalenga ku solve issue walizoweka kipaumbele ,Kama vile ku fund budget ambayo miaka yote inakua na deficit, usidhan wakipata chanzo kipya watamfikilia sn mtu alieko kitaa. Kwa kifup, system ya maisha na ajira kwa nchi za Africa hasa apa bongo ni "Survival for the fittest".
Dont worry. Everything has been taken care of.
 
Ile show mkuu ni hatar,viroba vya kilo 50 viwili unatembea navyo ila kinjaa njaa unavumilia.
Pale mizigo imekuwa migumu wahitaji wengi.

Wanakubandishia contena mbili mbili mnaanza ya juu kujaza ndio mnarudi ya chini ubaya wa pale hamna mkanda pengine watumie kujaza kam pale DCG nje ya bandarin na mizigo mda huo inatoka umbali mref.nikiwa na njaa zangu mm napiga show kama kawaida ila sio poa kuna hapo external na mbagala bias hivi vijiwe nikwamba mizigo yake ya moto ukikesha kuamka na 60 kawaida
 
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.

Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.

Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.

Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
Pole Mkuu!!! na sisi tulikuwaga hivo hivo!!! sasa naomba kukuuliza hivi leo unahangaika hivi baadaye ukapata kazi serikalini na ukajiendeleza zaidi kimasomo!!! ikatokea Mtu kwa wivu wake tuu!! akakuchoma ukaachishwa kazi, eti uanze moja tena utamfanyaje mtu km huyo???
 
Pole Mkuu!!! na sisi tulikuwaga hivo hivo!!! sasa naomba kukuuliza hivi leo unahangaika hivi baadaye ukapata kazi serikalini na ukajiendeleza zaidi kimasomo!!! ikatokea Mtu kwa wivu wake tuu!! akakuchoma ukaachishwa kazi, eti uanze moja tena utamfanyaje mtu km huyo???
Kulipa kisasi nayo ni ibada njema kwenye haya maisha.
 
Wanakubandishia contena mbili mbili mnaanza ya juu kujaza ndio mnarudi ya chini ubaya wa pale hamna mkanda pengine watumie kujaza kam pale DCG nje ya bandarin na mizigo mda huo inatoka umbali mref.nikiwa na njaa zangu mm napiga show kama kawaida ila sio poa kuna hapo external na mbagala bias hivi vijiwe nikwamba mizigo yake ya moto ukikesha kuamka na 60 kawaida
Mzee nimekimbiza mzigo wa external.
Kuna watu wanakula kwa jasho ule mzigo sio wa kulala hoi ni kulala mfu.
 
Pole Mkuu!!! na sisi tulikuwaga hivo hivo!!! sasa naomba kukuuliza hivi leo unahangaika hivi baadaye ukapata kazi serikalini na ukajiendeleza zaidi kimasomo!!! ikatokea Mtu kwa wivu wake tuu!! akakuchoma ukaachishwa kazi, eti uanze moja tena utamfanyaje mtu km huyo???

Namla kichwa potelea pote. Mbona sote tutakufa lkn kosa la kunichomea mishe nirudi kwenye umaskini litamgharimu kifo mtu.

Hii tabu ninayoipata hata kupata kazi ya ukuli tuu ni kubwa mnoo na sijafanikiwa kabisa mpaka saiv.
 
Namla kichwa potelea pote. Mbona sote tutakufa lkn kosa la kunichomea mishe nirudi kwenye umaskini litamgharimu kifo mtu.

Hii tabu ninayoipata hata kupata kazi ya ukuli tuu ni kubwa mnoo na sijafanikiwa kabisa mpaka saiv.
Unataka ukuli mzee upo wapi nikupe machaka.
 
Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.

Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.

So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
Wazo zuri sana la kuigwa
 
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.

Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.

Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.

Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
kesho nenda na food cart, iweke nje, hao walioingia ndani wabane msosi kuanzia sita mpaka nane mchana, unaweza kutengeneza zaidi yao.
 
Back
Top Bottom