Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Yaani Mungu anakupa mlango wa kutokea ajabu ww mwenyewe unaufunga .khaaa🙌🙌Hatari sana mkuu. Imeisha hiyo ! Ahahaahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Mungu anakupa mlango wa kutokea ajabu ww mwenyewe unaufunga .khaaa🙌🙌Hatari sana mkuu. Imeisha hiyo ! Ahahaahahah
Usiwaze milango iko mingi sana.Yaani Mungu anakupa mlango wa kutokea ajabu ww mwenyewe unaufunga .khaaa🙌🙌
Kabisa mkuu. Mapambano hayatakiwi kusimama!Usiwaze milango iko mingi sana.
Kwa sasa its tough on my side ila nitavuka.
Mwambie pia, uchuni haupigi U-TURN kwa namna hiyoItachukua mda kujenga uchumi uliozorota, tujipe mda. Haina namna ya kulaumu.
Kilichopo ni kwamba michongo migumu period.
Mapambano ni makali ila victory victory yah victory at any cost.Kabisa mkuu. Mapambano hayatakiwi kusimama!
Kila la kheri ndugu
🤣🤣 bosheni.Ww pambania kombe mm nlishatafutaga hata kazi ya house girl nkakosa
Licha ya mm niwakiume
Mkuu sis tunapambana hata iyo VAT ya 18% ipungue, we unakuja na mpango wakuongeza .... Nchi nyingi malengo nikupunguza VAT ili ku encourage biashara zaid. Halaf pia kumbuka serikal hua ikipata chanzo kipya cha mapato wanalenga ku solve issue walizoweka kipaumbele ,Kama vile ku fund budget ambayo miaka yote inakua na deficit, usidhan wakipata chanzo kipya watamfikilia sn mtu alieko kitaa. Kwa kifup, system ya maisha na ajira kwa nchi za Africa hasa apa bongo ni "Survival for the fittest".Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.
Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.
So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
Dont worry. Everything has been taken care of.Mkuu sis tunapambana hata iyo VAT ya 18% ipungue, we unakuja na mpango wakuongeza .... Nchi nyingi malengo nikupunguza VAT ili ku encourage biashara zaid. Halaf pia kumbuka serikal hua ikipata chanzo kipya cha mapato wanalenga ku solve issue walizoweka kipaumbele ,Kama vile ku fund budget ambayo miaka yote inakua na deficit, usidhan wakipata chanzo kipya watamfikilia sn mtu alieko kitaa. Kwa kifup, system ya maisha na ajira kwa nchi za Africa hasa apa bongo ni "Survival for the fittest".
Dah😥..so kwasasa atleast una pakujishikiza?.mapambano lazima yaendeleeWw pambania kombe mm nlishatafutaga hata kazi ya house girl nkakosa
Licha ya mm niwakiume
Ile show mkuu ni hatar,viroba vya kilo 50 viwili unatembea navyo ila kinjaa njaa unavumilia.
Pale mizigo imekuwa migumu wahitaji wengi.
Pole Mkuu!!! na sisi tulikuwaga hivo hivo!!! sasa naomba kukuuliza hivi leo unahangaika hivi baadaye ukapata kazi serikalini na ukajiendeleza zaidi kimasomo!!! ikatokea Mtu kwa wivu wake tuu!! akakuchoma ukaachishwa kazi, eti uanze moja tena utamfanyaje mtu km huyo???Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.
Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.
Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.
Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Marinda ni kitu adimu mno, hata uende Dubai hayanunuliki
Kulipa kisasi nayo ni ibada njema kwenye haya maisha.Pole Mkuu!!! na sisi tulikuwaga hivo hivo!!! sasa naomba kukuuliza hivi leo unahangaika hivi baadaye ukapata kazi serikalini na ukajiendeleza zaidi kimasomo!!! ikatokea Mtu kwa wivu wake tuu!! akakuchoma ukaachishwa kazi, eti uanze moja tena utamfanyaje mtu km huyo???
Mzee nimekimbiza mzigo wa external.Wanakubandishia contena mbili mbili mnaanza ya juu kujaza ndio mnarudi ya chini ubaya wa pale hamna mkanda pengine watumie kujaza kam pale DCG nje ya bandarin na mizigo mda huo inatoka umbali mref.nikiwa na njaa zangu mm napiga show kama kawaida ila sio poa kuna hapo external na mbagala bias hivi vijiwe nikwamba mizigo yake ya moto ukikesha kuamka na 60 kawaida
Pole Mkuu!!! na sisi tulikuwaga hivo hivo!!! sasa naomba kukuuliza hivi leo unahangaika hivi baadaye ukapata kazi serikalini na ukajiendeleza zaidi kimasomo!!! ikatokea Mtu kwa wivu wake tuu!! akakuchoma ukaachishwa kazi, eti uanze moja tena utamfanyaje mtu km huyo???
Unataka ukuli mzee upo wapi nikupe machaka.Namla kichwa potelea pote. Mbona sote tutakufa lkn kosa la kunichomea mishe nirudi kwenye umaskini litamgharimu kifo mtu.
Hii tabu ninayoipata hata kupata kazi ya ukuli tuu ni kubwa mnoo na sijafanikiwa kabisa mpaka saiv.
Mi mwenyewe nasubiriaTulikubaliana baada ya mwezi tu tutaanza kuokota pesa mitaani. Imekuwaje tena?
Wazo zuri sana la kuigwaPoleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.
Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.
So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
kesho nenda na food cart, iweke nje, hao walioingia ndani wabane msosi kuanzia sita mpaka nane mchana, unaweza kutengeneza zaidi yao.Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.
Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.
Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.
Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.