Babyloni
JF-Expert Member
- Dec 17, 2020
- 264
- 740
Gombea na weweDah! Afu akina Ndugai wanajilipa 12m kwa mwezi na pensheni ya 250m kwa miaka mitano [emoji45]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gombea na weweDah! Afu akina Ndugai wanajilipa 12m kwa mwezi na pensheni ya 250m kwa miaka mitano [emoji45]
Me nimeamua kutafuta namna nyingne ya kutafuta tobo, profession ninayo ila kwa sasa haiwez weka chakula mezani nimeachana nayo.What is your profession ndugu??
Its tough ila there is a way.Pole mkuu nimewahi kupitia ulichopitia ww lkn trust ur god.
Kwani zilikuwa zimejificha wapi?Tulikubaliana baada ya mwezi tu tutaanza kuokota pesa mitaani. Imekuwaje tena?
Njaa mbaya sana.Hahahaha!! nacheka kama mazui ila omba yasikukute, pole sana mkuu.
When we r working on a new policy, we look at it in all three dimensions. There has never been a medicine which has no side effects.
Usimdharau usiyemjua mkuu..huenda uzi huu ukawa baraka kwako ikakufungulia njiaMe nimeamua kutafuta namna nyingne ya kutafuta tobo, profession ninayo ila kwa sasa haiwez weka chakula mezani nimeachana nayo.
Sikupingi.Usimdharau usiyemjua mkuu..huenda uzi huu ukawa baraka kwako ikakufungulia njia
Mwishowe tuanze kupiga ngeta sasa.Maisha magumu sana mtaani
🙏🙏🙏Kila kitu ni imani Mkuu...wala usijali.
Cha muhimu piga maombi/dua kwa sana isee...hata kama kuna maupupu uliyowahi kuifanya miaka ya nyuma Mungu aifute.
Mungu atakupigania Kamanda,Muda wako pia utafika.
Siku hizi hata ajira za sector nyeti wanaangalia nyota..wasomi wamejaa kitaa sana
Hujanielewa...kuna mtu amekuuliza proffessional yako umeona ulichomjibu?mm sina msaada mkuuSikupingi.
Nipe deiwaka.
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.
Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.
Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.
Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
Ile show mkuu ni hatar,viroba vya kilo 50 viwili unatembea navyo ila kinjaa njaa unavumilia.Ulivyosema external mgongo wangu umestuka sana, napajua vizur mkuu kama hukuwahi kubeba mizigo mahali popote pale na umetegemea pale external ndio ujifunzie “BORA ULIVYOKOSA”
af uzur wa pale ukifika hukosi kaz,kazi ni mda wowote ww ungezuga tu nje kwa mda fulani ungesikiizia tu
:-ukuli wa katk magodown sio kazi ya kutolea macho,Bali kukwama ndio haina namna.
:-ogopa mtu anaitwa sarange au MKUBWA KAZI
Aiseeee.....skuizi hata wauza uchi hawapati wateja, watu wako bize hawataki ufala tena.
Hatari sana mkuu. Imeisha hiyo ! AhahaahahahHujanielewa...kuna mtu amekuuliza proffessional yako umeona ulichomjibu?mm sina msaada mkuu
[emoji3516]Usimdharau usiyemjua mkuu..huenda uzi huu ukawa baraka kwako ikakufungulia njia