Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Kila kitu ni imani Mkuu...wala usijali.

Cha muhimu piga maombi/dua kwa sana isee...hata kama kuna maupupu uliyowahi kuifanya miaka ya nyuma Mungu aifute.

Mungu atakupigania Kamanda,Muda wako pia utafika.

Siku hizi hata ajira za sector nyeti wanaangalia nyota..wasomi wamejaa kitaa sana
 
Kila kitu ni imani Mkuu...wala usijali.

Cha muhimu piga maombi/dua kwa sana isee...hata kama kuna maupupu uliyowahi kuifanya miaka ya nyuma Mungu aifute.

Mungu atakupigania Kamanda,Muda wako pia utafika.

Siku hizi hata ajira za sector nyeti wanaangalia nyota..wasomi wamejaa kitaa sana
🙏🙏🙏
 
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.

Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.

Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.

Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.

Ulivyosema external mgongo wangu umestuka sana, napajua vizur mkuu kama hukuwahi kubeba mizigo mahali popote pale na umetegemea pale external ndio ujifunzie “BORA ULIVYOKOSA”

af uzur wa pale ukifika hukosi kaz,kazi ni mda wowote ww ungezuga tu nje kwa mda fulani ungesikiizia tu

:-ukuli wa katk magodown sio kazi ya kutolea macho,Bali kukwama ndio haina namna.

:-ogopa mtu anaitwa sarange au MKUBWA KAZI
 
Ulivyosema external mgongo wangu umestuka sana, napajua vizur mkuu kama hukuwahi kubeba mizigo mahali popote pale na umetegemea pale external ndio ujifunzie “BORA ULIVYOKOSA”

af uzur wa pale ukifika hukosi kaz,kazi ni mda wowote ww ungezuga tu nje kwa mda fulani ungesikiizia tu

:-ukuli wa katk magodown sio kazi ya kutolea macho,Bali kukwama ndio haina namna.

:-ogopa mtu anaitwa sarange au MKUBWA KAZI
Ile show mkuu ni hatar,viroba vya kilo 50 viwili unatembea navyo ila kinjaa njaa unavumilia.
Pale mizigo imekuwa migumu wahitaji wengi.
 
Back
Top Bottom