Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Pole ndugu mleta mada, naamini jitihada hazizidi kudra ya mwenyezi Mungu . Pambana ila jua jaliwa linatoka kwa Mungu.

Binafsi ninapo kutana na mada Kama hizi huwa namshukuru Mungu alieniongoza kujifunza ufundi, sisi mafundi hakujawahi kupungukiwa na kazi hata wakati mmoja, japo lakini kidogo leo na jana hazilingani ila hatujajikuta kwenye nyakati ngumu za kukosa kazi moja kwa moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole ndugu mleta mada, naamini jitihada hazizidi kudra ya mwenyezi Mungu . Pambana ila jua jaliwa linatoka kwa Mungu.

Binafsi ninapo kutana na mada Kama hizi huwa namshukuru Mungu alieniongoza kujifunza ufundi, sisi mafundi hakujawahi kupungukiwa na kazi hata wakati mmoja, japo lakini kidogo leo na jana hazilingani ila hatujajikuta kwenye nyakati ngumu za kukosa kazi moja kwa moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni fundi wa nini?

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Nipo mkoa mzee. Mbona ningeshakula hyo connection maana mtaa kwa motoo😀😀😀😀
Sio poa lakini raia wanakuja na njaa zao wakigonga show siku moja wanapotea mazima, mimi mwenyewe nausikilizia mgongo upoe nifikirie tena kwenda.
 
Pole ndugu mleta mada, naamini jitihada hazizidi kudra ya mwenyezi Mungu . Pambana ila jua jaliwa linatoka kwa Mungu.

Binafsi ninapo kutana na mada Kama hizi huwa namshukuru Mungu alieniongoza kujifunza ufundi, sisi mafundi hakujawahi kupungukiwa na kazi hata wakati mmoja, japo lakini kidogo leo na jana hazilingani ila hatujajikuta kwenye nyakati ngumu za kukosa kazi moja kwa moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana fundi
 
Sio poa lakini raia wanakuja na njaa zao wakigonga show siku moja wanapotea mazima, mimi mwenyewe nausikilizia mgongo upoe nifikirie tena kwenda.
Wanatoa hela ngapi huko.

Msije kufa kwa matatizo ya mgongo wakati mtaani Kuna sehemu zina easy money
 
Kama mbu wameshindwa kukuua, 2% haiwezi kukuua pia iwapo utitiri haumuui kuku, iwapo kupe hawamuui ng'ombe na iwapo viroboto hawamuui mbwa.
Mfano hovyo kabisaa heri ungetafuta mwingine.
 
Pole sana ila kazi ngumu nikwaajili yankutafutia mtaji tu na ela ya kula tifauti na hapo utazeeka una sh nkumi, nguvu zinaweza kata au ukaumwa so keep in mind,kiwandani hawalipi zaid yabekfu saba aya nauli kula n.k huwexi fanya maendeleo bila kusave angalau ujinyime upate mtaji ila ukilemaa inakula kwako maisha ni target na malengo ,
 
Pole sana ila kazi ngumu nikwaajili yankutafutia mtaji tu na ela ya kula tifauti na hapo utazeeka una sh nkumi, nguvu zinaweza kata au ukaumwa so keep in mind,kiwandani hawalipi zaid yabekfu saba aya nauli kula n.k huwexi fanya maendeleo bila kusave angalau ujinyime upate mtaji ila ukilemaa inakula kwako maisha ni target na malengo ,
Kiwandani ni kutafutia tumbo tu, huwez save upate mtaji.
 
Sio poa lakini raia wanakuja na njaa zao wakigonga show siku moja wanapotea mazima, mimi mwenyewe nausikilizia mgongo upoe nifikirie tena kwenda.

Kikubwa mkono uende kinywani mkuu. Kila kitu huwa kigumu ukiwa haujakizoea.
 
Buku 8 mzee na unawork 10 hours na kil
Buku 8 mzee na unawork 10 hours na kilo 100 au 50 mgongoni.
P
o 100 au 50 mgongoni.poke sana

Kiwandani ni kutafutia tumbo tu, huwez save upate mtaji.
Najua kusave inakua ngumu ngumu haswa ,ila ndo ivyo kama wapokea elfu nane mchana umekula elfu mbili,usiku buku jero nauli buku, kodi buku jero per day, elfu mbili unasave ukijibana zaidi ktk kula ndo unapata ya vocha, tifauti na hapo unaweza fanya kazi miezi ukuangaia mfukoni senti huna.
 
Back
Top Bottom