Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

Professor of jungle

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
422
Reaction score
802
Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.

Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.

Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.

Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
 
Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.

Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.

So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
 
Poleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.

Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.

So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
Shoutout.
Solution mindset.
 
Pole sn bro..ingekuwa mwezi wa Tisa ningekusaidia kazi ya ukuli huku mitaa ya bandarini lkn now kazi zimepungua sn hapa ninapofanha kazi Hadi mwezi September.

Ila jaribu kutembelea pande za bandari pia mitaa ya uda pale nadhani unaweza kupata kazi maana Pana viwanda kadhaa pale na nawaona vijana kadhaa wale ambayo Walikuwa wanafanya kazi hapa nilipo.
 
Pole sn bro..ingekuwa mwezi wa Tisa ningekusaidia kazi ya ukuli huku mitaa ya bandarini lkn now kazi zimepungua sn hapa ninapofanha kazi Hadi mwezi September

Ila jaribu kutembelea pande za bandari pia mitaa ya Ida pale nadhani unaweza kupata kazi maana Pana viwanda kadhaa pale na nawaona vijana kadhaa wale ambayo Walikuwa wanafanya kazi hapa nilipo
Shukrani mkuu nitafanya namna nifike huko, wanasema ridhiki ya dog ipo miguuni mwake.
 
Back
Top Bottom