Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

Wewe mwanachuo unafundishwa kuendesha trekta
Unafundishwa kufuga samaki
Unafundishwa kufuga kisasa
Unafundishwa kilimo ikolojia
Unaishi morogoro kwann ukae mtaani
Wewe unadhani wote wanasoma haya mambo unayosema hapa sua?

Au nabishana na mtu asiyeijua sua?

Wangapi kati yao wanafanya haya mambo hapa sua?

Hivi unajua sua ni chuo kinachoharibu kilimo nchi hii badala ya kusaidia?

Mkuu unaijua sua au unaaandika tu?

Sua ni chuo cha hovyo kuliko vyote kinachomilikiwa na serikali.
 
Wewe unadhani wote wanasoma haya mambo unayosema hapa sua?

Au nabishana na mtu asiyeijua sua?

Wangapi kati yao wanafanya haya mambo hapa sua?

Hivi unajua sua ni chuo kinachoharibu kilimo nchi hii badala ya kusaidia?

Mkuu unaijua sua au unaaandika tu?

Sua ni chuo cha hovyo kuliko vyote kinachomilikiwa na serikali.
Wewe buana unalalamika sana ilA sioni hoja yako ya dhati ila naona una

uvivu umekuchukua

Rudi ukachukue food science and technology nitakuajiri
 
Huwa unawauliza boda boda wamesomea course gani?
Sasa mkuu nawe ona aibu basi kuitetea SUA, zamani tulipokuwa advance chuo kilichokuwa kinadharaulika shule nzima ni SUA , hii ni kutokana na kuwepo kwa ticha wa phyisics wa kujitolea aliyekuwa akijidai kasomea SUA , jamaa alikuwa hana elimu kabisa na mwisho wa siku Alitapeli wanafunzi kumi zaidi ya million moja na wananchi kadhaa akapotea.
Kiufupi naamini chuo tofauti na chuo cha afya , graduates wake wanapitia msongo mkubwa sana wa mawazo, wengi ndio hao bodaboda, vibaka nk.
 
Sasa mkuu nawe ona aibu basi kuitetea SUA, zamani tulipokuwa advance chuo kilichokuwa kinadharaulika shule nzima ni SUA , hii ni kutokana na kuwepo kwa ticha wa phyisics wa kujitolea aliyekuwa akijidai kasomea SUA , jamaa alikuwa hana elimu kabisa na mwisho wa siku Alitapeli wanafunzi kumi zaidi ya million moja na wananchi kadhaa akapotea.
Kiufupi naamini chuo tofauti na chuo cha afya , graduates wake wanapitia msongo mkubwa sana wa mawazo, wengi ndio hao bodaboda, vibaka nk.
Huo mtazamo wa kudharau chuo unamantiki au ni mob psychology?
 
Sasa mkuu nawe ona aibu basi kuitetea SUA, zamani tulipokuwa advance chuo kilichokuwa kinadharaulika shule nzima ni SUA , hii ni kutokana na kuwepo kwa ticha wa phyisics wa kujitolea aliyekuwa akijidai kasomea SUA , jamaa alikuwa hana elimu kabisa na mwisho wa siku Alitapeli wanafunzi kumi zaidi ya million moja na wananchi kadhaa akapotea.
Kiufupi naamini chuo tofauti na chuo cha afya , graduates wake wanapitia msongo mkubwa sana wa mawazo, wengi ndio hao bodaboda, vibaka nk.
Wanafunzi kutapeliwa inahisiana vipi na ubora au ubovu?

Kumbuka kusoma sio kuelimika watu wengi tu wamegraduate na ni wajinga
 
Una mantiki
Mantiki sioni mimi

Umesema kwasababu unatoa mifano irrelevance kabisa

Hapo juu umesema wahitimu wengi wa Sua wanapiga boda boda

Mtazamo wangu kazi ya bodaboada hufanywa na watu wavivu

Bei ya kununua pikipiki inakaribia milion tatu

Kwanini usibuni uzalishaji wa million tatu uka generated kuliko kuendesha bodaboada ambayo in the mean time unarisk kuugua kifua
 
Huwa unawauliza boda boda wamesomea course gani?
wanasuaso waliolishwa matango pori,wanaijua sua kama kufuga samaki na kulea kuku na mbuzi tu.

Hao unaosema wamesomea ufugaji,wako dar na dodoma ni machinga wa kuuza simu.

Msikae kuudanganya umma humu.

Wengine tunaujua utapeli wa elimu unavyofanyika sua.

Kozi zote za mazimbu,hazina ajira ya uhakika miaka hii,wewe unakuja na habari za kujua kuendesha tractor!

Uzuri,mkishamaliza kujifanganya sua ni ngumu,utakuta mnaingia interview na sua ni ngumu na ina elimu bora ila mchujo tu mko nje.
 
wanasuaso waliolishwa matango pori,wanaijua sua kama kufuga samaki na kulea kuku na mbuzi tu.

Hao unaosema wamesomea ufugaji,wako dar na dodoma ni machinga wa kuuza simu.

Msikae kuudanganya umma humu.

Wengine tunaujua utapeli wa elimu unavyofanyika sua.

Kozi zote za mazimbu,hazina ajira ya uhakika miaka hii,wewe unakuja na habari za kujua kuendesha tractor!

Uzuri,mkishamaliza kujifanganya sua ni ngumu,utakuta mnaingia interview na sua ni ngumu na ina elimu bora ila mchujo tu mko nje.
Tatizo lenu suaso huwa mnasoma huku mkijifananisha na udsm hapo ndio kosa linapoanzia

Mkipata boom mnakimbilia Dar na dodoma kuuza sura vichenji vikiisha mnarudisha maumbu moro

Sua ni chuo cha kilimo,unapoingia chuoni mwaka wa kwanza unajiaanda kuishi km afsa wa kilimo,afsa ufugaji nk

Sasa nyie watoto mnasoma Sua huku mnawaza kuajiriwa Dar es salaam km sio ujinga ni nini?

Wengi wanachuo waliokubali uhalisia wako mikoani wanaishi kwa vitendo nyie mabishoo mliochagua Sua kwasababu mlikosa udsm na mhimbili kazi ipo
 
Ajira portal ni ostabey kazi ni katavi
downloadfile.jpg
 
Tatizo lenu suaso huwa mnasoma huku mkijifananisha na udsm hapo ndio kosa linapoanzia

Mkipata boom mnakimbilia Dar na dodoma kuuza sura vichenji vikiisha mnarudisha maumbu moro

Sua ni chuo cha kilimo,unapoingia chuoni mwaka wa kwanza unajiaanda kuishi km afsa wa kilimo,afsa ufugaji nk

Sasa nyie watoto mnasoma Sua huku mnawaza kuajiriwa Dar es salaam km sio ujinga ni nini?

Wengi wanachuo waliokubali uhalisia wako mikoani wanaishi kwa vitendo nyie mabishoo mliochagua Sua kwasababu mlikosa udsm na mhimbili kazi ipo
Ndio maana nasema wewe sua hauijui,sua ni chuo cha kilimo kwa jina tu miaka hii,ila yaliyopo pale sio kilimo tu.

Kwanini unapotosha watu?,sua kuna HR,kuna tourism pale,niambie sua na tourism wapi na wapi?
 
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A

Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.

Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .

Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote

Hivi GPA inatumika wapi katika kufanya kazi zetu za kila siku? Ulisomea nini SUA ambacho kinataka hizo GPA huku mtaani?
Kuna watu wanaogopa sana maisha. Ndio maana pamoja na kusoma ujinga unaendelea kukua kwa kasi
 
Ndio maana nasema wewe sua hauijui,sua ni chuo cha kilimo kwa jina tu miaka hii,ila yaliyopo pale sio kilimo tu.

Kwanini unapotosha watu?,sua kuna HR,kuna tourism pale,niambie sua na tourism wapi na wapi?
Elimu ni biashara

Lakini lengo mama la chuo ni kilimo ndio maana serikali inatoa ruzuku ikilenga kwenye utafiti wa kilimo,skm za umwagiliaji nk
 
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A

Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.

Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .

Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
SUA wanacomplicate sana maisha. Sijui wao wanaona rahagani kuwabania vijana nafasi za ajira. Wana roho mbaya sana hawa watu sijapata kuona
 
Back
Top Bottom