Ugumu wa kupambana na ushoga, usagaji, malaya na madada poa uko hapa

Ugumu wa kupambana na ushoga, usagaji, malaya na madada poa uko hapa

Kweli hatutaki ushoga na ushoga ni dhambi kubwa, lakini cha ajabu tunakula na tunapenda vya "MASHOGA" mikopo karibu yote tunayokopa inatoka kwa hao mashoga na taasisi zao.... huku tukijisifu safari hii wametupa mikopo yenye masharti nafuu, nani Wamarekani na ndo mashoga wenyewe.. wazungu iko akili aisee wana jua kona gani watatukamata... wanatukopesha fedha badala yakutupa mbinu za kuzalisha, wanajua itafika wakati tutaishi kwa misaada, hadi chakula kitatuishia, hatutalima, viwanda vyote vitakufa, tutaishi kwa misaada yao.. ikifika hapo.......
Tumekamatwa kwenye kona moja hivi matata,mpaka uwe na akili ndo utajua kwamba tuko ndani ya mfumo wa ushoga
 
Huwezi kupambana na hayo mambo , sababu unaingilia Uhuru wa mtu , yaani haiwezekani , haya mambo yapo tangu Enzi na Enzi hata kwenye biblia Yamo , wanaume kuwakiana tamaa , na makahaba walikuwepo akina mariamu walikuwa makahaba , akina Yuda mtoto wa Yakobo alitembea na kahaba anayejiuza , kama ambavyo Mungu hakulazimishi usiwe mwizi au usiwe mzinzi vile vile Mungu hakulazimishi usiwe shoga , cha msingi waleeni watoto wenu kwenye maadili ya dini ndo kitakachowaokoa , na wote tudumu kwenye maadili ya dini hyo ndo sehemu pekee hubadri fikra za mtu
Lakini utumiaji wwte wa nguvu kulazimisha dhamiri ya mtu hauwezi fanikiwa ..... Ni ngumu Sana , huko serikalini wakubwa pia wanahusika na haya mambo , ndo changamoto inakuwa ngumu zaid
Lakini utumiaji wwte wa nguvu kulazimisha dhamiri ya mtu hauwezi fanikiwa

Ukweli wote uko hapo,ukitumia nguvu maana yake umeminya uhuru wa mtu means unakandamiza demokrasia,jamii ya kimataifa na wafadhili watakutenga...ki ufupi tumepigwa pini sisi wategemea misaada.
Huwezi kuwa huru zaidi kama unategemea misaada,lazima watakupangia cha kufanya na huwezi kukataa maana una njaa.
 
Naongea ukweli na huu ndio ukweli pekee
Vita ya kupambana na ushoga kwa karne hii ya teknolojia ni ngumu sana kwa sababu zifuatazo.
1. Mlengo wa serikali zetu-Serikali zetu nyingi zinaendeshwa kidemokrasia, moja ya haki za kidemokrasia ni usawa na haki za binadamu,hivyo by default ni kwamba tutake tusitake lazima tutafuata haki za binadamu ambazo ni haki y faragha,ushoga na usagaji-wanaotukopesha wanataka hivyo.

2. Katiba zetu-katiba nyingi za nchi zetu,hazitambui kwamba ushoga,umayala na usagaji ni makosa kisheria hivyo hata mtu akikamatwa na polisi hakuna mashiko maaana hakuna sheria ya kumhukmu mahakamani...ataachiwa huru.

3. Tunapigana kihisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.-Kihisia kwa maaana kwamba mara nyingi sababu za kupigana na ushoga,umalaya na usagaji zimekua zile zilezile mfano kulinda maadili ya kiafrika_yapi? ,maadili ya kitanzania__yapi? ,kidini,dhambi, tumesahau kwamba uhalisia wa mambo yamebadilika sana,maadili ya watanzania na watu wote duniani yanabadilika kila siku,kuna watu ambao hawaamini dini,hivyo hawawezi kuacha ushoga na umalaya kwa kigezo kwamba ni dhambi.

Suluhisho.

1. Kupambana kidikteta-nchi au dunia nzima zikiendeshwa kidikteta,kwa maana kwamba kuachana kabisa na demokrasia jambo ambalo ni gumu kwa nchi za kiafrika maaana wafadhili watatukataa mfano, Magufuli,Ruto kwa sasa.

2. Katiba zionyeshe kabisa kwamba ushoga, usagaji na umalaya ni kosa kisheria.

3. Kuachana na utegemezi wa kiuchumi -mikopo, misaada,ufadhili,vigezo na masharti ni haki za binadamu ambazo ni _ushoga,usagaji,haki za kijinsia pamoja na mambo mengine.Hii ni sababu kubwa maana hata viongozi wetu hawawezi kutoka hadharani kupinga au kubadilisha katiba maana tunategemea mikopo,ndio mana wamejikita zaidi kwenye sababu namba mbili ambayo kwa maisha ya sasa haiwezi kumaliza tatizo.

Karibuni sana kwa maoni na michango.
Kama nchi tunapashwa kupitisha sheria ya dharula dhidi ya ushoga, ya kwamba ni lazima iwe hivyo na tukavunja kipengele hicho ktk sura ya haki za binadamu, kwa sababu za imani na desturi za sisi weusi, siyo kila neno haki za binadamu basi zitetee hata kisicho stahili, na tunapashwa kupitisha shrleria ambayo ikitendeka kwa washenzi watatu tu nchi yote mashoga yanafutika, yenyewe yatajiondoa kwenye huo upumbavu
 
Kama nchi tunapashwa kupitisha sheria ya dharula dhidi ya ushoga, ya kwamba ni lazima iwe hivyo na tukavunja kipengele hicho ktk sura ya haki za binadamu, kwa sababu za imani na desturi za sisi weusi, siyo kila neno haki za binadamu basi zitetee hata kisicho stahili, na tunapashwa kupitisha shrleria ambayo ikitendeka kwa washenzi watatu tu nchi yote mashoga yanafutika, yenyewe yatajiondoa kwenye huo upumbavu
Tatizo Tanzania sio kisiwa,tutaweka sheria hizo lakini wafadhili watatupiga pini tu,ili tuweze kuamua mambo tunayotaka kama taifa lazima tujitosheleze, kiuchumi,kisiasa,kijamii,nasema kijamii maana siku hizi mpaka baadhi ya dini wameanza kulegeza masharti wanasema ushoga sio kosa kisheria,jambo la kusikitisha zaidi hata hizo dini zimeanzia kwao tunawezaje kuwapinga na wao ndio waanzilishi...hatuna identity
 
Kweli hatutaki ushoga na ushoga ni dhambi kubwa, lakini cha ajabu tunakula na tunapenda vya "MASHOGA" mikopo karibu yote tunayokopa inatoka kwa hao mashoga na taasisi zao.... huku tukijisifu safari hii wametupa mikopo yenye masharti nafuu, nani Wamarekani na ndo mashoga wenyewe.. wazungu iko akili aisee wana jua kona gani watatukamata... wanatukopesha fedha badala yakutupa mbinu za kuzalisha, wanajua itafika wakati tutaishi kwa misaada, hadi chakula kitatuishia, hatutalima, viwanda vyote vitakufa, tutaishi kwa misaada yao.. ikifika hapo.......
Sasa ikifika hatua hiyo si watatuoa wote wake kwa waume!
 
Hata wenye mamlaka hapa JF wataufuta huu uzi.

Hili swala la ushoga lina nguvu kubwa sana 'nyuma ya kamera'.
Sana sana sio kidogo,hata tukiandamana nchi nzima ushoga utaendelea kuwepo mana sisi ni kama Tv tu remote na wenye rimoti wenyewe wananguvu zaidi.
 
Back
Top Bottom