Ugumu wa kupambana na ushoga, usagaji, malaya na madada poa uko hapa

Ugumu wa kupambana na ushoga, usagaji, malaya na madada poa uko hapa

Africa au Tanzania haipo nje ya Dunia hivyo lolote linalotokea lazima litasambaa Dunia nzima ukizingatia Dunia ni Kijiji Kwa Karne hizi.

Tatizo limeanzia kwenye jamii zetu, tumeacha kutimiza wajibu wetu kama jamii Kwa mfano:

Wazazi wameacha kutimiza wajibu wa kulea watoto Kwa kisingizio Cha utafutaji, jukumu la kulea watoto wetu tumewaachia wadada wa kazi au waalimu ila ukweli ni kwamba hakuna mbadala wa kulea mtoto wako ni wajibu wako kama mzazi, mtoto hapaswi kulelewa na Nini shangazi mjomba au mtu mwingine yeyote ilhali wazazi wake mpo hai.

Kingine kuishi kiholela (ngono zembe na zinaa) kumesababisha watoto wengi kuishi na mzazi Moja au kutelekezwa mitaani na hivyo kujilea wenyewe na hivyo kuokota tabia chafu mitaani. Kila mtu angetimiza wajibu wake tungekua na jamii yenye adabu na maadili ila ndio hivyo Tena mambo yalishaharibika na kuyarekebisha itachukua muda na pengine haitawezekana.

Ushauri wangu: wazazi wenzangu tujitahidi sana kuwalelea watoto wetu katika njia ipasayo na kumuomba sana MUNGU awalinde maana unavyomlea mtoto na mtaa Kuna namna unamlea pia

Kuna mwanasiasa kashauri shule zote za boarding zibadilishwe kuwa za day maana jukumu la kulea mtoto ni la mzazi Mimi naungana nae Kwa hili maana Kuna visa vingi sana vya watoto kufundisha tabia chafu mashuleni aidha na wenzao, waalimu wasiokua na maadili na hata hao walezi wanaoajiriwa kulea watoto wetu.

MUNGU atusaidie sana Kwa kweli
 
K zilivyo tamu aiseeee
Kama serikali ikawa inawalipa wadada wa uwanja wa fisi mishahara mwisho wa mwezi ili tupate K bure

Wanja za fisi ziwe kila mtaa
Usichokijua ni kwamba hata huo ushoga unaanzia hukohuko kwenye madanguro, turudi kwenye kumcha MUNGU na kuacha ubaya
 
Bunge ndo linatunga sheria ila pia bunge likianza pale dom malaya wanajazana pale. Hili unaona litawezekana kweli?
Wanaopinga ushoga ndio hao hao Malaya wa kutupwa so hakuna msafi wewe Lea familia yako Kwa misingi mizuri ya kimaadili na mwombe MUNGU awe mlinzi wao kila waendako ila kusema unategemea mfumo utusaidie kulea ni uongo mkubwa
 
Kama nchi tunapashwa kupitisha sheria ya dharula dhidi ya ushoga, ya kwamba ni lazima iwe hivyo na tukavunja kipengele hicho ktk sura ya haki za binadamu, kwa sababu za imani na desturi za sisi weusi, siyo kila neno haki za binadamu basi zitetee hata kisicho stahili, na tunapashwa kupitisha shrleria ambayo ikitendeka kwa washenzi watatu tu nchi yote mashoga yanafutika, yenyewe yatajiondoa kwenye huo upumbavu
Hao unaotegemea wapitishe hiyo Sheria unajua tabia zao? Hujiulizi ni Kwa Nini wakati wa vikao vya bunge Malaya wote wanahamia Dodoma? Yaani kikao Cha kumsema urio aache pombe wajumbe wanakunywa bia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Malaya na madada poa watoe kwenye hivyo vita.....
Kwanza wao ndio wanasaidia kupunguza mashoga
 
Huwezi kupambana na hayo mambo , sababu unaingilia Uhuru wa mtu , yaani haiwezekani , haya mambo yapo tangu Enzi na Enzi hata kwenye biblia Yamo , wanaume kuwakiana tamaa , na makahaba walikuwepo akina mariamu walikuwa makahaba , akina Yuda mtoto wa Yakobo alitembea na kahaba anayejiuza , kama ambavyo Mungu hakulazimishi usiwe mwizi au usiwe mzinzi vile vile Mungu hakulazimishi usiwe shoga , cha msingi waleeni watoto wenu kwenye maadili ya dini ndo kitakachowaokoa , na wote tudumu kwenye maadili ya dini hyo ndo sehemu pekee hubadri fikra za mtu
Lakini utumiaji wwte wa nguvu kulazimisha dhamiri ya mtu hauwezi fanikiwa ..... Ni ngumu Sana , huko serikalini wakubwa pia wanahusika na haya mambo , ndo changamoto inakuwa ngumu zaid
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu
Watu wanatakiwa wamuabudu Mungu katika roho na kweli. Kuna wazinzi, mashoga, warafi, wadhulimaji n.k wamejificha kwenye dini.
Mtu anayeabudu dini huwa namuogopa sana kwasababu muda wowote anaweza kukuua au kukufanyia jambo baya ili alinde dini yake.
Kuna mtu ambaye ni msabato kabisa, ikifika jumamosi hafanyi kazi lakini alinidhulumu hela yangu.
Unatakiwa umuabudu Mungu katika roho na kweli maana hapo utakuwa na hofu na utakuwa na upendo
 
Katiba na sheria zetu-katiba nyingi za nchi zetu,hazitambui au hazisemi moja kwa moja kwamba ushoga,umalaya na usagaji ni makosa kisheria hivyo hata mtu akikamatwa na polisi hakuna mashiko maana hakuna sheria ya kumhukumu mahakamani...ataachiwa huru.
Jamaa kwani huskiagi watu wakipigwa mvua. Sheria zipo sana tu, tatizo ni jamii kuwakumbatia, na wafukunyuaji ndo haohao wanajamii hivyo wanakindana.
 
Baba kuna wanawake wamepanga guest wengine wamepanga hoteli nani atataka biashara hiyo kuacha mana wenye maguest na mahoteli ndo wanapata fedha
 
Naongea ukweli na huu ndio ukweli pekee

Vita ya kupambana na ushoga kwa karne hii ya teknolojia na utegemezi wa hali ya juu ni ngumu sana kwa sababu zifuatazo.

1. Mlengo wa serikali zetu-Serikali zetu nyingi zinaendeshwa kidemokrasia, moja ya haki za kidemokrasia ni usawa na haki za binadamu na uhuru wa faragha,hivyo by default ni kwamba tutake tusitake lazima tutafuata haki za binadamu ambazo ni haki ya faragha,ushoga na usagaji-wanaotukopesha wanataka hivyo.

2. Katiba na sheria zetu-katiba nyingi za nchi zetu,hazitambui au hazisemi moja kwa moja kwamba ushoga,umalaya na usagaji ni makosa kisheria hivyo hata mtu akikamatwa na polisi hakuna mashiko maana hakuna sheria ya kumhukumu mahakamani...ataachiwa huru.

3. Tunapigana kihisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.-Kihisia kwa maana kwamba mara nyingi sababu za kupigana na ushoga,umalaya na usagaji zimekua zile zilezile mfano kulinda maadili ya kiafrika_yapi? ,maadili ya kitanzania__yapi? ,kidini,dhambi, tumesahau kwamba uhalisia wa mambo yamebadilika sana,maadili ya watanzania na watu wote duniani yanabadilika kila siku,kuna watu ambao hawaamini dini,hivyo hawawezi kuacha ushoga na umalaya kwa kigezo kwamba ni dhambi.

Suluhisho.

1. Kupambana kidikteta-nchi au dunia nzima zikiendeshwa kidikteta,kwa maana kwamba kuachana kabisa na demokrasia jambo ambalo ni gumu kwa nchi za kiafrika maaana wafadhili watatukataa mfano, Magufuli,Ruto kwa sasa.

2. Katiba na sheria zionyeshe kabisa kwamba ushoga, usagaji na umalaya ni kosa kisheria___ni ngumu kwenye siasa za kimataifa

3. Kuachana na utegemezi wa kiuchumi,kisiasa,kijamii -mikopo, misaada,ufadhili,vigezo na masharti ni haki za binadamu ambazo ni _ushoga,usagaji,haki za kijinsia pamoja na mambo mengine.

Hii ni sababu kubwa maana hata viongozi wetu hawawezi kutoka hadharani kupinga au kubadilisha katiba maana tunategemea mikopo,ndio mana wamejikita zaidi kwenye sababu namba mbili maadili na dini ambayo kwa maisha ya sasa haiwezi kumaliza hili tatizo.

Karibuni sana kwa maoni na michango.
Hapo kwenye Demokrasia unakosea sana.

Pakiwa na Demokrasia nzuri na Katiba inayolinda maslahi ya wananchi ni rahisi sana kuwadhibiti Mapepo wachafu wanaowaingia na kuwashawishi watu kuwa mashoga na vitendo Vyote vichafu VYA Kizungu na uzungu wao.

Demokrasia itatufanya tuwapate viongozi wanaotikana na matakwa ya jamii.
Jamii yetu zaidi ya 95% wanapinga vitendo VYA kishoga.
Pakiwa na uchaguzi huru na Wa Haki tutapata viongozi Bora wanaolinda maslahi ya Umma na SIO wabinafsi na Mawakala Wa wazungu kama ilivyo Sasa.

Demokrasia itatufanya tuwakatae mashoga na wasagaji kuwa wabunge na Mawaziri. Sheria zitatungwa zenye maslahi ya Umma. Tutasimamia Rasilimali zetu Vizuri Kwa kuwachagua viongozi Bora . Tutawakataa wale wanafiki katika kupambana na Ushoga.

Leo anaweza akajiunga na CCM na kujitangaza wazi kuwa yeye ni shoga au msagaji na akapata mpaka uteuzi alimradi tu awe na uwezo Wa kuwachamba wapinzani na kuchoma bendera za Vyama vingine.

Kwa Sasa ndani ya vyama hakuna ushindani na kampeni ndani ya Vyama kutokana na udumavu Wa Demokrasia. Vyama vinaogopa mipasuko hivyo vinapitisha watu kimyakimya. Kwa huyo mkiwa na Mwenyekiti mnafiki basi atapitisha watu wake Hata kama wanachama hawamtaki na wengine WOTE wanaufyata. Matokeo yake ni kuwa na wagombea wasio na maadili Wala sifa .

Pakiwa na Demokrasia tutawapata viongozi wanye uchungu na kizazi cha mwafrika SIO Hawa wanaodanganywa na pesa za Wazungu kumaliza kizazi cha mwafrika ambao ni PAMOJA na watoto wao.

Pakiwa na Demokrasia na Katiba nzuri Hata Vyama vya siasa haviwezi kuwa Mali ya MTU kama ilivyo Sasa. Watu wanaona kuwa Fulani akiondoka kwenye chama Fulani chama kitakufa.

Hakuna Haki ya Faragha ya kuoana wanaume Kwa wanaume hadharani au wanawake Kwa wanawake.

Hakuna Haki ya Faragha ya kuwarubuni watoto na kuwafundisha vitendo vya kishoga na kuhamasisha vitendo hivyo. Hakuna anayepata faida yoyote kulingana na matendo hayo machafu na yanayowaangamiza vijana Wa Kiafrika Kwa maradhi. Hata kiafya Bado hakuna uwezo Wa kuwasafisha mashoga Ili waishi Wakiwa na afya njema baada ya kufokolewa ?

Nani ananufaika na Ushoga Wa watu Wezi?
Je ,sisi tutapata faida au hasara Kwa kuweka Sheria Kali ya kuzuia watu wenye nia ovu ya kumaliza kizazi chetu ?Bila shaka tukikaa kimya waafrika tutapata hasara Kabwa sana mana Kwa wazungu Hali ya Ushoga imekuja Kwa Kasi baada ya maendeleo makubwa. Kwetu wanaeneza Ushoga kupitia umaskaini. Hivyo haiendani na Hiyari Bali ni ushawishi unaotokana na umaskini.

Uhalifu unaotokana umaskini ni hatari sana na mara nyingi unaletwa Kwa MALENGO mabaya .
Sasa hatuwezi kukaa kimya na kuwaangalia wazungu walete pesa zao kuhamasisha mambo ambayo kwao yametikana na maendeleo na Mila zao.

Kwa Nini tusiige maendeleo Yao tuige ujinga .

Hata Sasa pangekua na Demokrasia nzuri nadhani viongozi Wa Dini na wanasiasa wangejitokeza hadharani Kupinga Ushoga Kwa nguvu zote mana Hata Majeshi yetu hasa Jeshi la wananchi limekataa kuajiri mashoga waliopenyezwa na wapumbavu Kwa manufaa ya kudhoofisha Jeshi letu.
Sasa iweje Wanasiasa wawe waoga wakati Jeshi limekataa Ajira Kwa mashoga? Bila shaka ni woga unaotokana na Wizi wao . Wanaona pakiwa na Demokrasia ya kweli watakosa kura na watachaguliwa watu waadilifu na wao watakosa sapoti kutoka walikoficha Mali zao na walioungana nao kwenye mikataba Feki ya kuiibia nchi na Rasilimali zetu. Mikopo waliyokopa wakapeleka matumboni mwao wanaona shida kudaiwa Kwa kuwekewa vikwazo.

Kukosekana Kwa Demokrasia kunasababisha wakimbizi Wa kisiasa wanaofadhiliwa na Wazungu Hali inayopelekea kujifunza vitendo vya kishoga na Kuunga mkono Ushoga.
Na Kwa sababu ya Demokrasia changa wanashindwa kukataliwa Kwa wazi na wanachama wao Mana vyama navyo havina Demokrasia ya kweli.
Ukisema Udikteta ni Suluhu . Hii hapana.

Udikteta ungekua Suluhu basi Tanzania Visiwani wasingekua na vitendo hivyo mana ile ni nchi ya Kidikteta halisi na ni nchi iliyojengwa kwenye misingi ya Mapinduzi. Hiví udikteta ni kudhibiti wapinzani tu na SIO Wahalifu na Waovu . Kama udikteta Upo Kwa lengo la kudhibiti wapinzani tu basi Huo ni udikteta Wa kishetani na hauna faida yoyote.

Tofautisha udikteta na uzalendo. Kuna wakati dikteta mwenyewe anakua ni Basha au msagaji, sasa atadhibiti Vipi Ushoga ?

Tanzania ni Nchi ya Kidikteta kulingana na Katiba yetu mana MTU mmoja ndiye anayesoma dictation na wengine wanaandika anachosema .Ukiandika Tofauti unakua umekosea.
Sasa ni Vipi mengine yasemwe na MTU mmoja lakini Ushoga iwe suala la kidemokrasia.

Tuwaache wananchi wapate Katiba Bora na Demokrasia nzuri. Tuwaondoe Wakurugenzi wanaopitisha wabunge wasio na sifa Wala maadili. Vidada vimalaya vimejazana kwenye Vyama vya siasa Ili Hali waadilifu Wakiwa waoga Wa kushughulikiwa na wahuni wanaoteua na kuopitisha mahawara zao. Yote wanajua Sheria na Katiba mbovu zinawalinda .
 
Hii ni sababu kubwa maana hata viongozi wetu hawawezi kutoka hadharani kupinga au kubadilisha katiba maana tunategemea mikopo,
Hata baadhi yao wananufaika na hayo mambo imagine akikutana na nyigu kama huyu

1679579235258.png
 
Naongea ukweli na huu ndio ukweli pekee

Vita ya kupambana na ushoga kwa karne hii ya teknolojia na utegemezi wa hali ya juu ni ngumu sana kwa sababu zifuatazo.

1. Mlengo wa serikali zetu-Serikali zetu nyingi zinaendeshwa kidemokrasia, moja ya haki za kidemokrasia ni usawa na haki za binadamu na uhuru wa faragha,hivyo by default ni kwamba tutake tusitake lazima tutafuata haki za binadamu ambazo ni haki ya faragha,ushoga na usagaji-wanaotukopesha wanataka hivyo.

2. Katiba na sheria zetu-katiba nyingi za nchi zetu,hazitambui au hazisemi moja kwa moja kwamba ushoga,umalaya na usagaji ni makosa kisheria hivyo hata mtu akikamatwa na polisi hakuna mashiko maana hakuna sheria ya kumhukumu mahakamani...ataachiwa huru.

3. Tunapigana kihisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.-Kihisia kwa maana kwamba mara nyingi sababu za kupigana na ushoga,umalaya na usagaji zimekua zile zilezile mfano kulinda maadili ya kiafrika_yapi? ,maadili ya kitanzania__yapi? ,kidini,dhambi, tumesahau kwamba uhalisia wa mambo yamebadilika sana,maadili ya watanzania na watu wote duniani yanabadilika kila siku,kuna watu ambao hawaamini dini,hivyo hawawezi kuacha ushoga na umalaya kwa kigezo kwamba ni dhambi.

Suluhisho.

1. Kupambana kidikteta-nchi au dunia nzima zikiendeshwa kidikteta,kwa maana kwamba kuachana kabisa na demokrasia jambo ambalo ni gumu kwa nchi za kiafrika maaana wafadhili watatukataa mfano, Magufuli,Ruto kwa sasa.

2. Katiba na sheria zionyeshe kabisa kwamba ushoga, usagaji na umalaya ni kosa kisheria___ni ngumu kwenye siasa za kimataifa

3. Kuachana na utegemezi wa kiuchumi,kisiasa,kijamii -mikopo, misaada,ufadhili,vigezo na masharti ni haki za binadamu ambazo ni _ushoga,usagaji,haki za kijinsia pamoja na mambo mengine.

Hii ni sababu kubwa maana hata viongozi wetu hawawezi kutoka hadharani kupinga au kubadilisha katiba maana tunategemea mikopo,ndio mana wamejikita zaidi kwenye sababu namba mbili maadili na dini ambayo kwa maisha ya sasa haiwezi kumaliza hili tatizo.

Karibuni sana kwa maoni na michango.
Hiyo ya 3, hiyo misaada ikisitishwa kwamba nao hawajiwezi, ni kwamba tutakufa? Tumezidi kujiendekeza. Taarifa na msimamizi na mkaguzi mkuu wa Serikali, zinaonesha upotevu mkubwa wa pesa kila mwaka, hivyo tunaweza kujitegemea tukiwa na nidhamu.
Faragha, iwe ni faragha kweli kiasi kwamba jirani yako asijue, sio tunayoona watu wanajianika au/ na kujaribu kuwashawishi wasiopenda.
Sheria zipo, sema kwa Tz Serikali yenyewe inaikanyaga katiba sembuse Sheria ndogo ndogo.
Tuache maisha ya kuiga, kujidai uzungu mwingi.
Kukiwa na nia ya dhati, hakuna linaloshindikana.
 
Naongea ukweli na huu ndio ukweli pekee

Vita ya kupambana na ushoga kwa karne hii ya teknolojia na utegemezi wa hali ya juu ni ngumu sana kwa sababu zifuatazo.

1. Mlengo wa serikali zetu-Serikali zetu nyingi zinaendeshwa kidemokrasia, moja ya haki za kidemokrasia ni usawa na haki za binadamu na uhuru wa faragha,hivyo by default ni kwamba tutake tusitake lazima tutafuata haki za binadamu ambazo ni haki ya faragha,ushoga na usagaji-wanaotukopesha wanataka hivyo.

2. Katiba na sheria zetu-katiba nyingi za nchi zetu,hazitambui au hazisemi moja kwa moja kwamba ushoga,umalaya na usagaji ni makosa kisheria hivyo hata mtu akikamatwa na polisi hakuna mashiko maana hakuna sheria ya kumhukumu mahakamani...ataachiwa huru.

3. Tunapigana kihisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.-Kihisia kwa maana kwamba mara nyingi sababu za kupigana na ushoga,umalaya na usagaji zimekua zile zilezile mfano kulinda maadili ya kiafrika_yapi? ,maadili ya kitanzania__yapi? ,kidini,dhambi, tumesahau kwamba uhalisia wa mambo yamebadilika sana,maadili ya watanzania na watu wote duniani yanabadilika kila siku,kuna watu ambao hawaamini dini,hivyo hawawezi kuacha ushoga na umalaya kwa kigezo kwamba ni dhambi.

Suluhisho.

1. Kupambana kidikteta-nchi au dunia nzima zikiendeshwa kidikteta,kwa maana kwamba kuachana kabisa na demokrasia jambo ambalo ni gumu kwa nchi za kiafrika maaana wafadhili watatukataa mfano, Magufuli,Ruto kwa sasa.

2. Katiba na sheria zionyeshe kabisa kwamba ushoga, usagaji na umalaya ni kosa kisheria___ni ngumu kwenye siasa za kimataifa

3. Kuachana na utegemezi wa kiuchumi,kisiasa,kijamii -mikopo, misaada,ufadhili,vigezo na masharti ni haki za binadamu ambazo ni _ushoga,usagaji,haki za kijinsia pamoja na mambo mengine.

Hii ni sababu kubwa maana hata viongozi wetu hawawezi kutoka hadharani kupinga au kubadilisha katiba maana tunategemea mikopo,ndio mana wamejikita zaidi kwenye sababu namba mbili maadili na dini ambayo kwa maisha ya sasa haiwezi kumaliza hili tatizo.

Karibuni sana kwa maoni na michango.
Hakuna kosa la kut,.... Kuf...... ndio kosa.
 
Hapo kwenye Demokrasia unakosea sana.

Pakiwa na Demokrasia nzuri na Katiba inayolinda maslahi ya wananchi ni rahisi sana kuwadhibiti Mapepo wachafu wanaowaingia na kuwashawishi watu kuwa mashoga na vitendo Vyote vichafu VYA Kizungu na uzungu wao.

Demokrasia itatufanya tuwapate viongozi wanaotikana na matakwa ya jamii.
Jamii yetu zaidi ya 95% wanapinga vitendo VYA kishoga.
Pakiwa na uchaguzi huru na Wa Haki tutapata viongozi Bora wanaolinda maslahi ya Umma na SIO wabinafsi na Mawakala Wa wazungu kama ilivyo Sasa.

Demokrasia itatufanya tuwakatae mashoga na wasagaji kuwa wabunge na Mawaziri. Sheria zitatungwa zenye maslahi ya Umma. Tutasimamia Rasilimali zetu Vizuri Kwa kuwachagua viongozi Bora . Tutawakataa wale wanafiki katika kupambana na Ushoga.

Leo anaweza akajiunga na CCM na kujitangaza wazi kuwa yeye ni shoga au msagaji na akapata mpaka uteuzi alimradi tu awe na uwezo Wa kuwachamba wapinzani na kuchoma bendera za Vyama vingine.

Kwa Sasa ndani ya vyama hakuna ushindani na kampeni ndani ya Vyama kutokana na udumavu Wa Demokrasia. Vyama vinaogopa mipasuko hivyo vinapitisha watu kimyakimya. Kwa huyo mkiwa na Mwenyekiti mnafiki basi atapitisha watu wake Hata kama wanachama hawamtaki na wengine WOTE wanaufyata. Matokeo yake ni kuwa na wagombea wasio na maadili Wala sifa .

Pakiwa na Demokrasia tutawapata viongozi wanye uchungu na kizazi cha mwafrika SIO Hawa wanaodanganywa na pesa za Wazungu kumaliza kizazi cha mwafrika ambao ni PAMOJA na watoto wao.

Pakiwa na Demokrasia na Katiba nzuri Hata Vyama vya siasa haviwezi kuwa Mali ya MTU kama ilivyo Sasa. Watu wanaona kuwa Fulani akiondoka kwenye chama Fulani chama kitakufa.

Hakuna Haki ya Faragha ya kuoana wanaume Kwa wanaume hadharani au wanawake Kwa wanawake.

Hakuna Haki ya Faragha ya kuwarubuni watoto na kuwafundisha vitendo vya kishoga na kuhamasisha vitendo hivyo. Hakuna anayepata faida yoyote kulingana na matendo hayo machafu na yanayowaangamiza vijana Wa Kiafrika Kwa maradhi. Hata kiafya Bado hakuna uwezo Wa kuwasafisha mashoga Ili waishi Wakiwa na afya njema baada ya kufokolewa ?

Nani ananufaika na Ushoga Wa watu Wezi?
Je ,sisi tutapata faida au hasara Kwa kuweka Sheria Kali ya kuzuia watu wenye nia ovu ya kumaliza kizazi chetu ?Bila shaka tukikaa kimya waafrika tutapata hasara Kabwa sana mana Kwa wazungu Hali ya Ushoga imekuja Kwa Kasi baada ya maendeleo makubwa. Kwetu wanaeneza Ushoga kupitia umaskaini. Hivyo haiendani na Hiyari Bali ni ushawishi unaotokana na umaskini.

Uhalifu unaotokana umaskini ni hatari sana na mara nyingi unaletwa Kwa MALENGO mabaya .
Sasa hatuwezi kukaa kimya na kuwaangalia wazungu walete pesa zao kuhamasisha mambo ambayo kwao yametikana na maendeleo na Mila zao.

Kwa Nini tusiige maendeleo Yao tuige ujinga .

Hata Sasa pangekua na Demokrasia nzuri nadhani viongozi Wa Dini na wanasiasa wangejitokeza hadharani Kupinga Ushoga Kwa nguvu zote mana Hata Majeshi yetu hasa Jeshi la wananchi limekataa kuajiri mashoga waliopenyezwa na wapumbavu Kwa manufaa ya kudhoofisha Jeshi letu.
Sasa iweje Wanasiasa wawe waoga wakati Jeshi limekataa Ajira Kwa mashoga? Bila shaka ni woga unaotokana na Wizi wao . Wanaona pakiwa na Demokrasia ya kweli watakosa kura na watachaguliwa watu waadilifu na wao watakosa sapoti kutoka walikoficha Mali zao na walioungana nao kwenye mikataba Feki ya kuiibia nchi na Rasilimali zetu. Mikopo waliyokopa wakapeleka matumboni mwao wanaona shida kudaiwa Kwa kuwekewa vikwazo.

Kukosekana Kwa Demokrasia kunasababisha wakimbizi Wa kisiasa wanaofadhiliwa na Wazungu Hali inayopelekea kujifunza vitendo vya kishoga na Kuunga mkono Ushoga.
Na Kwa sababu ya Demokrasia changa wanashindwa kukataliwa Kwa wazi na wanachama wao Mana vyama navyo havina Demokrasia ya kweli.
Ukisema Udikteta ni Suluhu . Hii hapana.

Udikteta ungekua Suluhu basi Tanzania Visiwani wasingekua na vitendo hivyo mana ile ni nchi ya Kidikteta halisi na ni nchi iliyojengwa kwenye misingi ya Mapinduzi. Hiví udikteta ni kudhibiti wapinzani tu na SIO Wahalifu na Waovu . Kama udikteta Upo Kwa lengo la kudhibiti wapinzani tu basi Huo ni udikteta Wa kishetani na hauna faida yoyote.

Tofautisha udikteta na uzalendo. Kuna wakati dikteta mwenyewe anakua ni Basha au msagaji, sasa atadhibiti Vipi Ushoga ?

Tanzania ni Nchi ya Kidikteta kulingana na Katiba yetu mana MTU mmoja ndiye anayesoma dictation na wengine wanaandika anachosema .Ukiandika Tofauti unakua umekosea.
Sasa ni Vipi mengine yasemwe na MTU mmoja lakini Ushoga iwe suala la kidemokrasia.

Tuwaache wananchi wapate Katiba Bora na Demokrasia nzuri. Tuwaondoe Wakurugenzi wanaopitisha wabunge wasio na sifa Wala maadili. Vidada vimalaya vimejazana kwenye Vyama vya siasa Ili Hali waadilifu Wakiwa waoga Wa kushughulikiwa na wahuni wanaoteua na kuopitisha mahawara zao. Yote wanajua Sheria na Katiba mbovu zinawalinda .
Yaani wewe una chuki za Kisiasa za kijinga kijinga tu zisizo na maana, mada hii ya mashoga na ulicho tapika ni kujiaibisha tu
 
Hao unaotegemea wapitishe hiyo Sheria unajua tabia zao? Hujiulizi ni Kwa Nini wakati wa vikao vya bunge Malaya wote wanahamia Dodoma? Yaani kikao Cha kumsema urio aache pombe wajumbe wanakunywa bia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jitu jizi unategemea lisiwe lifrj. Nakuunga mkono, eti wanaoingia madarakani kifigisu waweze kuwaundia sheria kali, tusahau
 
Hivi karibuni kumezuka mijadala juu ya mashoga ambao kwangu ni walemavu kama walemavu wengine; aidha mjadala umeenda mbele zaidi na kugusa watu wanaofanya mapenzi kinyume cha maumbile. Kufanya mapenzi kinyume cha maumbile ni tabia na tabia mbaya kinyume cha mila zote na imani zote za binadamu. kinachonipa tabu ni nmana ya kushughulika na vilema - mashoga. Kwangu ninadhani bora kukaa kimya; ila kwa wenye tabia ya kufanya mapenzi kinyume cha maumbile na mila na desturi- hatua kali zichukuliwe dhidi yao kwa sababu hiyo siyo haki ya binadamu
 
Yaani wewe una chuki za Kisiasa za kijinga kijinga tu zisizo na maana, mada hii ya mashoga na ulicho tapika ni kujiaibisha tu
Sasa utauondoaje ushoga kama hauchukii maovu na Waovu.

Uovu sio ushoga TU . Uovu ni pamoja na mifumo inayotoa mwanya Kwa mashoga kuhupenyeza kwenye uongozi Kwa kuteuana na kuacha watu wasio na makandokando na mauchafu yasiyokubalika kwenye jamii.
 
Kabla YESU KRISTO hajawa kiwiliwili tumbon mwa mama MARIAMU haya mambo yalikuwepo.

Alafu tunatumia akili za uzaliwa wa YESU KRISTO kuondoa mambo haya.
 
Back
Top Bottom