The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
-
- #21
ahahah kaka katika ndoa yenye miaka karibia nane hapo kuna shida,Ni mwenyewe masikini sasa anahangaika kujifanyisha ni mtu mwingine mpaka details zinaparaganyika.
Wikendi hii nitakuja kwako nikupe busara fulani hivi. Jumamosi au Jumapili...[emoji870][emoji870][emoji870]
haapana mkuu sio mimi hebu ngoja nlete conversation hapaBora awe muwazi tu, wahenga wamsaidie
Nitashukuru sana kupokea ugeni wako Bhagheshi, juu ya yote heshima yako Shimba👋👋
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Ndugu yangu kabisa, siku hizi ana pretend kwa mke wake kuwa mboo haisimami amelogwa na mchepuko...hadi hospital walienda jamaa akaanza matibabu ya uongo. Ameapa hatakaa amguse tena huyo mwanamke...kisa cha yote kutokea jamaa aligundua mke wake kalambwa na bosi wake. Ila kazi za nje anapiga kama kawaida akirudi home mashine haisimami. Ndoa ni fumbo
daaah hiyo nomaa sana ndoa sikuhiz zimekuwa ni shida pasua kichwaNdugu yangu kabisa, siku hizi ana pretend kwa mke wake kuwa mboo haisimami amelogwa na mchepuko...hadi hospital walienda jamaa akaanza matibabu ya uongo. Ameapa hatakaa amguse tena huyo mwanamke...kisa cha yote kutokea jamaa aligundua mke wake kalambwa na bosi wake. Ila kazi za nje anapiga kama kawaida akirudi home mashine haisimami. Ndoa ni fumbo
ahahhaah token hukoooView attachment 2022439
Kikombe cha chai plZ ☕, hii wali inakaba
kabisas yanAliesambaza uongo kuwa wanawake tunapenda UMBEA auwawe.....
Mkuu nimepaata shida kuielewa sms yako, sawa pesa Bado natafutaaMwanaume hatakiwi kuwa kama wewe,tafuta pesa mkuu,hao mavibonge yapo mengi mtaani,usikitafute kifo kwa lazima,utupe shida ya kuchimba kaburi,
Acha tupeleke michango kwenye sherehe tuomdoe stress
Powa mkuu usiku mwemAMkuu nimepaata shida kuielewa sms yako, sawa pesa Bado natafutaa
asante kaka kwako piaPowa mkuu usiku mwemA
Wachache watakuelewa [emoji23].mara kimoja chali mara low sperm count, hii ni product ya TATEPA pia
What if hao wanawake au huyo aliyekusimulia ni member wa humu wakaiona hii na kukufuata kukusuta, Utajisikiaje kama mwanaume?ahahaha wakuuu tatizo hutaki kuamini, okay kesho ntaleta screenshot ya conversion hapa then utajua kama unakunywa saiv chai au badae
[emoji1][emoji1] Tanzania Tea PlantationWachache watakuelewa [emoji23].
Kwa msaada wa msomaji TATEPA ni kampuni ya zao la chai hapa nchi ya maziwa makuu isiyo na huduma ya maji.
Good qn,okay ungejua background ya wahusika usingesema hivi.What if hao wanawake au huyo aliyekusimulia ni member wa humu wakaiona hii na kukufuata kukusuta, Utajisikiaje kama mwanaume?
Amezidi umbea Huyu jamaa! Mambo ya watu yanamuhusu nini?!Wewe mbona hujatuambia yakwako unasimulia ya mwenzako? Acha umbeya na majungu fuata yako ukifuatilia ya wenzako utachelewa.
Hapa c ndio amemruhusu aendelee kuchepuka??Ndugu yangu kabisa, siku hizi ana pretend kwa mke wake kuwa mboo haisimami amelogwa na mchepuko...hadi hospital walienda jamaa akaanza matibabu ya uongo. Ameapa hatakaa amguse tena huyo mwanamke...kisa cha yote kutokea jamaa aligundua mke wake kalambwa na bosi wake. Ila kazi za nje anapiga kama kawaida akirudi home mashine haisimami. Ndoa ni fumbo