Ugunduzi binafsi: Tunapigwa kiujanja kwa kuikabidhi miradi chini ya Jeshi, haikidhi Vigezo kabisa

Ugunduzi binafsi: Tunapigwa kiujanja kwa kuikabidhi miradi chini ya Jeshi, haikidhi Vigezo kabisa

Katika Awamu ambayo wizi umefanyika Bila aibu ni Awamu ya 5, Kuanzia kiongozi wa Juu hadi chini ni wapigaji

1. Ukarabati wa Meli ya MV Victoria inagharimu 20Bln?

2. Ujenzi wa Daraja la Selander

3. Ujenzi mpya wa Meli ya Hapa Kazi tu Ziwa Victoria, inatumia Billion 89 chini ya Jeshi na Wakorea

4. Ubungo Interchange tumepigwa bajet iliyopangwa si ilotumika, almost Disparence of 3Bn

5. Tuliambiwa Barabara ya Mwenge imetengenezwa kutokana na kuahirisha sherehe za Uhuru, lakini tukaja kugundua tumepewa msaada

6. Mpaka sasa hamjui Kuwa uchaguzi mkuu tunatangaziwa tumeji finance, ni uongo Pesa imekuwa supplemented na 30% kutoka kwa wahisani

7. Tunaambiwa standard gauge, tunajijengea lakini SA, Wamewezesha, hata wahisani wengine wameweka pesa,

Tunapigwa sana

Hapo sijaongelea corona na Hela ambayo tunawekewa kwenye Elimu na wahisani tunaambiwa ni Free,

Britannica
Bora Mugalifu wao hana hayo mambo.
Mugafilu anazingatia haki za binadamu
Anazingatia utawala bora
Anazingatia utawala wa sheria
Hana upendeleo
Anazingatia usawa kwa kila mwananchi
Anazingatia ulaji sawa wa keki ya taifa.
Anawapenda sana wapinzani wake ikiwemo Tundu Lissu na Chadema kwa ujumla.
Anapenda sana kukubali kukosolewa
Ni msikivu wa kiwango cha rami.
Anazingatia misingi ya ukuzaji uchumi
Anazitumia vizuri pesa mabeberu(wanaume wachapakazi wa Uraya)
Anahakikisha afya za wananchi zinastawi
Ana ruhusu upatikana wa habari hata zile zinazomkosoa.
Anazingatia uwepo wa usalama wa kila mwananchi hata uwe wa Chadema.
Amekuwa kiongozi wa mfano ulimwenguni hata serikali za peponi zinajitahidi kumuiga yeye.
Anazingatia kutokuwepo kwa wasaliti duniani kwa kuwapa ulinzi(Tundu Lissu amiminiwa marisasi huko Dodoma)
Mambo ni mengi muda mchache

Kidumu chama chetu chakavu cha mapinduzi kisichojali tena matatizo ya wananchi.

Kigumu chama kinacho impoverish watanzania kwa speed ya mwanga.
 
Mkuu, tunapigwa kama pesa zetu za ruzuku zinavyopigwa pale ufipa bila taarifa za mapato na matumizi, na wala hakuna mwenye ubavu wa kunyoosha kidole na kuuliza?!
 
Ukiona mtu anataka kuhusishwa na kila kinachofanyika ujue kuna kitu anatafuta, kuna upenyo anataka kuutumia atupige.
 
Katika Awamu ambayo wizi umefanyika Bila aibu ni Awamu ya 5, Kuanzia kiongozi wa Juu hadi chini ni wapigaji

1. Ukarabati wa Meli ya MV Victoria inagharimu 20Bln?

2. Ujenzi wa Daraja la Selander

3. Ujenzi mpya wa Meli ya Hapa Kazi tu Ziwa Victoria, inatumia Billion 89 chini ya Jeshi na Wakorea

4. Ubungo Interchange tumepigwa bajet iliyopangwa si ilotumika, almost Disparence of 3Bn

5. Tuliambiwa Barabara ya Mwenge imetengenezwa kutokana na kuahirisha sherehe za Uhuru, lakini tukaja kugundua tumepewa msaada

6. Mpaka sasa hamjui Kuwa uchaguzi mkuu tunatangaziwa tumeji finance, ni uongo Pesa imekuwa supplemented na 30% kutoka kwa wahisani

7. Tunaambiwa standard gauge, tunajijengea lakini SA, Wamewezesha, hata wahisani wengine wameweka pesa,

Tunapigwa sana

Hapo sijaongelea corona na Hela ambayo tunawekewa kwenye Elimu na wahisani tunaambiwa ni Free,

Britannica
CHADEMA mnakwama wapi? Fedha walizokuwa wakikatwa wabunge kila mwezi kwaajili ya kampeni za 2020 zilienda wapi? Ofisi za makao makuu zimejengwa wapi? Matrekta ya chama yako wapi? Sadaka ya ukombozi iko wapi?
 
Mtazusha sana uongo, maana ndiyo njia pekee mliyobaki nayouongo kwenye mijadala baada ya kuishiwa hoja zenye nguvu.
 
CHADEMA mnakwama wapi? Fedha walizokuwa wakikatwa wabunge kila mwezi kwaajili ya kampeni za 2020 zilienda wapi? Ofisi za makao makuu zimejengwa wapi? Matrekta ya chama yako wapi? Sadaka ya ukombozi iko wapi?
Chadema si ilishakufa mbona mnaiongelea Sana?
Na sioni connection ya Uzi na chadema.
Mbaffu
 
Katika Awamu ambayo wizi umefanyika Bila aibu ni Awamu ya 5, Kuanzia kiongozi wa Juu hadi chini ni wapigaji

1. Ukarabati wa Meli ya MV Victoria inagharimu 20Bln?

2. Ujenzi wa Daraja la Selander

3. Ujenzi mpya wa Meli ya Hapa Kazi tu Ziwa Victoria, inatumia Billion 89 chini ya Jeshi na Wakorea

4. Ubungo Interchange tumepigwa bajet iliyopangwa si ilotumika, almost Disparence of 3Bn

5. Tuliambiwa Barabara ya Mwenge imetengenezwa kutokana na kuahirisha sherehe za Uhuru, lakini tukaja kugundua tumepewa msaada

6. Mpaka sasa hamjui Kuwa uchaguzi mkuu tunatangaziwa tumeji finance, ni uongo Pesa imekuwa supplemented na 30% kutoka kwa wahisani

7. Tunaambiwa standard gauge, tunajijengea lakini SA, Wamewezesha, hata wahisani wengine wameweka pesa,

Tunapigwa sana

Hapo sijaongelea corona na Hela ambayo tunawekewa kwenye Elimu na wahisani tunaambiwa ni Free,

Britannica
Tumekusikia
 
Katika Awamu ambayo wizi umefanyika Bila aibu ni Awamu ya 5, Kuanzia kiongozi wa Juu hadi chini ni wapigaji

1. Ukarabati wa Meli ya MV Victoria inagharimu 20Bln?

2. Ujenzi wa Daraja la Selander

3. Ujenzi mpya wa Meli ya Hapa Kazi tu Ziwa Victoria, inatumia Billion 89 chini ya Jeshi na Wakorea

4. Ubungo Interchange tumepigwa bajet iliyopangwa si ilotumika, almost Disparence of 3Bn

5. Tuliambiwa Barabara ya Mwenge imetengenezwa kutokana na kuahirisha sherehe za Uhuru, lakini tukaja kugundua tumepewa msaada

6. Mpaka sasa hamjui Kuwa uchaguzi mkuu tunatangaziwa tumeji finance, ni uongo Pesa imekuwa supplemented na 30% kutoka kwa wahisani

7. Tunaambiwa standard gauge, tunajijengea lakini SA, Wamewezesha, hata wahisani wengine wameweka pesa,

Tunapigwa sana

Hapo sijaongelea corona na Hela ambayo tunawekewa kwenye Elimu na wahisani tunaambiwa ni Free,

Britannica
6. Unajua ni shirika gani linahusika kutoa pesa za uchaguzi kutoka kwa wahisani?

Kuna vitu Kama huvijui acaha ujuani. Nijibu hili ndio tuendelee
 
Back
Top Bottom