Jumuia ya akina mama wafanyakazi wenye watoto wachanga huwanywesha watoto maziwa f1 na kuwanyonyesha wanapotoka kazini.
Moja ya f1 iliyozoeleka ni lactogen toka Kenya au France. Ni wiki ya 2 sasa nimeshindwa kupata maziwa hayo madukani kwa mtoto wa ndugu yangu Dar.
Amejaribu agiza mikoani, Mwanza na Mbeya, jibu hakuna maziwa. Tafadhali if member mwenye ufahamu yalipo maziwa ya lactogen formula 1 anijulishe, au mbadala wake.
Moja ya f1 iliyozoeleka ni lactogen toka Kenya au France. Ni wiki ya 2 sasa nimeshindwa kupata maziwa hayo madukani kwa mtoto wa ndugu yangu Dar.
Amejaribu agiza mikoani, Mwanza na Mbeya, jibu hakuna maziwa. Tafadhali if member mwenye ufahamu yalipo maziwa ya lactogen formula 1 anijulishe, au mbadala wake.