Nasema hivi, kama inawezekana kununua maziwa ya kopo au ya ng'ombe kwanini isiwezekane kuwepo na biashara ya maziwa ya binadamu??--- funny and hillarious!![emoji1787][emoji1787]
Wamama wanaonyonyesha wanaweza kuuza baadhi ya maziwa yao baada ya kukaguliwa kitabibu ili yatumike kwa ajili ya wamama wenye watoto na wanayo matatizo ya breasting, kifupi ni kwamba hatua zote zifuatwe ili jambo hili lifanikiwe kwa ajili ya afya za watoto wetu, Watoto wenye afya ni jamii yenye afya hatimaye ni taifa lenye afya na ustawi.
"Breast feeding is the best for the best results.