Uhaba wa Lactogen Formula 1 pigo kwa wafanyakazi wenye watoto wachanga

Uhaba wa Lactogen Formula 1 pigo kwa wafanyakazi wenye watoto wachanga

Import duty Tanzania ni balaa, na ndio sababu kubwa ya njia za panya mipakani na uaghali wa bidhaa nchini.
Hata kodi ya kuingiza gari nchini malawi ni ndogo ukilinganisha na sisi huku sisi tuna bandari
 
Mfumo huu wenzetu Kenya wameuanzisha. Wanaita Benki ya maziwa Kama ilivyo Benki ya damu. Mama akiwa na maziwa mengi anaruhuusiwa kwenda kujitolea hospital wanamkamua na kuhifadhi.
Ikitokea Mama akafariki wakati wa kujifungua au akapata matatizo yanayosababisha ashindwe kunyonyesha baada ya kujifungua yale maziwa yaliyo hifadhiwa Benki yanatumika kwa mtoto mchanga Hadi utakapopatikana mbadala.


Is it??-- sasa sisi tunaweza kwenda hatua moja mbele kwamba maziwa ya aina hiyo yapatikane na yahifadhiwe katika njia inayofaa na yawe yakiuzwa kwa ajili ya akina mama wengine wenye watoto wenye uhitaji wa hayo maziwa.

Hapo Kuna faida ya kiuchumi kwa watakao toa maziwa na faida ya ustawi wa kijamii pia.

Bado tukumbuke breast feed is the best.
 
Pole mkuu.

Ushauri tu anunue Breast pump awe anamkamulia mtoto maziwa aweke kwenye Friza. Akiwa kazini wanaomwangalia mtoto wanayawarm nakumpa mtoto, Hii kuwarm sio kuyachemsha Bali anachukua chombo anaweka maji vuguvugu au moto Halafu anatumbukiza chombo chenye maziwa ili maziwa yapate uvugu ndio apatiwe mtoto.

Anunue tu zile storage bags za kuweka kwenye Friza yanaweza kukaa kwenye Friza Hadi miezi 6.

Working mom's wengi wanafanya hivyo nowdays mama Anafanya Kazi na mtoto anapata maziwa ya mama, formula si lazima
Waislam watasema ni Haram
 
Lactogen inatoka France na haitoki Kenya pia NAN inatoka Netherlands hizi ndizo zilizotambuliwa na kuruhusiwa kuuzwa hapa Tanzania kulingana na mazingira tunayoishi pia lactogen haijawahi kutengenezwa Kenya kama upo dar na unayataka nenda kawe beach road sikuhizi sijui mwai kibaki Kuna jengo limeandikwa infotech ingia hapo ulizia wahuzika wa hayo maziwa watakusaidia sehemu pa kuyapata na taarifa zaidi.

Pia hairuhusu kumpa au kutoa taarifa za ushawishi ili mtu anunue hayo maziwa Bali ushauri na uelekezi wa daktari ndio unakulazimu kumpa mwanao hayo maziwa ya kopo
kamwamu
 
Nasema hivi, kama inawezekana kununua maziwa ya kopo au ya ng'ombe kwanini isiwezekane kuwepo na biashara ya maziwa ya binadamu??--- funny and hillarious!![emoji1787][emoji1787]

Wamama wanaonyonyesha wanaweza kuuza baadhi ya maziwa yao baada ya kukaguliwa kitabibu ili yatumike kwa ajili ya wamama wenye watoto na wanayo matatizo ya breasting, kifupi ni kwamba hatua zote zifuatwe ili jambo hili lifanikiwe kwa ajili ya afya za watoto wetu, Watoto wenye afya ni jamii yenye afya hatimaye ni taifa lenye afya na ustawi.

"Breast feeding is the best for the best results.
Huyu ndugu yangu humnyonyesha mwanae tangu atokapo kazini saa 1 jioni na usiku mpaka asubuhi saa 12 anapoondoka kwenda kazini. Mlezi ndio huanza na maziwa ya kopo mpaka mzazi arudipo. Kwa mwenye maziwa kidogo kifuani yawezekana hata ya kukamua amwachie mlezi kama yatapatikana.
 
Lactogen inatoka France na haitoki Kenya pia NAN inatoka Netherlands hizi ndizo zilizotambuliwa na kuruhusiwa kuuzwa hapa Tanzania kulingana na mazingira tunayoishi pia lactogen haijawahi kutengenezwa Kenya kama upo dar na unayataka nenda kawe beach road sikuhizi sijui mwai kibaki Kuna jengo limeandikwa infotech ingia hapo ulizia wahuzika wa hayo maziwa watakusaidia sehemu pa kuyapata na taarifa zaidi.

Pia hairuhusu kumpa au kutoa taarifa za ushawishi ili mtu anunue hayo maziwa Bali ushauri na uelekezi wa daktari ndio unakulazimu kumpa mwanao hayo maziwa ya kopo
Sijatoa ushawishi, kimsingi niliuliza wapi unaweza yapata, na sio kuwa ndio anaanza kuyatumia, bali maeneo mengi aliyo zungukia hayapo.
 
Jumuia ya akina mama wafanyakazi wenye watoto wachanga huwanywesha watoto maziwa f1 na kuwanyonyesha wanapotoka kazini.

Moja ya f1 iliyozoeleka ni lactogen toka Kenya au France. Ni wiki ya 2 sasa nimeshindwa kupata maziwa hayo madukani kwa mtoto wa ndugu yangu Dar.

Amejaribu agiza mikoani, Mwanza na Mbeya, jibu hakuna maziwa. Tafadhali if member mwenye ufahamu yalipo maziwa ya lactogen formula 1 anijulishe, au mbadala wake.
Unahitaji kiasi gani.nipo south Africa nikuangalizie
 
Na pia Kama atanunua breast pump Anunue electronic pump Ni nzuri sababu hatatumia nguvu kukamua anachomeka kwenye umeme inamkamua. Manual pump Ni Bei ya rahisi lakini kukamua unatumia mikono inachosha Sana.
Na chuchu zinauma balaa na unatumia muda mrf. Mm niliachana nayo. Nikajikakamua kununua SMA gold
 
Na pia Kama atanunua breast pump Anunue electronic pump Ni nzuri sababu hatatumia nguvu kukamua anachomeka kwenye umeme inamkamua. Manual pump Ni Bei ya rahisi lakini kukamua unatumia mikono inachosha Sana.
Hayaumi maziwa wakati wakukamua?
 
Wewe jamaa hauko serious yaani unakosa bidhaa Dar alafu unaagiza Mbeya utegemee kupata.. wakati hao wote wanachukua hapa mjini.
Vitu vya SA vipo vingi Mbeya na Tunduma hiyo lactogen ipo Tunduma ya kumwaga vitu vya SA hasa mafuta haya ya kupakaa Tunduma yanaweza yakawepo na daslm hakuna...
 
Back
Top Bottom