Hata kodi ya kuingiza gari nchini malawi ni ndogo ukilinganisha na sisi huku sisi tuna bandariImport duty Tanzania ni balaa, na ndio sababu kubwa ya njia za panya mipakani na uaghali wa bidhaa nchini.
Za umeme kuanzia 75,000 unapata manual ndo 35000Zinauzwa bei gani mkuu?
Maduka ya vitu vya watoto hata supermarket zipoBreast electric pumb kwa Dar inauzwa wapi na ni bei gani?
Mfumo huu wenzetu Kenya wameuanzisha. Wanaita Benki ya maziwa Kama ilivyo Benki ya damu. Mama akiwa na maziwa mengi anaruhuusiwa kwenda kujitolea hospital wanamkamua na kuhifadhi.
Ikitokea Mama akafariki wakati wa kujifungua au akapata matatizo yanayosababisha ashindwe kunyonyesha baada ya kujifungua yale maziwa yaliyo hifadhiwa Benki yanatumika kwa mtoto mchanga Hadi utakapopatikana mbadala.
Waislam watasema ni HaramPole mkuu.
Ushauri tu anunue Breast pump awe anamkamulia mtoto maziwa aweke kwenye Friza. Akiwa kazini wanaomwangalia mtoto wanayawarm nakumpa mtoto, Hii kuwarm sio kuyachemsha Bali anachukua chombo anaweka maji vuguvugu au moto Halafu anatumbukiza chombo chenye maziwa ili maziwa yapate uvugu ndio apatiwe mtoto.
Anunue tu zile storage bags za kuweka kwenye Friza yanaweza kukaa kwenye Friza Hadi miezi 6.
Working mom's wengi wanafanya hivyo nowdays mama Anafanya Kazi na mtoto anapata maziwa ya mama, formula si lazima
kamwamuLactogen inatoka France na haitoki Kenya pia NAN inatoka Netherlands hizi ndizo zilizotambuliwa na kuruhusiwa kuuzwa hapa Tanzania kulingana na mazingira tunayoishi pia lactogen haijawahi kutengenezwa Kenya kama upo dar na unayataka nenda kawe beach road sikuhizi sijui mwai kibaki Kuna jengo limeandikwa infotech ingia hapo ulizia wahuzika wa hayo maziwa watakusaidia sehemu pa kuyapata na taarifa zaidi.
Pia hairuhusu kumpa au kutoa taarifa za ushawishi ili mtu anunue hayo maziwa Bali ushauri na uelekezi wa daktari ndio unakulazimu kumpa mwanao hayo maziwa ya kopo
Huyu ndugu yangu humnyonyesha mwanae tangu atokapo kazini saa 1 jioni na usiku mpaka asubuhi saa 12 anapoondoka kwenda kazini. Mlezi ndio huanza na maziwa ya kopo mpaka mzazi arudipo. Kwa mwenye maziwa kidogo kifuani yawezekana hata ya kukamua amwachie mlezi kama yatapatikana.Nasema hivi, kama inawezekana kununua maziwa ya kopo au ya ng'ombe kwanini isiwezekane kuwepo na biashara ya maziwa ya binadamu??--- funny and hillarious!![emoji1787][emoji1787]
Wamama wanaonyonyesha wanaweza kuuza baadhi ya maziwa yao baada ya kukaguliwa kitabibu ili yatumike kwa ajili ya wamama wenye watoto na wanayo matatizo ya breasting, kifupi ni kwamba hatua zote zifuatwe ili jambo hili lifanikiwe kwa ajili ya afya za watoto wetu, Watoto wenye afya ni jamii yenye afya hatimaye ni taifa lenye afya na ustawi.
"Breast feeding is the best for the best results.
Sijatoa ushawishi, kimsingi niliuliza wapi unaweza yapata, na sio kuwa ndio anaanza kuyatumia, bali maeneo mengi aliyo zungukia hayapo.Lactogen inatoka France na haitoki Kenya pia NAN inatoka Netherlands hizi ndizo zilizotambuliwa na kuruhusiwa kuuzwa hapa Tanzania kulingana na mazingira tunayoishi pia lactogen haijawahi kutengenezwa Kenya kama upo dar na unayataka nenda kawe beach road sikuhizi sijui mwai kibaki Kuna jengo limeandikwa infotech ingia hapo ulizia wahuzika wa hayo maziwa watakusaidia sehemu pa kuyapata na taarifa zaidi.
Pia hairuhusu kumpa au kutoa taarifa za ushawishi ili mtu anunue hayo maziwa Bali ushauri na uelekezi wa daktari ndio unakulazimu kumpa mwanao hayo maziwa ya kopo
Nashukuru kunijuza.Maduka ya vitu vya watoto hata supermarket zipo
Unahitaji kiasi gani.nipo south Africa nikuangalizieJumuia ya akina mama wafanyakazi wenye watoto wachanga huwanywesha watoto maziwa f1 na kuwanyonyesha wanapotoka kazini.
Moja ya f1 iliyozoeleka ni lactogen toka Kenya au France. Ni wiki ya 2 sasa nimeshindwa kupata maziwa hayo madukani kwa mtoto wa ndugu yangu Dar.
Amejaribu agiza mikoani, Mwanza na Mbeya, jibu hakuna maziwa. Tafadhali if member mwenye ufahamu yalipo maziwa ya lactogen formula 1 anijulishe, au mbadala wake.
Nashukuru, nitakujulisha. Dar kubwa, shoppers ipo eneo gani?Kwa Dar nenda Shoppers yapo kibao...
Na chuchu zinauma balaa na unatumia muda mrf. Mm niliachana nayo. Nikajikakamua kununua SMA goldNa pia Kama atanunua breast pump Anunue electronic pump Ni nzuri sababu hatatumia nguvu kukamua anachomeka kwenye umeme inamkamua. Manual pump Ni Bei ya rahisi lakini kukamua unatumia mikono inachosha Sana.
SMA gold ulinunua bei gani?Na chuchu zinauma balaa na unatumia muda mrf. Mm niliachana nayo. Nikajikakamua kununua SMA gold
50k mkuuSMA gold ulinunua bei gani?
Hayaumi maziwa wakati wakukamua?Na pia Kama atanunua breast pump Anunue electronic pump Ni nzuri sababu hatatumia nguvu kukamua anachomeka kwenye umeme inamkamua. Manual pump Ni Bei ya rahisi lakini kukamua unatumia mikono inachosha Sana.
Vitu vya SA vipo vingi Mbeya na Tunduma hiyo lactogen ipo Tunduma ya kumwaga vitu vya SA hasa mafuta haya ya kupakaa Tunduma yanaweza yakawepo na daslm hakuna...Wewe jamaa hauko serious yaani unakosa bidhaa Dar alafu unaagiza Mbeya utegemee kupata.. wakati hao wote wanachukua hapa mjini.
Hayaumi Ni Kama vile unavyojikamua na mkono. Angalia YouTube video utaona jinsi inavyokamuaHayaumi maziwa wakati wakukamua?
Hii nimeipendaHayaumi Ni Kama vile unavyojikamua na mkono. Angalia YouTube video utaona jinsi inavyokamua