Itapendeza ukiwa unafuatilia facts before kujibeza. Asilimia zaidi ya 80% ya mafuta duniani yaliyokuwa yanatumika, ni mafuta ya urusi. Zaidi ya %95 ya gesi iliyokuwa inatumika kwa nchi za ulaya, (Asia n kwa weupe wotee isipokuwa waarabu tu) na inayoendelea kutumika hadi leo ulaya, ni gesi ya Russia. Kwa tathmini isiyo rasmi, urusi amefanya biashara na duniani kwa zaidi ya miaka 15. Kwa ufafanuzi zaidi, mruzi amekuwa akiiuzia dunia nzimaaaaa, yani kwa siku amekuwa akiingiza zadi ya $ 1 trilion, hili lijamaa ni tajiri aisee😂😂😂Pia tukumbuke, sijalizingatia bara la africa sababu tunachangia %2 tu ya magari, so matumizi yetu ya mafuta ni madogo saaaana, ila tunaweza kusema %80 ya mafuta ya africa before the special operation in Ukraine, yalikuwa ni ya mrusi. Mzee putin kwenye hii vita, bado hajaanza kuzitumia silaha mpya, Asilimia zaidi ya 90 ya vifaa vyake, ni vifaa vya karne iliyopita, bado hajaanza kutumia vifaa vipya. NATO nzima ni lazima ipigane kwa umoja ili iweze kupambana na mrusi. Yani hakuna nchi iliyokamilika kama urusi. Ile nchi ni tajiri hadi shidaaah. Uchumi wake utatetereka ila haitotokea kuja kuanguka. Yule ndio super power wa dunia. Yani, one man army. Akiamua kuimaliza marekani, ataimaliza na kukifyeka kizazi chote cha kimarekani kwenye uso wa dunia. Nilikuwa sitaki kuongelea nuclear warheads (mabomu ya nyuklia), anayamiliki zaidi ya 5000 (ambayo sio hewa, wamarekani wamepandisha idadi yao ili kujibeza) hadi sasa, ambayo dunia nzima tukijikusanya ndio labda tutafanikiwa kuifikia idadi ya Russia. Kwa ufupi yule ndiye mwanaume peke yake miongozi kwenye kikao cha wavulana wanaojiita super powers. Kwa sasa mchina na muindi wanamuunga mkono mrusi. Pia, tukirudi kwenye uhalisia, mrusi ndiye rafiki pekee wa ukweli wa afrika ila wengine wotee ni wakoloni wa kung'ata n kupuliza. Nia yake ni kutafuta marafiki wa kweli ambao watategemeana kwa kusaidiana kibiashara za kuzinufaisha pande zote bila masharti ya kibepari. Ametengwa na wadhungu wenzie. Huyu ndiye mwanaume pekee aliyeshikilia button ya vita ya 3 ya dunia. Aisee kujihusisha n mrusi ni faida kuliko hasara. Yule atanunua hata dagaa wetu wa kigoma maana anauhitaji, nyanya zetu, makaa ya mawe, dhahabu, parachichi, korosho yani kila bidhaa na bado kutupa kazi urusi na visa rahisi kuliko nchi yeyote ya ulaya. Shida yake hapo nyuma amekuwa na visa vya ubaguzi wa rangi hadi shidaaah. Haitaji malelemama yule mwanaume. Ila ni mwanaume n nusu. Itapendeza kujitenga na dunia, tujisogeze karibu zaidi n mrusi, mchina n muindi kuliko kujihusisha na muamerica na dunia yake ya ukoloni. Nitakuja n uzi kumfafanua mrusi kiundani zaidi, pia kumfafanua kwanini kufanya biashara na mrusi kutakuja na faida kuliko hasara tukizingatia kuwa tutatengwa n dunia