Uhaba wa Mafuta na Dola, nashauri Rais atumie fursa ya Mkutano wa Afrika na Urusi

Leta link kenge wewe sio unaandika waraka usio na content leta takwimu ya uliyoyaandika sio unapiga taarabu. Sources of reference tupe tukuaibishe
 
Sijui wewe ni mtoto wa secondary au mtu mzima Kwanza?? Eti anaingiza trillion 1 kwa siku?? Uchumi wa urusi unalingana na wa nchi mdogo kama Spain na Italy na kuzidiwa kidogo na korea kusini hizi trillion ziliingizwa wapi?? Punguza ujinga na ushabiki wa kitoto
 
Labda Trillion 1 ya Zimbabwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ