Uhaba wa Maji na Umeme ungetokea katika Taifa lenye Raia 'wanaojitambua' la Kenya Rais Ruto asingekuwa anazurula zurula tu kama nzi

Kweli kabisa hii mwenyewe nimeshuudia pande zote mbili.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania kweli ni nchi ya mabwege ,January aliiba mtihani form four afu eti Leo ndo waziri wa nishati.Pumbafu kabisa,Nape form four alipata division iv eti leo ni waziri.stupid kabisa ressiter anakuwa waziri?
 
Tegeta naona yanatoka siku ya 3 leo
Kawe leo yanatoka ( tunayo ) Siku ya Pili mfululizo ( hali ambayo si ya Kawaida ) mpaka tunashangaa na kusema Ashukuriwe sana Mwenyezi Mungu na Dawasa.
 
Kawe leo yanatoka ( tunayo ) Siku ya Pili mfululizo ( hali ambayo si ya Kawaida ) mpaka tunashangaa na kusema Ashukuriwe sana Mwenyezi Mungu na Dawasa.
Mvua zinyeshazo mikoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…