Haramu haidumu hadi sasa wawezakuta kabakiwa na miaAtleast walishachukua chao na kiinua mgongo wanapata. Kumbuka yule muunga mkono juhudi aliyelipwa bilioni mbili hata akikatwa ana shida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haramu haidumu hadi sasa wawezakuta kabakiwa na miaAtleast walishachukua chao na kiinua mgongo wanapata. Kumbuka yule muunga mkono juhudi aliyelipwa bilioni mbili hata akikatwa ana shida gani?
Wakurya sio wagogoWaitara anaenda kumng'oa Heche kule Tarime!
Atarudia biashara yake ya awali ya kutembeza eggs mjiniMwikabe bunge likifungwa ondoka na kikombe chako cha chai ofisini.
Waitara ni mgogo?!Wakurya sio wagogo
Atakua mpika chai wa Dr BashiruAtarudia biashara yake ya awali ya kutembeza eggs mjini
Tarime sio Dom kuna wanaume kule kawaulize wakoloni.Ulishawahi sikia wakurya walichukuliwa utumwani?Waitara ni mgogo?!
Haitakuwa mara ya kwanza , aliwahi kuwa mpika chai wa NchimbiAtakua mpika chai wa Dr Bashiru
pole sana mkuuMungu wa Abraham, Isaka na Yakobo hana chama cha siasa hapa bongo. Hivyo msimhusishe na siasa zetu hizi za majitaka.
Kwa kifupi ni kwamba bunge lijalo litakuwa na wabunge wa CCM na ACT wazalendo tu fullstop!
Nimepokea. Ubarikiwe na Warumi 13: 1-6 kwa siku ya leo.pole sana mkuu
Matusi yako wapi ?Matusi si uungwana mbona wapinzani wengi walitokea ccm wakaenda upinzani leo wakibadili inakuwa matusi!! Huo ni utoto MTU aruhusiwe kwenda atakako I we kwa Sera ama noti ama ahadi kwakuwa hata kina zitto waliahidiwa kitu ndipo wakatua chadema.