Uchaguzi 2020 Uhakika ni kwamba hakuna mbunge yeyote Msaliti ama aliyejiuza atakayerejea bungeni 2020

Uchaguzi 2020 Uhakika ni kwamba hakuna mbunge yeyote Msaliti ama aliyejiuza atakayerejea bungeni 2020

Mungu hajawahi kutaniwa hata mara moja, wale wote walioaminiwa na wananchi na wakasaliti maelfu ya waliowaamini kwa tamaa ya hela hawatarejea tena bungeni kupitia sanduku la kura, hata chama kilichowanunua hakitawapitisha, mbeleko iliishia uchaguzi wa marudio.

Haya ninayoyaandika hapa yamejidhirisha kwenye uchaguzi feki wa Serikali za mitaa ambapo wasaliti wote walipigwa chini bila huruma, ama kweli Shetani hana rafiki! Uwe diwani ama mbunge kama ulisaliti waliokuchagua basi ile hela uliyolipwa baada ya kujiuza mithili ya kahaba wa Kinondoni makaburini itunze itakusaidia huko mbele.

Nimeleta uzi huu makusudi ili kuwatahadharisha mapema wasaliti wote nchi nzima wasije kusema wameviziwa .

Kwa Mujibu wa maandiko matakatifu usaliti ni laana inayotafuna hadi kizazi cha nne.

Naomba kuwasilisha .
Acha upumbavu, kilichotokea CCM WAGOMBEA kuwa wengi hakijawahi kutokea. Hivyo kinachoendelea ni open democracy. Siyo swala la kurudi au kuwa msaliti. Ni swala la nani anangara.
No vema mkapambana na. Hali yenu ambayo hata hamjui cha kufanya utata kila kona.
 
Mungu hajawahi kutaniwa hata mara moja, wale wote walioaminiwa na wananchi na wakasaliti maelfu ya waliowaamini kwa tamaa ya hela hawatarejea tena bungeni kupitia sanduku la kura, hata chama kilichowanunua hakitawapitisha, mbeleko iliishia uchaguzi wa marudio.

Haya ninayoyaandika hapa yamejidhirisha kwenye uchaguzi feki wa Serikali za mitaa ambapo wasaliti wote walipigwa chini bila huruma, ama kweli Shetani hana rafiki! Uwe diwani ama mbunge kama ulisaliti waliokuchagua basi ile hela uliyolipwa baada ya kujiuza mithili ya kahaba wa Kinondoni makaburini itunze itakusaidia huko mbele.

Nimeleta uzi huu makusudi ili kuwatahadharisha mapema wasaliti wote nchi nzima wasije kusema wameviziwa .

Kwa Mujibu wa maandiko matakatifu usaliti ni laana inayotafuna hadi kizazi cha nne.

Naomba kuwasilisha .
Wameshakula walichopewa watulie tu.
 
Mungu hajawahi kutaniwa hata mara moja, wale wote walioaminiwa na wananchi na wakasaliti maelfu ya waliowaamini kwa tamaa ya hela hawatarejea tena bungeni kupitia sanduku la kura, hata chama kilichowanunua hakitawapitisha, mbeleko iliishia uchaguzi wa marudio.

Haya ninayoyaandika hapa yamejidhirisha kwenye uchaguzi feki wa Serikali za mitaa ambapo wasaliti wote walipigwa chini bila huruma, ama kweli Shetani hana rafiki! Uwe diwani ama mbunge kama ulisaliti waliokuchagua basi ile hela uliyolipwa baada ya kujiuza mithili ya kahaba wa Kinondoni makaburini itunze itakusaidia huko mbele.

Nimeleta uzi huu makusudi ili kuwatahadharisha mapema wasaliti wote nchi nzima wasije kusema wameviziwa .

Kwa Mujibu wa maandiko matakatifu usaliti ni laana inayotafuna hadi kizazi cha nne.

Naomba kuwasilisha .
Wanapigwa vibaya sana muda huu
 
Acha upumbavu, kilichotokea CCM WAGOMBEA kuwa wengi hakijawahi kutokea. Hivyo kinachoendelea ni open democracy. Siyo swala la kurudi au kuwa msaliti. Ni swala la nani anangara.
No vema mkapambana na. Hali yenu ambayo hata hamjui cha kufanya utata kila kona.
Kwi Kwi Kwi
 
Vipi huyu mwamba taarifa
 

Attachments

  • Screenshot_20200720_174316.jpg
    Screenshot_20200720_174316.jpg
    32.9 KB · Views: 1
Hizo ni "wishes" zako

Mungu aliye mkuu kuliko kitu chochote hapa duniani, ndiye anaijua kesho yetu. OVA
Napenda sana busara zako,Taifa limekosa watu na vijana wenye moyo na mawazo kama aya.Imagine comments kibao zinakutukana,kukukejeli nk ila wewe unajibu kistaarabu.HONGERA SANA
 
20 Julai 2020
Tunduma, Songwe
Tanzania

SILINDE KAWAPIGIA MAGOTI CCM KASEMA HAYA KWA WAJUMBE WA CCM JIMBO LA TUNDUMA ,NITUMENI NIKAWATUMIKIE



Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
20 Julai 2020
Tunduma, Songwe
Tanzania

SILINDE KAWAPIGIA MAGOTI CCM KASEMA HAYA KWA WAJUMBE WA CCM JIMBO LA TUNDUMA ,NITUMENI NIKAWATUMIKIE



Source : MbeyaYetuOnlineTV

Aiseeee !!!
 
Back
Top Bottom