Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatubahatishi mkuuHakika yametima!!
Ni yupi huyo Fisadi Papa?Atleast walishachukua chao na kiinua mgongo wanapata. Kumbuka yule muunga mkono juhudi aliyelipwa bilioni mbili hata akikatwa ana shida gani?
Nyalandu aliambiwa ajiuzulu mwenyewe kisa alikwenda kumjulia hali lisu alipokua kalazwa Kenya kipindi anapatiwa matibabu pale alipo pigwa risasi kama zoteMbona bwana Nyalandu naye aliwatosa wananchi lakini mnamnyima joho la usaliti? Hamumtendei haki.
🗜🔊🔊🔊🔊🔊🔊
Hawa naona kuna Extra force itatumika kuwaondoa otherwise hawa watu wanabaki majimboni mwao kwa 98.9%Lema ,sugu,mnyika ,msigwa hata mbowe nao wamejiuza maana hawatarudi
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
CDM hawana hela ya kumlipa huyo MTU hadi akurupuke na kuacha ubunge wake na vyeo vyake ndani ya chama cha awali,,itakua kulikua na mtafuruku baina yake na wenzake labda,ila ukweli anaujua
Kitendo cha kumpiga Tundu Lissu risasi vibaraka wa Limumba wakashangilia wala zisichukuliwe hatua zozote naona kilimvuruga akili. Akiwa mzalendo halisi sio maigizo,
Ndipo akaamua kujiunga na CHADEMA ili kutafuta ukombozi wa Mtanzania!!
ChaliVipi huyu mwamba taarifa
Jana ilikua siku ya furaha Sana kwangu!Maulid Mtulia aambulia kura 11
Muulize ashawahi sikia Mkurya anayependa kulelewa?au anayependa kitonga? Mkurya ndo defn ya neno MWANAUMETarime sio Dom kuna wanaume kule kawaulize wakoloni.Ulishawahi sikia wakurya walichukuliwa utumwani?
B 2 oooooooh my God kabisa yote yote. Shetani Yuko karibu kurudiAtleast walishachukua chao na kiinua mgongo wanapata. Kumbuka yule muunga mkono juhudi aliyelipwa bilioni mbili hata akikatwa ana shida gani?
Umetabiri vyema sana
Njozi mfuHii laana itawatafuna Tundu lissu na chadema kwa kuwasaliti watanzania kwa wazungu na mabeberu
B 2 oooooooh my God kabisa yote yote. Shetani Yuko karibu kurudi
Kama kura zote utapiga wewe sawa.Ila kwa kura za wizi sawaKwa kifupi ni kwamba bunge lijalo litakuwa na wabunge wa CCM na ACT wazalendo tu fullstop!
Dada Waitara na Mollel tayari wako njia moja!!Mungu hajawahi kutaniwa hata mara moja, wale wote walioaminiwa na wananchi na wakasaliti maelfu ya waliowaamini kwa tamaa ya hela hawatarejea tena bungeni kupitia sanduku la kura, hata chama kilichowanunua hakitawapitisha, mbeleko iliishia uchaguzi wa marudio.
Haya ninayoyaandika hapa yamejidhirisha kwenye uchaguzi feki wa Serikali za mitaa ambapo wasaliti wote walipigwa chini bila huruma, ama kweli Shetani hana rafiki! Uwe diwani ama mbunge kama ulisaliti waliokuchagua basi ile hela uliyolipwa baada ya kujiuza mithili ya kahaba wa Kinondoni makaburini itunze itakusaidia huko mbele.
Nimeleta uzi huu makusudi ili kuwatahadharisha mapema wasaliti wote nchi nzima wasije kusema wameviziwa .
Kwa Mujibu wa maandiko matakatifu usaliti ni laana inayotafuna hadi kizazi cha nne.
Naomba kuwasilisha .