Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia? Maraia wa majimbo hayo wana tofauti kubwa sana n wale wa KoromijwLema ,sugu,mnyika ,msigwa hata mbowe nao wamejiuza maana hawatarudi
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hapati kituKuna jamaa mmoja anahangaika, ukonga kaona pagumu sasa kavamia Tarime nako hali si hali...ni wa kuhurumia.
Time has already told
Kuna lingine lilikuwa linajaribu Iramba, baada ya kuona pamoja na kutembeza picha za kuchimba mitaro, limekosa mvuto limerudi mbio sasa linazungukazunguka UbungoKuna jamaa mmoja anahangaika, ukonga kaona pagumu sasa kavamia Tarime nako hali si hali...ni wa kuhurumia.
Hapa tutamtupilia darajani pale apotee jumla.Kuna lingine lilikuwa linajaribu Iramba, baada ya kuona pamoja na kutembeza picha za kuchimba mitaro, limekosa mvuto limerudi mbio sasa linazungukazunguka Ubungo
Tumia common sense.Mbona bwana Nyalandu naye aliwatosa wananchi lakini mnamnyima joho la usaliti? Hamumtendei haki.
Common sense is not always common bandugu. Hatuandiki hapa kufurahishana, kama siko sahihi hapo juu funguka.Tumia common sense.
OkCommon sense is not always common bandugu. Hatuandiki hapa kufurahishana, kama siko sahihi hapo juu funguka.
CDM hawana hela ya kumlipa huyo MTU hadi akurupuke na kuacha ubunge wake na vyeo vyake ndani ya chama cha awali,,itakua kulikua na mtafuruku baina yake na wenzake labda,ila ukweli anaujua yy mwenyewe na mke wake FarajaLazaro Nyalandu pia aliaminiwa na maelfu ya wana Singida Magharibu akajiuza huko CDM mithiri ya kahaba wa kinondoni makaburini. vipi nae mtamtosa 2020?
Kwa hiyo unataka kujishaulisha kuwa Nccr Mageuzi ndio watatoa KUB?Kwa kifupi ni kwamba bunge lijalo litakuwa na wabunge wa CCM na ACT wazalendo tu fullstop!
a yangu ni simple, kwanini uite mtu anayehama upinzani msaliti wakati anayehamia haitwi hivyo wakati wote wameacha upande mmoja wakaenda mwingine, tena ndani ya haki yao kikatiba?Ok
Mkuu issue ni kwamba anayehama toka upinzani kwenda ccm ana advantage ya kupata uhuru zaidi na upendeleo toka kwa serikali ya ccm,wakati anayetoka ccm kwenda upinzani hasa Chadema anakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuwa harassed serikali ya ccm.
Kwa lugha nyingine ukienda upinzani ni sawa na kwenda upande wa misukosuko isiyoisha meanwhile ukienda ccm ni upande wa uhuru wa kufanya kasoro kumkosoa rais.
Asubirie za viti maalumuMaulid Mtulia aambulia kura 11
Nasikia Lijualikali analia kamfuata Baba mkwe aokoe jahazi.Tunaendelea kusaka kura walizoambulia wasaliti wengine