Uchaguzi 2020 Uhakika ni kwamba hakuna mbunge yeyote Msaliti ama aliyejiuza atakayerejea bungeni 2020

Mbona bwana Nyalandu naye aliwatosa wananchi lakini mnamnyima joho la usaliti? Hamumtendei haki.
Nyalandu aliambiwa ajiuzulu mwenyewe kisa alikwenda kumjulia hali lisu alipokua kalazwa Kenya kipindi anapatiwa matibabu pale alipo pigwa risasi kama zote
 
 
Atleast walishachukua chao na kiinua mgongo wanapata. Kumbuka yule muunga mkono juhudi aliyelipwa bilioni mbili hata akikatwa ana shida gani?
B 2 oooooooh my God kabisa yote yote. Shetani Yuko karibu kurudi
 
Dada Waitara na Mollel tayari wako njia moja!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…